الموضوع: Kukumbusha Kwa Bayana Fupi Kwa Yule Ambae Ni Katika Wanao Ona walioko Katika Sehemu Tafauti Katika Ulimwengu ..

النتائج 1 إلى 1 من 1
  1. افتراضي Kukumbusha Kwa Bayana Fupi Kwa Yule Ambae Ni Katika Wanao Ona walioko Katika Sehemu Tafauti Katika Ulimwengu ..

    Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
    *الإمام ناصر محمد اليماني*
    02 - ربيع الثاني - 1440 هـ
    09 - 12 - 2018 مـ
    12:18 مساءً
    ( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=36399

    ــــــــــــــــــــــــ


    *تذكيرٌ ببيانٍ قصيرٍ لمن كان من أولي الأبصار في مختلف الأقطار ..*
    Kukumbusha Kwa Bayana Fupi Kwa Yule Ambae Ni Katika Wanao Ona walioko Katika Sehemu Tafauti Katika Ulimwengu ..


    Bismillah Al'Wahid Al'Qahar, Na Sala Na Salam Ju Ya A'Nabi Al'Umii Al'Mukhtar Khatim Al'Anmbiya Wa Al'Mursalin Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Na Manabi Wote Na Natoa Salam Kusalimu, Ama Baada Ya Hapo..


    Basi Lakwanza Namuru Kufutwa yule ambae ameiba jina la Sultan Ahmad Al'Qadasi Baada kujitoa na kukiri Al'Qadasi kwenye ukurasa wake kwamba yeye sio alio jisajili wala hajandika kitu kwenye tuvoti yetu , Basi vipi tutoe jibu kwa mtu ameiba jina la mtu? Basi hivi si aji'sajili Sultan Ahmad Alqadasi katika tuvoti yangu ili itimu mazungumzo kuhawiri kwenye sehemu ambao tuliomkirimu nayo ili kupata umash'huri ambao ni mbaya kwake, Kwasababu yeye hataki ispokua umash'huri kwakua pindi yeye akizungumza na Al'Imam atakua mashuri, Na umash'huri muovu mno umash'huri wa kukanusha ukumbusho wa Allah, Nayo kama umash'huri wa iblisi katika Al'Quran kupitia zama zote, Basi yule ambae anaenda mbio kuzuwia haki Allah Hamongowi moyo wake katika haki na ataifanya ju yake ni kipofu kwasababu kusubutu ju ya Allah ili kupata dunia kwa jina la Dini. Basi hana udhuru kwa yule anae itwa Sultan Ahmad Al'Qadasi kwa kujisajili kwenye tuvoti yetu ili itimu hiwar mazungumzo ya utawala wa nguvu ya ilimu na kubomoa hoja kwa hoja kwa utawala wa ilimu ulio wazo, Na la na wala hapana hatutokubali mtu ameiba jina la Sultan Ahmad Alqadasi baada kutangaza kwake katika ukurasa wake kwamba sio yeye alio jisajili wala hajandika herufu moja katika tuvoti yetu bado na bado anazali ajikimbiza, Kwahivo vipi tutamjibu mwanamume ameiba jina la mwanamume na ametangaza hayo kwenye ukurasa wake? Basi hivo sio mantiq.


    Kwa hivo namuru kufuta uwanachama wa yule alio iba jina la Sultan Ahmad Alqadasi na hivo hivo kufuta kila alicho shiriki huyu alio iba na kubainisha sababu ya kufuta uwanachama wake kwa wengine ili iwe ni funzo kwa wale wanao iba majina ya urongo na kuzawiri, Basi haturuhusu hayo kabisa bali hapana budi kuhakikisha kutokana na jina la mwanachuoni ambae mash'huri katika wanazuoni wa waislamu ama mufti wa moja katika miji ya kislamu kwa kumtumia ujumbe kupitia ukurasa wake na kukiri na kukubali kwamba yeye ndio shekhe fulani khatibu wa msikiti fulani pamoja ya kutaja taifa lake na mkowa wake na kijiji chake ama mji wake, Kutoka hapo itatimu kuhakikisha halikuibwa jina lake, lakini kuendelea kuzungumza na majina hayajulikani alafu tusmamishe hoja ju yake na wala hawajuwi wanafunzi wake kwamba mwalimu wao imesmamishwa hoja ju yake ndio wafwate haki kutoka kwa Mola wao Mlezi basi hio ni siyasa ya udangayifu tumesubiri ju yake sana kwa miyaka mingi, Lakini ilitoka uwamuzi kutoka kwangu kabla; Uwamuzi wa kutoendelea kuzungumza na watu wasio julikana majina yao na wenye majina ya kuazima katika wanao jadili, Na hikima yake ni kwamba ili wajuwe wanafunzi wao ama wanao hudhuria khutba zao kwenye minmbari yao kwamba sisi tumesmamisha ju ya mwalimu wao hoja ilio wazi basi ndio wamwache alafu wamfwate mwenye ushuhuda ulio wazi yule ambae anabainisha Al'Quran Kwa Al'Quran kwa ma Aya zinazo bainisha na ma aya baini na tunafafanua ufafanuzi mkubwa wala sio mujarad kutafsiri.


