- 20 -
Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
08 - 12 - 1430 هـ
25 - 11 - 2009 مـ
10:27 مساءً
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=110801
ــــــــــــــــــــــ

سؤال المهديّ الى علماء الأمّة والباحثين:
لماذا جعل الله الفائز بالوسيلة الدرجة مجهولاً ؟
Suali Kutoka Kwa Al'Mahdi Kwa Wanazuoni Wa Umma Na Watafiti Kwanini Amefanya Allah Alio'Shinda Daraja Al'Wasila Hajulikani?


Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Na Sala Na Salam Ju Ya Mwisho Wa Ma Nabi Na Mitume Na Ali Yake Walio Tubu Walio Tahirika Na Walio Fwata Haki Mpaka Siku Ya Mwisho, Na Salam Ju Ya Mitume, Na Al'Hamdulillah Rabil3alamin..

Na ama suali la Al'Mahdi Al'Muntadhar kwa Wote wanaotoa fatwa katika miji na wanao toa khutba kwenye ma mimbari na watafiti wa haki wote, Basi Amewafundisha Allah na Mtume wake kwamba alwasila ni daraja ya ju kabisa kwenye janna na ni daraja ya karibu kwa Dhati Ya Al'Rahman mwingi wa huruma katika kilele cha janna ya neema; Bali ni tirmana ya janna kwakua janna ambao upana wake upana wa mbingu na ardhi na wala haitakiwi iwe ispokua ni ya mja moja katika waja wa Allah waislamu, Na suali ambalo lajiweka lenyewe ni: Kwanini Amefanya Allah Alieshinda kwa daraja hi ni hajulikani? Na jibu katika muhakam ilio wazi maana yake, Na hivo ili iendele kushindana waja kwa Mola Mlezi wao yupi ni karibu ili ashinde kupata wasila. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{يَبْتَغُونَ إِلَى ربّهم الْوَسِيلَةَ أيّهم أقرب وَيَرْجُونَ رَحْمَتَهُ وَيَخَافُونَ عَذَابَهُ}صدق الله العظيم [الإسراء:٥٧].
Allah Ta3ala Asema: { Wanataka kwa Mola Mlezi wao alwasila - yupi miongoni mwao alio karibu mno - na wanataraji rehema zake na wanaikhofu adhabu yake. Hakika adhabu ya Mola wako Mlezi yafaa kutahadhari nayo } Sadaqa Allah Al3adhim [Alisraa:57].

Basi kwanini mumewacha kushindana kwa Allah peke ni ya ma Nabi na Mitume ikiwa nyinyi muna'mwabudu Allah Pekeyake Hana Mshirika na Yeye?
{قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ إِنْ كُنْتُمْ صَادِقِينَ} صدق الله العظيم [البقرة:111].
{ Sema Leteni ushuhuda wenu ikiwa nyinyi ni wakweli } Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara:111].


Basi ikiwa nyinyi munampenda Allah, Kwanini hamu'kuwafwata Mitume wanao shindana ju ya Kumpenda Allah na kuwa karibu Nae yupi ni karibu zaidi kwa Al'Rahman ndio Ampe Allah Al'Wasila, Ama Hajawamuru Allah enye waja wa Allah katika muhakam ilio wazi maana yake kitabu chake kwamba mumche Mola Mlezi wenu ndio mumwabudu Allah pekeyake Hana Mshirika na Yeye mutake kwake Al'Wasila kama wanavo fanya wote waja wake wanaoshindana ju ya kumpenda Yeye na kua karibu Nae? Basi kwanini mumefanya peke Al'Wasila ni ya Mitume wa Allah pasi na wanao'wafwata ikiwa nyinyi munamwabudu Allah na wala hamuwabudu ma Nabi Wake na Mitume Wake Pasi na Yeye? Basi kwanini mumefunga Al'Wasila ni yao peke ili washindane kwa Mola Mlezi wao pekeyao na mukakhalifu Amri Ya Allah kwenye muhakam ilio wazi maana yake Kitabu Chake:
{يَا أيُّها الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ وَابْتَغُوا إِلَيْهِ الْوَسِيلَةَ وَجَاهِدُوا فِي سَبِيلِهِ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ} صدق الله العظيم [المائدة:٣٥].
Allah Ta3ala Asema: { Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na mutake kwake alwasila Na wanieni kwa juhudi kwa ajili yake ili mpate kuokoka } Sadaqa Allah Al3adhim [Almaida:35].

