- 2 -
Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
17 - 05 - 1433 هـ
09 - 04 - 2012 مـ
05:36 صباحاً
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=6284
ـــــــــــــــــــــ


الردّ الثاني من الإمام ناصر محمد اليماني إلى الأحمديّين الذين ضلّ سعيُهم في الحياة الدنيا ويحسبون أنّهم مهتدون ..
Jibu La Pili Kutoka Kwa Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani Kwa Ma Ahmadiyin Wale Ambao Mbio Zao Zimepotea Katika Maisha Ya Dunia Na Wao Wanaona Wameongoka ..

Bismillah Al'Rahman Al'Rahim, Na Sala Na Salam Ju Ya Babu Yangu Muhammad Mtume Wa Allah Na Alihi Walio Tahirika Na Wote Ma Anssar Wa Allah Na Mitume Wake Mpaka Siku Ya Dini, Ama Baada Ya Hapo ..


Asalam Alekom Warahmatullahi Wa Barakatuhu ma3ashara Anssar Asabiqina Alakhyar, Na Salamu Allah Ju Ya Watafiti Wa Haki Katika Ulimwengu, Asalam Ju yetu na ju ya waja wa Allah wema..
Na enyi ma3ashara ya ma Anssar Walio Tangulia Walio Bora, Namshuhudisha Allah Mola Mlezi Wa Ulimwengu sijawafundisha kutukana wala kushutumu; Bali hoja ya nguvu ya utawala wa ilimu! Basi musiwashutumu majahili na museme salamu na mujiapushe na ulaghai mutakua katika waja wa Al'Rahman (Allah); Wale Ambao Amewasifu Allah Katika Muhakam ilio wazi Kitabu Chake:
{وَإِذَا خَاطَبَهُمُ الْجَاهِلُونَ قَالُوا سَلَامًا ﴿٦٣﴾} [الفرقان].
{ na wajinga wakiwasemeza hujibu: Salama (63)} [Alfurqan]


Na enye ma3ashara ya ma Ahmadiyin mcheni Allah na munitii mimi huwenda mukaongoka, Na wala Hakufanya Allah hoja ya mlinganizi kwa Allah ni Kiapo Kwa Allah Al3adhim bali hoja ni nguvu ya utawala ya ilimu basi hio kwenu ndio ushuhuda wa ukweli wa ulinganizi kwenye haki ikiwa nyinyi munajua. Kusadikisha Kwenye Kauli Ya Allah Ta3ala:
{قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ إِنْ كُنتُمْ صَادِقِينَ} [البقرة:111].
{
Sema leteni ushuhuda wenu ikiwa nyinyi ni wakweli } Sadaqa Allah Al3adhim [Al'Baqara:111].
Allah Ta3ala Asema:
{قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ إِنْ كُنتُمْ صَادِقِينَ} [النمل:64].
{
Sema leteni ushuhuda wenu ikiwa nyinyi ni wakweli} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnaml:64].

Na nini hio ushuhuda na jibu? Hakika ni nguvu ya utawala wa ilimu kutoka kwa muhakam ilio wazi maana yake Kitabu. Na Akasema Allah Ta3ala:
{قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ هَذَا ذِكْرُ مَن مَّعِيَ وَذِكْرُ مَن قَبْلِي بَلْ أَكْثَرُهُمْ لا يَعْلَمُونَ الْحَقَّ فَهُم مُّعْرِضُونَ} صدق الله العظيم [الأنبياء:24].
Allah Ta3ala Asema:
{Sema leteni ushuhuda wenu, hi ukumbusho walio nami na ukumbusho kabla yangu bali wengi wao hawajuwi haki basi wao wanakanusha} Sadaqa Allah Al3adhim [Alanbia:24].

Na nitatoa Qasam kwa haki pamoja ya kwamba kiaapo sio utawala wa ilimu, Na nasema:
Natoa Qasam Billah Al3adhim mwenye kuhuisha mifupa yakiwa yame'mumunyika Mola Mlezi wa Mbingu na Ardhi na kiliomo baina yao na Mola Mlezi Wa Arshi Kuu Mimi ni Al'Imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Ameniteuwa Allah Kwa Watu Imamu na Akanipa mkono kwa Bayana ya haki Ya Al'Quran Al3adhim ili iwe ushuhuda wa Al'Imam Alio Baini wazi. Kusadikisha Kwa Kwenye kauli Ya Allah Ta3ala:
{قَالَ إِنَّ اللَّهَ اصْطَفَاهُ عَلَيْكُمْ وَزَادَهُ بَسْطَةً فِي الْعِلْمِ} صدق الله العظيم [البقرة:247].
Allah Ta3ala Asema:
{ Akasema: Mwenyezi Mungu amemteua yeye juu yenu na amemzidishia ukunjufu wa ilimu} Sadaqa Allah Al3adhim [Al'Baqara:247].