    Na enyi wanazuoni wa waislamu, Hivi Siwapi waadhi kwa jambo Moja? Nayo ni muangalie Bayana Yangu kwa ma Aya nyengi ya Al'Quran kwa Al'Quran, Alafu muzipime na matafsiri ya wanao tafsiri kutoka kwa nafsi zao, Basi hapo hatimai mutaona tafauti baina ya bayana yangu ya Al'Quran kwa Al'Quran na matafsiri ya ma imamu wenu walio tangulia kama tafauti baina ya kiza na mwangaza, Basi tabikisheni utafiti hu ndio itabainika kwenu haki kutokana na batili na vipi walivo wapoteza kwa porojo zao kwa ma tafsiri kutoka kwa nafsi zao, Na wakakhitilifiana na wala hakuna alio mzidi mwenzake, Na miong


    oni mwao ndio walikua sababu ya kutengana kwenu kua madhehebu tafauti na ma hizbu ya fitna mpaka mukafikilia mulipo fikilia sasa sio ikhitilafu ya kifiqhi ya kutafsiri peke; Bali jambo limekua kubwa mpaka kumwaga damu ya badhi yenu ju ya baadhi, Na eee hio ni uhalifu mku kwamba waseme ju ya Allah yale hawayajuwi! Bali wanafwata tafsiri ya dhana kutoka kwa nafsi zao nayo imeharamishwa ju yao kwamba waseme ju ya Allah yale wasio yajua kwamba ndio haki inao kusudiwa kutoka kwa Mola Mlezi wao, Basi ikiwa hawakutubia basi hi inahisabiwa ni kuzua kuherufisha maneno ya Allah kutokana na pahala pake palipo kusudiwa na kupoteza walimwengu.


    Hivi hamuoni Bayana Ya Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Ya Al'Quran Kwa Al'Quran Na Tunatupa Kwa Al'Quran Kwa Haki hadithi ilio zushwa basi inaichanganya mara hio imeondoka ndio ibainike kwa watafiti kua hio ni hadithi ya kisunni imekadibishwa ju ya Allah na Mtume Wake? Na hivo hivo tunahakikisha hadithi ya haki ambazo ni kutoka kwa Allah na Mtume Wake kwenye Sunna ya ki Nabawi na tunaleta ushuhuda wake kutoka kwa muhakam ilio wazi maana yake Al'Quran, ispokua tunabomoa ma hadithi ya uzushi ju ya Allah Na Mtume Wake ambazo zilio shindiliwa baina ya ma hadithi na ma riwaya zile ambazo zinakuja zimekhalifu maneno ya Allah ilio hifadhiwa kutokana na kuherufisha katika muhakam ilio wazo maana yake Al'Quran Al3adhim kwa kiwango ya asili mia kwa mia.