La Quwata ila Billah Na Akasema Allah Ta3ala:
{وَمَا يُؤْمِنُ أَكْثَرُهُمْ بِاللَّهِ إِلا وَهُمْ مشركونَ} صدق الله العظيم [يوسف:١٠٦].
Allah Ta3ala Asema: { Na hawamwamini Wengi wao kwa Allah ispokua wao washirikina } Sadaqa Allah A3adhim [Yusuf:106].

Na enyi ma3ashara ya wanazuoni wa waislamu na umma wao, ikiwa nyinyi munampenda Allah basi fanyeni kama wanavo fanya ma Nabi Na Mitume na mushindane kumpenda Allah na kua karibu Nae mutakua katika miongoni mwa waja wake wanao shindana yupi ni karibu, Kwajili ya hivo Amefanya Allah mwenye kupata Al'Wasila hajulikani katika waja wake wote waislamu katika Ma Nabi na watu wema na wala Hakuwatajia Allah yule alio shinda nayo baina ya waja Wake, Na hivo ili iyendele kushindana baina ya waja Wake yupi ni karibu ndio ashinde Apate Al'Wasila ambao haitakiwi ispokua kwa mja moja baina ya waja Wa Allah, Kwajili ya hivo Ameifanya Allah haijulikani na hakika nimewabainishia k

wenu hikma yake kwa haki, Basi atakae amini na atakae akufuru kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:
{أَمْ لِلْإِنْسَانِ مَا تَمَنَّىٰ ﴿٢٤﴾ فَلِلَّهِ الْآخِرَةُ وَالْأُولَىٰ ﴿٢٥﴾} صدق الله العظيم [النجم].
Allah Ta3ala Asema: { Ati mtu anakipata kila anacho kitamani (24) Mwenyezi Mungu tu ndiye Mwenye dunia na Akhera (25)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnajm].

Na ina lillah wa ina ileyhi rajiun, Na Salam Ju Ya Mitume, Na Al'Hamdulillah Rabil3alamin..
Mwenye Kutoa Fatwa Kwa Binadamu Kwa Bayana Ya Haki Ya Ukumbusho; Al'Mahdi Al'Muntadhar Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamami.
وإنا لله وإنا إليه لراجعون، وسلامٌ على المرسلين، والحمدُ لله ربّ العالمين..
مُفتي البشر بالبيان الحقّ للذكر؛ المهديّ المنتظَر الإمام ناصر محمد اليماني.
________



اقتباس المشاركة 110801 من موضوع السبب الحقيقي للإشراك بالله وسرّ الشفاعة ..





- 20 -
الإمام ناصر محمد اليماني
08 - 12 - 1430 هـ
25 - 11 - 2009 مـ
10:27 مساءً
ــــــــــــــــــــــ


سؤال المهديّ الى علماء الأمّة والباحثين:
لماذا جعل الله الفائز بالوسيلة الدرجة مجهولاً ؟


بسم الله الرحمن الرحيم، والصلاة والسلام على خاتم الأنبياء والمرسلين وآله التّوابين المتطهرين والتّابعين للحقّ إلى يوم الدّين، وسلامٌ على المرسلين، والحمدُ لله ربّ العالمين..