Allahuma Wasamehe Ma Ahmadiyin Na Waislamu Wote Hakika Wao Hawajuwi, Na inaLilahi wa ina ileyhi Larajiun.

Na Salam Ju Ya Mitume Na Al'Hamdulillah Rabil3alamin ..
Ndugu Yenu Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
أخوكم؛ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
______________

- 3 -

Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani.
الإمام ناصر محمد اليماني
18 - 05 - 1433 هـ
10 - 04 - 2012 مـ
05:19 صباحاً
ـــــــــــــــــــــ

الردُّ الثالث من الإمام المهديّ إلى الأحمديّين وكافة المسلمين والنّصارى والناس أجمعين ..
Jibu la Tatu Kutoka Kwa Al'Imam Al'Mahdi Kwa Ma Ahmadiyin Na Wote Waislamu Na Wakristo Na Watu Wote ..


Bismlllah Al'Rahman Al'Rahim, Na Sala Na Salam Ju Ya Babu Yangu Muhammad Mtume Wa Allah Na Alihi Walio Tahirika na Wote Ma Nabi Na Ahli Zao Walio Tahirika, Na Waislamu Wote wanao Fwata Mpaka Siku Ya Dini.
Baada Ya Hapo.


Enye watu hakika mimi ni Al'Imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Khalifa Wa Allah katika Ardhi Na Akanifanya Allah Kwa Watu Imamu na mfalme ju yenu na akanizidisha ukunjufu katika ilimu ya kitabu ju ya wanazuoni wote wa dini na waislamu wote basi hatonijadili yoyote katika Al'Quran ispokua nitamshinda kwa utawala wa ilimu na hakika sisi ni wa kweli, Wala sio changamoto ya kujighuri bali changamoto ya Al'Imam Al'Mahdi katika zama za mazungumzo kabla ya kudhihiri, Na wala hajanitumiliza Allah ni Mtume Kw Kitabu kipya bali imamu katika watu wema shahidi kwa haki ju ya walimwengu Anmpa Allah ilimu ya Kitabu Al'Quran Al3adhim. Amesema Allah Ta3ala:
{وَيَقُولُ الَّذِينَ كَفَرُوا لَسْتَ مُرْسَلًا قُلْ كَفَى بِاَللَّهِ شَهِيدًا بَيْنِي وَبَيْنَكُمْ وَمَنْ عِنْدَهُ عِلْمُ الْكِتَابِ} صدق الله العظيم [الرعد:43].
Alalh Ta3ala Asema:
{ Wanasma wale walio kufuru wewe hujatumwa sema tosha Allah Kua Shahidi baina yangu na baina yenu na yule ambae ana ilimu ya kitabu) Sadaqa Allah Al3adhim [Alraad:43].
'
Na Suali lajitokeza lenyewe: Na nani huyo ambae Allah Atampa ilimu ya kitabu Amfanye ni shahidi kwa haki ju ya walimwengu? Na je yeye ni Mtu Anampa Allah kitabu kipya baada ya Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam? Ama Allah Anampa ilimu ya Bayana ya Haki Ya Al'Quran? Na Mutapata Jibu Kwenye Muhakam ilio wazi maana yake kitabu katika Kauli Yake Allah Ta3ala:
{الرَّحْمَـٰنُ ﴿١﴾ عَلَّمَ الْقُرْآنَ ﴿٢﴾ خَلَقَ الْإِنسَانَ ﴿٣﴾ عَلَّمَهُ الْبَيَانَ ﴿٤﴾} صدق الله العظيم [الرحمن].
Allah Ta3ala Asema:
{ Al'Rahman Mwingi Wa Huruma (1) Amefundisha Al'Quran (2) Akaumba mtu (3) Akamfundisha Kubaini (4)} Sadaqa Allah Al3adhim [Al'Rahman].


Na Suali Lingine Lasema: Basi nani huyo Ni Mtu Ambae Allah Anamfundisha Bayana Ya Haki Ya Al'Quran, Na je yeye ni Nabi mpya atamtumiliza Allah baada ya Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam? Na mutapata jibu katika muhakam ya kitabu:
{مَا كَانَ مُحَمَّدٌ أَبَا أَحَدٍ مِنْ رِجَالِكُمْ وَلَكِنْ رَسُولَ اللَّهِ وَخَاتَمَ النَّبِيِّينَوَكَانَ اللَّهُ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيمًا} صدق الله العظيم [الأحزاب:40].
Allah Ta3ala Asema:
{ Haikua Muhammad Ni Baba Wa Yoyote Katika Wanaume wenu lakini ni Mtume Wa Allah na mwisho wa ma Nabi Na Hakika Allah Kwakila Kitu Anajua } Sadaqa Allah Al3adhim [Alahzab:40].