    Basi olewenu kutokana na adhabu ya siku ya karibu enyi wakanushaji wa mlinganizi wa uongofu kutoka kwa Mola Wao Mlezi kwa ushuhuda ulio baini kwa watu wote, Na olewao wanao nyamaza kutambua haki kutoka kwa Mola Mlezi wao baada ilipo kubali akili zao basi anae nyamaza kwa haki ni shetani bubu, Basi wapi pakukimbilia enyi ma3ashara ya wakanushaji kutokana na ukumbusho hukumu ya Allah Al'Wahid Al'Qahar? Na wanaenda kwa taghut ili ahukumu baina yao na wao wanauwana kwa jina la dini! Na je ju ya Allah wanasubutu? Basi tutaona nini Atawafanya nyinyi Mola Mlezi Wa Ulimwengu, Ama mutasema ni kawarith tabi3ia Maafa ya asili kama mfano wa kauli ya wale hawamini kuna mungu mulhidina? Awauweni Allah Munao zuwa! Na wakati munajua anae endesha ardhi na mbingu Mola Mlezi wa Ulimwengu, Na Yeye Ndio anasusumulia bara na Bahari yale wanayo yafanya kwa amri kutoka kwake, Na wanazuoni wa waislamu hakika wanajua hayo, Pamoja ya hayo wanafwata wengi miongoni kwao kauli ya mulhidina kwa msemo wao kwamba ni maafa ya asili, Kwahivo vipi Allah Alikua AkiWadhibu ma kafiri kabla, Je si ni kwa ma zilzala na ma bahari na vimbunga na naizaki na kuzama na mifuriko? Basi kumbukeni kauli ya Allah Ta3ala:
    {ظَهَرَ الْفَسَادُ فِي الْبَرِّ وَالْبَحْرِ بِمَا كَسَبَتْ أَيْدِي النَّاسِ لِيُذِيقَهُم بَعْضَ الَّذِي عَمِلُوا لَعَلَّهُمْ يَرْجِعُونَ ﴿٤١﴾} صدق الله العظيم [الروم].
    Allah Ta3ala Asema: { imedhihirika ufisadi katika bara na bahari kwa yale walio tuma mikono ya watu ili Awaonjeshe baadhi ya yale walioyatenda huwenda wakarudi (41)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alrum].


    Na mukumbuke kauli ya Allah Ta3ala:
    {وَلَنُذِيقَنَّهُم مِّنَ الْعَذَابِ الْأَدْنَىٰ دُونَ الْعَذَابِ الْأَكْبَرِ لَعَلَّهُمْ يَرْجِعُونَ ﴿٢١﴾ وَمَنْ أَظْلَمُ مِمَّن ذُكِّرَ بِآيَاتِ رَبِّهِ ثُمَّ أَعْرَضَ عَنْهَا ۚ إِنَّا مِنَ الْمُجْرِمِينَ مُنتَقِمُونَ ﴿٢٢﴾} صدق الله العظيم [السجدة].
    Allah Ta3ala Asema: { Na Tutawaonjesha kutokana na adhabu ya chini mbali na adhabu kubwa zaidi yake huwenda wakarudi (21) Na nani dhalimu kuliko alio kumbushwa kwa ma aya zitokazo kwa Mola Mlezi alafu akazikanusha nazo hakika sisi kwa wahalifu tutawlipiza (22)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alsajida].


    Na Wallahi Thuma Wallahi hakika wale ambao wanaita adhabu ya Allah kwamba ni maafa ya asili basi hakika wao wamekufuru kwa yale yalio teremshwa ju ya ma Nabi wote wa Allah na Mitume Wake na wamekufuru maregeo ya vitabu va Allah "Al'Quran Al3adhim' Ukumbusho wa mwanzo na wamwisho, Na Akawafafanulia Allah kwenu vipi Alivo Wafanyia wao basi miongoni mwao mwenye kuwangamiza Allah kuwajia kutoka kwa msingi iwangukie sakafu ju yao, Na miongoni mwao walio zamishwa, Na miongoni mwao mwenye kududumishwa katila ardhi, Na miongoni mwao wenye kutumili


    zwa upepo wa kimbunga, Na miongoni mwao wenye kutumiliziwa moshi wa adhabu siku ya kivuli na mawe ya moto, Na adhabu mbali na hizo kutokana na adhabu ya Allah huwenda ikawa ni wadhi na mfano kwa wacha mungu Wanao fikiria, Na ama mulhidina hatimai watasema maafa ya asili mpaka iwajie adhabu kubwa na kubwa zaidi mpaka awangamize Allah na wao wamekufuru ikiwa hawakutubu kwa Mola Mlezi Wao.