فأما سؤال المهديّ المنتظَر إلى كافة مُفتي الديار وخُطباء المنابر والباحثين عن الحقّ جميعاً، فقد علّمكم الله ورسوله أنّ الوسيلة هي أعلى درجةٍ في الجنان وأقربُ درجةٍ إلى ذات الرحمن في قمّة جنّة النّعيم؛ بل هي طيرمانة كون الجنّة التي عرضها السماوات والأرض ولا تنبغي أن تكون إلا لعبدٍ واحدٍ من عباد الله المسلمين. والسؤال الذي يطرح نفسه هو: لماذا جعل الله الفائز بهذه الدرجة مجهولاً؟ والجواب تجدونه في مُحكم الكتاب، وذلك لكي يستمر تنافس العباد إلى ربّهم أيّهم أقرب ليفوز بالوسيلة. تصديقاً لقول الله تعالى:
{يَبْتَغُونَ إِلَى ربّهم الْوَسِيلَةَ أيّهم أقرب وَيَرْجُونَ رَحْمَتَهُ وَيَخَافُونَ عَذَابَهُ}صدق الله العظيم [الإسراء:٥٧].

فلماذا تركتم التنافس إلى الله حصرياً للأنبياء والمرسلين أن كنتم تعبدون الله وحده لا شريك له؟
{قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ إِنْ كُنْتُمْ صَادِقِينَ} صدق الله العظيم [البقرة:111].

فإن كنتم تحبون الله، فلماذا لم تتّبعوا المُرسلين المُتنافسين على حُبِّ الله وقربه أيّهم أقرب إلى الرحمن فيؤتيه الله الوسيلة، أم لم يأمركم الله يا عباد الله في محكم كتابه أن تتّقوا ربّكم فتعبدوا الله وحده لا شريك له فتبتغوا إليه الوسيلة كما يفعل كافة عباده المُتنافسين على حبِّه وقربه؟ فلماذا حصرتم الوسيلة على رسل الله من دون التّابعين إن كنتم تعبدون الله ولا تعبدون أنبياءه ورسله من دونه؟ فلماذا حصرتم الوسيلة ليتنافسوا على ربّهم وحدهم وخالفتم أمر الله في محكم كتابه:
{يَا أيُّها الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ وَابْتَغُوا إِلَيْهِ الْوَسِيلَةَ وَجَاهِدُوا فِي سَبِيلِهِ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ} صدق الله العظيم [المائدة:٣٥].

لا قوة إلا بالله وقال الله تعالى:
{وَمَا يُؤْمِنُ أَكْثَرُهُمْ بِاللَّهِ إِلا وَهُمْ مشركونَ} صدق الله العظيم [يوسف:١٠٦].

ويا معشر عُلماء المسلمين وأمّتهم، إن كنتم تحبّون الله فافعلوا كما يفعلُ الأنبياء والمرسلون وتنافسوا على حُبِّ الله وقربه فتكونوا من ضمن عباده المُتنافسين أيّهم أقرب، لذلك جعل الله صاحب الوسيلة مجهولاً من بين كافة عباده المسلمين من الأنبياء والصالحين ولم يخبركم الله بالفائز بها من عبيده، وذلك لكي يستمر التنافس بين عباده أيّهم أقرب فيفوز بالوسيلة التي لا تنبغي إلا لعبدٍ واحدٍ من عباد الله، ولذلك جعله الله مجهولاً وقد بيّنتُ لكم الحكمة بالحقّ، فمن شاء فليؤمن ومن شاء فليكفر. تصديقاً لقول الله تعالى:
{أَمْ لِلْإِنْسَانِ مَا تَمَنَّىٰ ﴿٢٤﴾ فَلِلَّهِ الْآخِرَةُ وَالْأُولَىٰ ﴿٢٥﴾} صدق الله العظيم [النجم].

وإنا لله وإنا إليه لراجعون، وسلامٌ على المرسلين، والحمدُ لله ربّ العالمين..
مُفتي البشر بالبيان الحقّ للذكر؛ المهديّ المنتظَر الإمام ناصر محمد اليماني.
______________

اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..