Na labda anataka Kwamba anikatize moja katika ya waulizaji Aseme:" Na vipi Atamfundisha Allah huyu Mtu Bayana Ya Haki ya Al'Quran". Na Alafu anarudisha jibu Ju Yao Al'Imam Al'Mahdi Na Nasema: Amesema Allah Ta3ala:
{وَمَا كَانَ لِبَشَرٍ أَن يُكَلِّمَهُ اللَّهُ إِلَّا وَحْيًا أَوْ مِن وَرَاء حِجَابٍ أَوْ يُرْسِلَ رَسُولًا فَيُوحِيَ بِإِذْنِهِ مَا يَشَاء إِنَّهُ عَلِيٌّ حَكِيمٌ} صدق الله العظيم [الشورى:51].
Allah Ta3ala Asema: {
Na haikuwa kwa mwanaadamu kwamba Mwenyezi Mungu amsemeze ila kwa Wahyi (Ufunuo), au kwa nyuma ya pazia, au kumtuma Mjumbe. Naye humfunulia ayatakayo kwa idhini yake. Hakika Yeye ni Mtukufu, Mwenye hikima} Sadaqa Allah Al3adhim [Ashura:51].
Na hapa Amebainisha Allah Kwenu njia ya Wahyi katika hali ya kua macho ni aina tatu kama ifwatavo:

1- :
{وَمَا كَانَ لِبَشَرٍ أَن يُكَلِّمَهُ اللَّهُ إِلَّا وَحْيًا}

{ Na haikuwa kwa mwanaadamu kwamba Mwenyezi Mungu amsemeze ila kwa Wahyi (Ufunuo)}

Basi hivo ni wahyi Kwa njia ya kufahamisha moja kwa moja kutoka kwa Mola Mlezi mpaka kwenye moyo bila sauti. Kusadikisha Kwa Kauli Ya Allah Ta3ala:

{فَفَهَّمْنَاهَا سُلَيْمَانَ وَكُلًّا آتَيْنَا حُكْمًا وَعِلْمًا} صدق الله العظيم
[الأنبياء:79].
Allah Ta3ala Asema: {
2- {أَوْ مِن وَرَاء حِجَابٍ} { Au kwa nyuma ya pazia}
Na hivo ni wahyi wa kusemeza nyuma ya pazia kwa Sauti. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَكَلَّمَ اللَّهُ مُوسَى تَكْلِيمًا} صدق الله العظيم [النساء:164].
{
Na Mwenyezi Mungu alinena na Musa kwa maneno.} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnissa:64].
Na ispokua bayana ya Kauli Ya Allah Ta3ala:

{تَكْلِيمًا} { Kwa Maneno}
Na Akusudia kuzungumza kwa maneno kwa sauti wala sio kufahamishwa kwakua iko wahyi kwa maneno kwa kufahamishwa kutoka kwa Mola Mlezi Ndani ya Moyo, Kwajili Ya Haivo Amesema Allah Ta3ala:
{وَكَلَّمَ اللَّهُ مُوسَى تَكْلِيمًا} صدق الله العظيم
{
Na Mwenyezi Mungu alinena na Musa kwa maneno.} Sadaqa Allah Al3adhim;
ani Kwa Sauti inao sikika kwa kunong'ona kuita kutoka nyuma ya pazia. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:

{وَنَادَيْنَاهُ مِنْ جَانِبِ الطُّورِ الْأَيْمَنِ وَقَرَّبْنَاهُ نَجِيًّا} صدق الله العظيم [مريم:52].
Allah Ta3ala Asema:
{
Na tulimwita upande wa kulia wa mlima na tukamsogeza kunong'ona naye } Sadaqa Allah Al3adhim [Maryam:52].

3-
{أَوْ يُرْسِلَ رَسُولًا فَيُوحِيَ بِإِذْنِهِ مَا يَشَاء إِنَّهُ عَلِيٌّ حَكِيمٌ} صدق الله العظيم،
{
au kwa nyuma ya pazia, au kumtuma Mjumbe. Naye humfunulia ayatakayo kwa idhini yake. Hakika Yeye ni Mtukufu, Mwenye hikima } Sadaqa Allah Al3adhim,
Na hio Wahyi kwa njia ya kumtuma Jibril ju yake Sala na Salam. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{يُلْقِي الرُّوحَ مِنْ أَمْرِهِ عَلَى مَن يَشَاءُ مِنْ عِبَادِهِ لِيُنذِرَ يَوْمَ التَّلَاقِ} صدق الله العظيم [غافر:15].
Allah Ta3ala Asema:
{Hupeleka Roho kwa amri yake juu ya amtakaye katika waja wake, ili kuonya kwa Siku ya Mkutano} Sadaqa Allah Al3adhim [ Ghafir:15].