    Mola Mlezi Wangu Hukumu kwa haki na Wewe ni Mbora wa kufafanua hakika Wewe kwa waja Wako ni Mwenye kujua Mwenye Kuona Basi sio Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani ispokua ni Mkumbushaji na muonyaji kutokana na hasira kali kutoka kwa Allah Mwenye Nguvu huwenda wale wanaofikiria watamfwata mlinganizi wa haki kutoka kwa Mola Mlezi wao ama Atawazidishia Allah Adhabu, Basi mpaka lini kukanusha kwa Mlinganizi wa kuhukumu kwa Allah kwa hukumu ya kitabu chake Al'Quran Al3adhim na munaenda kuhukumiana kwa taghut ambae anawatakia shari wala hawataki kheri; Bali wanawafanyia mbinu nyinyi na kwa mikono yenu? Na kiasi gani nyinyi kaumu wahalifu enye wenye kutoa uwamuzi; Hakika mutaona adhabu ya Allah Al'Wahid Al'Qahar nyinyi na walio kufuru ukumbusho mku, Na Amri ni ya Allah kutoka kabla na baada.


    Na Salam Ju Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabil3alamin Khalifa Wa Allah Na Mja Wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
    وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
    خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني .

    _________


    اقتباس المشاركة 299372 من موضوع تذكيرٌ ببيانٍ قصيرٍ لمن كان من أولي الأبصار في مختلف الأقطار ..


    الإمام ناصر محمد اليماني
    02 - ربيع الثاني - 1440 هـ
    09 - 12 - 2018 مـ
    12:18 مساءً
    ( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
    ــــــــــــــــــــــــ



    تذكيرٌ ببيانٍ قصيرٍ لمن كان من أولي الأبصار في مختلف الأقطار ..


    بسم الله الواحد القهّار، والصلاة والسلام على النّبيّ الأميّ المختار خاتم الأنبياء والمرسلين محمد رسول الله صلّى الله عليه وجميع النبيين وأسلّم تسليماً، أمّا بعد..

    فأولاً نأمر بحذف الذي انتحل شخصيّة سلطان أحمد القَدَسي من بعد اعتراف القَدَسي في صفحته أنّه ليس هو من سجّل اسمه ولم يكتب شيئاً في موقعنا، فكيف نردّ على منتحل شخصيّةٍ؟ أفلا يسجل سلطان أحمد القَدَسي في موقعي ليتمّ الحوار في قسمه الذي كرّمناه به للشهرة المشؤومة عليه، فهو ليس إلا يريد الشهرة كونه حين يحاور الإمام يصبح مشهوراً، وبئس شهرة الإعراض عن ذكر الله، فهي كما شهرة إبليس في القرآن عبر الزمن، فالذي يسعى للصدّ عن الحقّ لا يهدي الله قلبه إلى الحقّ ويجعله عليه عمًى بسبب التجرّؤ على الله لكسب الدنيا باسم الدين، فلا عذر للمسمّى سلطان أحمد القَدَسي من التسجيل في موقعنا ليتمّ حوارُ سلطان العلم وقرع الحجّة بالحجّة بسلطان العلم المبين، ولا ولن نقبل شخصاً ينتحل شخصيّة سلطان أحمد القَدَسي من بعد إعلانه في صفحته أنه ليس هو من سجّل اسمه ولم يكتب حرفاً في موقعنا بعد ولا يزال متهرباً، إذاً فكيف نردّ على رجلٍ انتحل شخصيّة الرجل وقد أعلن بذلك عبر صفحته؟ فهذا غير منطقيّ.

    وعليه نأمر بحذف عضويّة المُنتحِل لشخصيّة سلطان أحمد القَدَسي وكذلك حذف جميع مشاركات هذا المُنتحِل وتِبيان سبب حذف عضويّته للآخرين ليكون درساً للذين ينتحلون الشخصيّات كذباً وزوراً، فلا نسمح بهذا أبداً بل لا بدّ من التأكد من شخصيّة العالِم المشهور من علماء المسلمين أو مفتي أحد الديّار الإسلاميّة بمراسلته في صفحته واعترافه وإقراره أنه الشيخ الفلاني خطيب الجامع الفلاني مع ذكر دولته ومحافظته وقريته أو مدينته، فمن ثمّ يتمّ التأكد من عدم انتحال شخصيّته. وأمّا أن نستمر في حوار أسماءٍ مجهولةِ الهويّة ونقيم عليهم الحجّة ولا يعلمُ تلاميذُهم أنّ معلمهم أقيمت عليه الحجّة فيتّبعون الحقّ من ربّهم فتلك سياسة الخداع صبرنا عليها كثيراً على مدار السنين، ولكنه قد صدر قرارٌ مني من قبل؛ قرارٌ بعدم الاستمرار بحوار شخصيّاتِ مجهولي الهويّة وأصحاب الأسماء المستعارة من المجادلين، والحكمة من ذلك حتى يعلم طُلّاب العلم لديهم أو حاضرو خطبهم المنبريّة أننا أقمنا على معلمهم الحجّة البالغة فيتركونه فيتّبعون صاحب البرهان المبين الذي يبيّن القرآن بالقرآن بالآيات المُبيّنات والبَيّنات ونفصّله تفصيلاً وليس مجرد تفسير.

    ويا علماء المسلمين، ألا أعظكم بواحدةٍ؟ وهي أن تنظروا بياني لكثيرٍ من آيات القرآن بالقرآن، فمن ثم تقارنوها مع تفاسير المفسرين من عند أنفسهم، فهنا حتماً سوف تجدون الفرق بين بياني للقرآن بالقرآن وتفاسير أئمتكم السابقين كالفرق بين الظلمات والنور، فطبِّقوا هذا البحث وسوف يتبيّن لكم الحقّ من الباطل وكيف أضلّوكم بخزعبلاتهم بتفاسيرَ من عند أنفسهم، واختلفوا ولم يهيمن أحدهم على الآخر. ومنهم كانوا سبب تفرّقكم إلى مذاهبَ وأحزاب الفتنة حتى وصلتم إلى ما وصلتم إليه ليس فقط اختلافاً فقهيّاً في التفسير؛ بل عظم الأمر إلى سفك دماء بعضكم بعضاً. فيا لها من جريمةٍ كبرى أن يقولوا على الله ما لا يعلمون! بل يتّبعون ظنّ التفسير من عند أنفسهم وهو محرمٌ عليهم أن يقولوا على الله ما لا يعلمون أنه الحقّ المقصود من عند ربهم، ما لم يتوبوا فهذا يُعتبر تحريفٌ لكلام الله عن مواضعه المقصودة وإضلالٌ للعالمين.

    ألا ترون بيان الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني للقرآن بالقرآن ونقذف من القرآن بالحقّ على الحديث المفترى فيدمغه فإذا هو زاهقٌ فيتبيّن للباحثين أنه حديثٌ سنّيٌّ مكذوبٌ عن الله ورسوله؟ وكذلك نحقّ الأحاديث الحقّ التي من عند الله ورسوله في السُّنة النبويّة ونأتي ببرهانها من محكم القرآن، وإنما ننسف من الأحاديث المفتراة على الله ورسوله المدسوسة بين الأحاديث والروايات التي تأتي مخالفةً لكلام الله المحفوظ من التحريف في محكم القرآن العظيم بنسبة مائة في المائة.

    فيا ويلكم من عذاب يومٍ قريبٍ أيّها المعرضون عن داعي الهدى من ربّهم بالبرهان المبين للناس أجمعين، ويا ويل الساكتين عن الاعتراف بالحقّ من ربّهم من بعدما تقبلته عقولهم فالساكت عن الحقّ شيطانٌ أخرس. فأين المفرّ يا معشر المعرضين عن الذّكر حكم الله الواحد القهّار؟ ويذهبون للطاغوت ليحكم بينهم وهم يتقاتلون باسم الدين! فهل على الله تجرؤون؟ فسوف نرى ماذا يفعل بكم ربّ العالمين، أم سوف تقولون مجرد كوارث طبيعيّةٍ كمثل قول الملحدين؟ قاتلكم الله أنّى تؤفكون! وأنتم تعلمون أنّ المسيطر على الأرض والسماء ربّ العالمين، وهو الذي يوحي للبرّ والبحر ما يفعلون بأمرٍ منه، وعلماء المسلمين ليعلمون ذلك، ورغم ذلك يتّبع كثيرٌ منهم قول الملحدين بقولهم كوارث الطبيعة، إذاً فكيف كان يعذّب الله الكفار من قبل، أليس بالزلازل والبحار والنيازك والغرق بالفيضانات؟ فتذكّروا قول الله تعالى:
    {ظَهَرَ الْفَسَادُ فِي الْبَرِّ وَالْبَحْرِ بِمَا كَسَبَتْ أَيْدِي النَّاسِ لِيُذِيقَهُم بَعْضَ الَّذِي عَمِلُوا لَعَلَّهُمْ يَرْجِعُونَ ﴿٤١﴾} صدق الله العظيم [الروم].