Na labda ataka kunikatiza moja katika waulizaji Aseme:" Basi hutubainishi sisi vipi njia ya wahyi wa kufahamisha kutoka Kwa Mola Mlezi mpaka kwa Moyo?"

Na alafu anarudisha jibu ju yake kwa Kauli Ya Allah Ta3ala:

{فَلَمَّا ذَهَبُوا بِهِ وَأَجْمَعُوا أَن يَجْعَلُوهُ فِي غَيَابَتِ الْجُبِّ ۚ وَأَوْحَيْنَا إِلَيْهِ لَتُنَبِّئَنَّهُم بِأَمْرِهِمْ هَـٰذَا وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ ﴿١٥﴾}صدق الله العظيم [يوسف].
Allah Ta3ala Asema: {

Basi walipo mchukua na wakakubaliana wamtumbukize ndani ya kisima, tulimfunulia Yusuf: Hapana shaka yoyote utakuja waambia kwa jambo lao hili, na wala wao hawatambui (15)} Sadaqa Allah Al3adhim [Yusuf].


Na hivo ni Wahyi wa kufahamishwa Kutoka kwa Mola Mlezi mpaka kwenye Moyo wa Yusuf bin Yakub kabla kumtumiliza Allah Kua Mtume, Basi wakati walipo mtubukiza ndugu zake katika kisima Amempa Allah Wahyi kwa Moyo kwamba hatomwacha wala hatomwacha apote na kwamba mbinu zao hizi itakua sababu ya kutafsiri ndoto yake ndio Amenzi Allah awadhalilishe Allah ndio wampate wamombe sadaqa na wao hawajuwi kwamba ni ndugu yao Yusuf Kwakua yeye yuko katika utukufu wa hali ya ju, Kwajili ya hivo hiku'wapitilia kwamba yeye ndio ndugu yao Yusuf, Kwajili ya hivo ndio watamomba sadaka na wao hawajuwi kwamba ni ndugu yao Yusuf mpaka alipo wajulisha walio yafanya katika kisima, Na kwenye ushuhuda ulio baini. Akasema Allah Ta3ala:

{وَجَاءَ إِخْوَةُ يُوسُفَ فَدَخَلُوا عَلَيْهِ فَعَرَفَهُمْ وَهُمْ لَهُ مُنْكِرُونَ} صدق الله العظيم [يوسف:58].
{
Wakaja ndugu zake Yusuf, na wakaingia kwake. Yeye akawajua na wao hawakumjua } Sadaqa Allah Al3adhim [ Yusuf:58].


Na hawakuhisi kwamba ni ndugu yao Yusuf ispokua wakati walipo muomba sadaqa katika mkutano mwengine na wao wadhalilifu, Alafu akawakumbusha vile walivo mfanyia katika kisima. Akasema Allah Ta3ala:

{فَلَمَّا دَخَلُوا عَلَيْهِ قَالُوا يَا أَيُّهَا الْعَزِيزُ مَسَّنَا وَأَهْلَنَا الضُّرُّ وَجِئْنَا بِبِضَاعَةٍ مُّزْجَاةٍ فَأَوْفِ لَنَا الْكَيْلَ وَتَصَدَّقْ عَلَيْنَا ۖ إِنَّ اللَّـهَ يَجْزِي الْمُتَصَدِّقِينَ﴿٨٨﴾}

صدق الله العظيم [يوسف].
Allah Ta3ala Asema:
{Basi walipo ingia kwa Yusuf walisema: Ewe Mheshimiwa! Imetupata shida, sisi na watu wetu. Na tumeleta mali kidogo. Basi tupimie kipimo na fanya kama unatupa sadaka. Hakika Mwenyezi Mungu huwalipa watoao sadaka (88)} Sadaqa Allah Al3adhim [Yusuf].