    وتذكروا قول الله تعالى:
    {وَلَنُذِيقَنَّهُم مِّنَ الْعَذَابِ الْأَدْنَىٰ دُونَ الْعَذَابِ الْأَكْبَرِ لَعَلَّهُمْ يَرْجِعُونَ ﴿٢١﴾ وَمَنْ أَظْلَمُ مِمَّن ذُكِّرَ بِآيَاتِ رَبِّهِ ثُمَّ أَعْرَضَ عَنْهَا ۚ إِنَّا مِنَ الْمُجْرِمِينَ مُنتَقِمُونَ ﴿٢٢﴾} صدق الله العظيم [السجدة].

    فوالله ثمّ والله إن الذين يسمّون عذاب الله بالكوارث الطبيعيّة فإنهم كفروا بما أُنزل على كافة أنبياء الله ورسله وكفروا بموسوعة كُتبِ الله "القرآن العظيم" ذكر الأولين والآخرين، وفصّل الله لكم كيف فعل بهم فمنهم من أتى الله بنيانهم من القواعد فَخَرّ عليهم السقف، ومنهم من أغرق، ومنهم من خسف به الأرض، ومنهم من أرسل عليه الريح العقيم، ومنهم من أرسل عليه كسف عذاب يوم الظُلّة وحجارةً من نارٍ، وغير ذلك من عذاب الله لعلّه عظةٌ وعبرةٌ للمتقين الذين يعقلون، وأمّا الملحدون فحتماً سوف يقولون كوارث طبيعيّة حتى يأتيهم عذابٌ أكبرُ وأكبرُ حتى يهلكهم الله وهم كافرون إذا لم يتوبوا إلى ربّهم.

    ربّ احكمْ بالحقّ وأنت خير الفاصلين إنك بعبادك خبيرٌ بصيرٌ، فليس الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني إلا مُذكِّراً ونذيراً من بأسٍ من الله شديدٍ لعل الذين يعقلون يتّبعون داعي الحقّ من ربّهم أو يزيدهم الله عذاباً. فإلى متى الإعراض عن داعي الاحتكام إلى الله بحكم كتابه القرآن العظيم وتذهبون لأحكام الطاغوت الذي يريد لكم الشرّ ولا يريد لكم الخير؛ بل ويمكرون بكم وبأيديكم؟ فلكم أنتم قومٌ مجرمون يا أصحاب القرار! ولسوف ترون عذاب الله الواحد القهّار أنتم والكفار بالذّكر العظيم، والأمر لله من قبل ومن بعد.

    وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
    خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني .
    _____________

    [ لقراءة البيان من الموسوعة ]
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=36400


    اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..

    كُفيــتَ يا قلـــبُ بالنّعيـم تَقربــاً وما كانَ للقلب عن حبّه لَيحيدُ
    وَكلّما مالَت شغافُ القلبِ للدُّنيا كانَ الوريدُ إلى الحَبيب مُريدُ

المواضيع المتشابهه
  1. مشاركات: 1
    آخر مشاركة: 10-12-2019, 11:34 PM
  2. مشاركات: 1
    آخر مشاركة: 21-12-2018, 06:39 PM
  3. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 26-08-2018, 07:50 PM
  4. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 07-08-2018, 02:59 AM
  5. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 18-03-2018, 07:05 PM
ضوابط المشاركة
  • لا تستطيع إضافة مواضيع جديدة
  • لا تستطيع الرد على المواضيع
  • لا تستطيع إرفاق ملفات
  • لا تستطيع تعديل مشاركاتك
  •