Na ndugu zake madhalili wanao omba sadaqa hawakuhisi kwamba yule mwanmume ambao wamomba sadaqa ni ndugu yao ispokua wakati alipo wakumbusha walivo mfanya. Akasema Allah Ta3ala:
{فَلَمَّا دَخَلُوا عَلَيْهِ قَالُوا يَا أَيُّهَا الْعَزِيزُ مَسَّنَا وَأَهْلَنَا الضُّرُّ وَجِئْنَا بِبِضَاعَةٍ مُّزْجَاةٍ فَأَوْفِ لَنَا الْكَيْلَ وَتَصَدَّقْ عَلَيْنَا ۖ إِنَّ اللَّـهَ يَجْزِي الْمُتَصَدِّقِينَ ﴿٨٨﴾ قَالَ هَلْ عَلِمْتُم مَّا فَعَلْتُم بِيُوسُفَ وَأَخِيهِ إِذْ أَنتُمْ جَاهِلُونَ ﴿٨٩﴾ قَالُوا أَإِنَّكَ لَأَنتَ يُوسُفُ ۖ قَالَ أَنَا يُوسُفُ وَهَـٰذَا أَخِي ۖ قَدْ مَنَّ اللَّـهُ عَلَيْنَا} صدق الله العظيم [يوسف:88-89-90].
Allah Ta3ala Asema:
{ Basi walipo ingia kwa Yusuf walisema: Ewe Mheshimiwa! Imetupata shida, sisi na watu wetu. Na tumeleta mali kidogo. Basi tupimie kipimo na fanya kama unatupa sadaka. Hakika Mwenyezi Mungu huwalipa watoao sadaka (88) Akasema: Je! Mmejua mliyo mfanyia Yusuf na nduguye mlipo kuwa wajinga (89) Wakasema: Kumbe wewe ndiye Yusuf? Akasema: Mimi ndiye Yusuf, na huyu ni ndugu yangu. Mwenyezi Mungu ametufanyia hisani. Hakika anaye mcha Mungu na akasubiri, basi Mwenyezi Mungu haachi ukapotea ujira wa wafanyao mema.(90)} Sadaqa Allah Al3adhim [Yusuf].
Na imebainika kwenu bayana ya haki kwenye Kauli Ya Allah Ta3ala:
{فَلَمَّا ذَهَبُواْ بِهِ وَأَجْمَعُواْ أَن يَجْعَلُوهُ فِي غَيَابَةِ الْجُبِّ وَأَوْحَيْنَا إِلَيْهِ لَتُنَبِّئَنَّهُم بِأَمْرِهِمْ هَذَا وَهُمْ لاَ يَشْعُرُونَ} صدق الله العظيم،
Allah Ta3ala Asema:
{ {Basi walipo mchukua na wakakubaliana wamtumbukize ndani ya kisima, tulimfunulia Yusuf: Hapana shaka yoyote utakuja waambia kwa jambo lao hili, na wala wao hawatambui (15)} Sadaqa Allah Al3adhim,


Na imebainika kwenu kwamba Amepata Yusuf kutoka Kabla kwa Wahyi wa kufahamisha kabla Hajamfanya Allah Mtume kwa Familia ya firaun ju yake Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam.

Na labda wanafurahi kwa hi Bayana Watu wa (Moyo umenihadithia) Alafu waseme:" Kwahivo inao piata kwa kifua ispokua ni Wahyi kutoka Kwa Mola Mlezi". Na Alafu anarudisha jibu kwao Al'Imam Al'Mahdi Na Nasema: ikiwa katika dini huwenda ikawa ni Wahyi wa kufahamisha Kutoka Kwa Mola Mlezi mpaka kwa moyo na huwenda ni waswasi wa shetani maluni katika kifua, Basi kuweni na hadhari..

Na ama vipi mutatafautisha baina ya Wahyi wa kufahamisha na waswasi wa shetani maluni je ni kutoka kwa Al'Rahman ama ni kutoka kwa shetani; ikiwa ni katika dini basi hapana budi na ushuhuda ulio baini wazi nayo ni awalete nguvu ya utawala wa ilimu kutoka kwa Al'Quran Ju ya yale Alio Mfundisha Allah nayo kwenye ilimu ya kubainisha Ya Haki ya Al'Quran, La sivo basi hio itakua ni waswasi kutoka kwa shetani wala sio Wahyi Kutoka Kwa Al'Rahman basi tahadharini.

Na nawahadharisha shirki kwa Allah, Hakika shirki ni dhulma kuu ju ya nafsi zenu na umma wenu. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:


{فَلَا تَدْعُوا مَعَ اللَّهِ أَحَدًا} صدق الله العظيم [الجن:18].
Allah Ta3ala Asema:
{ Basi musiombe pamoja na Allah yoyote} Sadaqa Allah Al3adhim [Aljin:18].

{وَمَا يُؤْمِنُ أَكْثَرُهُمْ بِاللَّهِ إِلا وَهُمْ مُشْرِكُونَ} صدق الله العظيم [يوسف:106].
Allah Ta3ala Asema:
{ Na hawamini wengi wao kwa Allah ispokua wao washirikina} Sadaqa Allah Al3adhim [Yusuf:106].


Basi miongoni mwenu mwenye kuomba pasi na Allah waja wake waliokaribishwa ili wawakurubishe kwa Allah karibu na wataraji shafaa yao siku ya dini, Na wakasahau kwamba Allah Yeye Ana huruma kwao kuliko waja wake wote na Wadi Wake ni Haki na Yeye Ni Arhama Arahimin. Na huwenda kutaka kunikatiza moja katika wamazuoni wa waislamu aseme:" sio shirlki kwa yule ataraji shafaa ya waja baina Ya Mikono Ya Mola Mlezi Anae Abudiwa bali washirikina pekeyake wale wanao abudu masanamu". Na alafu anarudisha jibu ju yao Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani: Na nasema haihat haihat, Akasema Allah Ta3ala:
{{وَمَا يُؤْمِنُ أَكْثَرُهُمْ بِاللَّهِ إِلا وَهُمْ مُشْرِكُونَ}}
صدق الله العظيم،
Allah Ta3ala Asema:
{ { Na hawamini wengi wao kwa Allah ispokua wao washirikina} Sadaqa Allah Al3adhim,
Basi Njoni niwafundishe makundi ya waumini washirikina kwa Allah kwa waja wake waliokurubishwa, Na makundi washirikina kwa Allah Malaika ma jini ma shetani na wao wanawadanganya ju yao kwamba wao ni malaika wa Al'Rahman waliokurubishwa.

Na enyi Al Ahmadiyin, Halika ikiwa nyinyi mwataka haki wala na hamtaki kando na haki basi pelezsni bayana hi inao fwata tumeiandika kabla hamjaja kwetu huwenda mukaongoka, Nayo kwa inwani:

Kutoka Kwa Mwenye ilimu Ya Kitabu Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
Hakika Ju Yangu Ni Kwamba Sisemi Ju Ya Allah Ila Ni Haki ..

________________________________________

اقتباس المشاركة: 9437 من الموضوع: { حَقِيقٌ عَلَى أَنْ لَا أَقُولَ عَلَى اللَّهِ إِلَّا الحقّ }..

Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
23 - 11 - 1431 هـ
31 - 10 - 2010 مـ
4:21 صباحاً
ـــــــــــــــــــ

{ حَقِيقٌ عَلَى أَنْ لَا أَقُولَ عَلَى اللَّهِ إِلَّا الحقّ}..
( Hakika Ju Yangu Ni Kwamba Sisemi Ju Ya Allah ila Ni Haki )


Bismillah Al'Rahman Al'Rahim
{إنَّ اللّه وَمَلائكَتَهُ يُصَلُّونَ عَلى النَّبِيِّ يَأَيُّها الذِيْنَ أمَنُوا صَلُّوا عَلَيْهِ وسَلِّمُوا تَسْلِيماً}،
{ Hakika Allah Na Malaika Wake Wanamsalia Nabi Enyi Mulio Amini Msalieni Na Musalimu Kutoa Salamu }
Sala Za Mola Mlezi Wangu Na Salamu Zake Ju Yako Ewe Mpendwa Wa Moyo Wangu Na Nachokipenda Zaidi Ndani Ya Nafsi Yangu Kuliko Mamangu Na Babangu Muhammad Mtume Wa Allah, Enyi Walio Amini Msalieni Na Musalimu Kutoa Salamu..


Wapendwa wangu kwa Allah ma Anssar Walio Tamgulia Walio Bora, Ndugu zangu wageni wanao tafuta haki katika meza ya mazungumzo, Hakika Mimi ni Al'Imam Al'Mahdi Wa Kweli kutoka Kwa Mola Mlezi Wenu Hajanifanya Allah kama mfano wa wanazuoni wenu katika wale wanasema ju Ya Allah yale hawa'yajuwi alafu wanasema:" Basi ikiwa nakosa basi ni kutoka kwa nafsi yangu na shetani", Na najilinda Kwa Allah niwe miongoni mwao katika kitu Bali nawambia nyinyi yale alio yasema Nabi Wa Allah Musa Na Mitume kabla yake na baada yake; Alisema Kila Moja Wao:
{حَقِيقٌ عَلَى أَنْ لاَ أَقُولَ عَلَى اللَّهِ إِلاَ الحقّ} [الأعراف:105].
{
Halika Ju Yangu Ni Kwamba Sisemi Ju Allah Ila Ni Haki } [Alaaraf:105].


Na hivo hivo Al'Imam Al'Mahdi Ambae Ni Mfwasi Wa minhaj yao Asema:
{حَقِيقٌ عَلَى أَنْ لاَ أَقُولَ عَلَى اللَّهِ إِلاَ الحقّ}،
{ Halika Ju Yangu Ni Kwamba Sisemi Ju Allah Ila Ni Haki },
Basi ikiwa sikuwabomoa kwa haki kutoka kwa Mola Mlezi Wenu kwa ma Aya baini ziko wazi kwa mwanachuoni wenu na jahili wenu basi mimi si Al'Mahdi Al'Muntadhar kwakua Allah hajatumiliza Ma Nabi na Al'Mahdi Al'Muntadhar ispokua ili wabainishie watu yale yalio teremka ju yao kutoka kwa Mola Mlezi wao, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَمَا أَرْسَلْنَا مِن رَّسُولٍ إِلاَّ بِلِسَانِ قَوْمِهِ لِيُبَيِّنَ لَهُمْ فَيُضِلُّ اللّهُ مَن يَشَاءُ وَيَهْدِي مَن يَشَاءُ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ} صدق الله العظيم [إبراهيم:4].
Allah Ta3ala Asema:
{ Na hatukutumiliza Mitume ila kwa ulimi wa kaumu yao ili abainishe kwao basi akapoteza Allah yule anae taka na Akamongoa anae taka na Yeye Mwenye Nguvu Mwenye Hikma} Sadaqa Allahu Al3adhim [Ibrahim:4].

Na hivo hivo Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam.
Akasema Allah Ta3ala:
{وَأَنزَلْنَا إِلَيْكَ الذِّكْرَ لِتُبَيِّنَ لِلنَّاسِ مَا نُزِّلَ إِلَيْهِمْ وَلَعَلَّهُمْ يَتَفَكَّرُونَ}صدق الله العظيم [النحل:44].
Allah Ta3ala Assma:
{ Na hakika tumekuteremshia kwako ukumbusho ili ubainishe kwa watu yale yalio teremka ju yao na huwenda wakatafalari } Sadaqa Allah Al3dhim [Alnahl:44].

Na kwajili ya hivo munapata Bayana yao inakuja ili izidishe kitabu cha Allah kubainka na kua wazi wala sio kuakidisha ju yao jambo, Na hivo hivo Al'Mahdi Al'Muntadhar Amemtumiliza Allah ili abainishe yale Alio Teremsha Allah ju yao katika Al'Quran Al3adhim na wala Hajamtumiliza Allah ili akidishe ju yao kufahamu kitabu cha Allah zaidi kuakidisha, Na najilinda Kwa Allah kwamba niwe katika ma jahili.

Na vile kwamba hakuna Wahyi mpya basi haitakiwi kwangu niwalete utawala wa ilimu kutoka kwa nafsi yangu bali nawachunguzia kwenu kutoka kwa Muhakam ilio wazi maana yake kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim na nifafanuwe ufafanuzi kwa kaumu wanafkiria, Na nitawapigia kwa hayo mfano katika Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَبُرِّزَتِ الْجَحِيمُ لِلْغَاوِينَ ﴿٩١﴾ وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ ﴿٩٢﴾ مِن دُونِ اللَّـهِ هَلْ يَنصُرُونَكُمْ أَوْ يَنتَصِرُونَ ﴿٩٣﴾ فَكُبْكِبُوا فِيهَا هُمْ وَالْغَاوُونَ ﴿٩٤﴾ وَجُنُودُ إِبْلِيسَ أَجْمَعُونَ ﴿٩٥﴾ قَالُوا وَهُمْ فِيهَا يَخْتَصِمُونَ ﴿٩٦﴾ تَاللَّـهِ إِن كُنَّا لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ ﴿٩٧﴾ إِذْ نُسَوِّيكُم بِرَبِّ الْعَالَمِينَ ﴿٩٨﴾ وَمَا أَضَلَّنَا إِلَّا الْمُجْرِمُونَ ﴿٩٩﴾ فَمَا لَنَا مِن شَافِعِينَ ﴿١٠٠﴾} صدق الله العظيم [الشعراء].
Allah Ta3ala Asema:
{ Na Jahannamu itadhihirishwa kwa wapotovu (91) Na wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwaabudu (92) Badala ya Mwenyezi Mungu? Je! Wanakusaidieni, au wanajisaidia wenyewe (93) Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu (94) Na majeshi ya Ibilisi yote (95) Watasema, na hali ya kuwa wanazozana humo (96) Wallahi! Kwa yakini tulikuwa katika upotovu ulio dhaahiri (97) Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote (98) Na hawakutupoteza ila wale wakosefu (99) Basi hatuna waombezi (100)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alshuara].


Na kwa vile Al'Imam Al'Mahdi ni katika walo zama katika ilimu ya kitabu basi hamutonipata natamka kuhusu Bayana ya Al'Quran ila kwa kauli ya ukweli kutoka kwa muhakam ya kitabu ili wakumbuke wenye akili, Niwahoji kwa ma Aya ya kitabu ambazo ni muhakam zilio wazi maana yake baini kwa mwanachuoni wenu na jahili wenu anazijua na anazifahamu kila mwenye ulimi wa kiarabu katika Binadamu na nitawaletea kwa bayana ya haki kwenye Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَبُرِّزَتِ الْجَحِيمُ لِلْغَاوِينَ ﴿٩١﴾ وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ ﴿٩٢﴾ مِن دُونِ اللَّـهِ هَلْ يَنصُرُونَكُمْ أَوْ يَنتَصِرُونَ ﴿٩٣﴾ فَكُبْكِبُوا فِيهَا هُمْ وَالْغَاوُونَ ﴿٩٤﴾ وَجُنُودُ إِبْلِيسَ أَجْمَعُونَ ﴿٩٥﴾ قَالُوا وَهُمْ فِيهَا يَخْتَصِمُونَ ﴿٩٦﴾ تَاللَّـهِ إِن كُنَّا لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ ﴿٩٧﴾ إِذْ نُسَوِّيكُم بِرَبِّ الْعَالَمِينَ ﴿٩٨﴾ وَمَا أَضَلَّنَا إِلَّا الْمُجْرِمُونَ ﴿٩٩﴾ فَمَا لَنَا مِن شَافِعِينَ ﴿١٠٠﴾} صدق الله العظيم.
Allah Ta3ala Asema:
{ Na Jahannamu itadhihirishwa kwa wapotovu (91) Na wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwaabudu (92) Badala ya Mwenyezi Mungu? Je! Wanakusaidieni, au wanajisaidia wenyewe (93) Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu (94) Na majeshi ya Ibilisi yote (95) Watasema, na hali ya kuwa wanazozana humo (96) Wallahi! Kwa yakini tulikuwa katika upotovu ulio dhaahiri (97) Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote (98) Na hawakutupoteza ila wale wakosefu (99) Basi hatuna waombezi (100)} Sadaqa Allah Al3adhim.
Na Akasema Allah Ta3ala:
{وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ ﴿٩٢﴾ مِن دُونِ اللَّـهِ هَلْ يَنصُرُونَكُمْ أَوْ يَنتَصِرُونَ ﴿٩٣﴾}،
Allah Ta3ala Asema:
{ Na wakambiwa wao wako wapi mulikua mukiwabudu (92) Pasi na Allah je wamewasaidieni au wameshinda (93)}.
Na Akasema Allah Ta3ala:
{إِنَّكُمْ وَمَا تَعْبُدُونَ مِن دُونِ اللَّهِ حَصَبُ جَهَنَّمَ} [الأنبياء:98].
{
Hakika nyinyi na munao wabudu mbali na Allah kuni ya jahanam} Sadaqa Allah Al3adhim [Alanbia:98].

Na suali ambalo lajiweka lenyewe ni: Na je Akusudia Allah Kwa Kauli Yake:
{إِنَّكُمْ وَمَا تَعْبُدُونَ مِن دُونِ اللَّهِ حَصَبُ جَهَنَّمَ}، فهل
{ Hakika nyinyi na munao wabudu mbali na Allah kuni ya jahanam }
Anakusudia Ni washirika wao katika kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَإِذَا رَأى الَّذِينَ أَشْرَكُواْ شُرَكَاءهُمْ قَالُواْ رَبَّنَا هَؤُلاء شُرَكَآؤُنَا الَّذِينَ كُنَّا نَدْعُوْ مِن دُونِكَ فَألْقَوْا إِلَيْهِمُ الْقَوْلَ إِنَّكُمْ لَكَاذِبُونَ} [النحل:86]؟
Allah Ta3ala Asema:
{ Na walio shirikisha watakapo waona hao walio washirikisha na Mwenyezi Mungu, watasema: Mola wetu Mlezi! Hawa ndio washirikishwa wetu ambao tulikuwa tukiwaabudu badala yako. Ndipo wale watakapo watupia kauli: Hakika nyinyi ni waongo } Sadaqa Allah Al3adhim [Alnahl:89]?

Na Akasema Allah Ta3ala:
{وَمَنْ أَضَلُّ مِمَّن يَدْعُو مِن دُونِ اللَّـهِ مَن لَّا يَسْتَجِيبُ لَهُ إِلَىٰ يَوْمِ الْقِيَامَةِ وَهُمْ عَن دُعَائِهِمْ غَافِلُونَ ﴿٥﴾ وَإِذَا حُشِرَ النَّاسُ كَانُوا لَهُمْ أَعْدَاءً وَكَانُوا بِعِبَادَتِهِمْ كَافِرِينَ ﴿٦﴾} صدق الله العظيم [الأحقاف].
Allah Ta3ala Asema:
{ Na nani mpotofu mkubwa kuliko hao wanao waomba, badala ya Mwenyezi Mungu, ambao hawatawaitikia mpaka Siku ya Kiyama, na wala hawatambui maombi yao (5) Na ambao watu watakapo kusanywa watakuwa maadui zao, na wataikataa ibada yao (6)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alahqaf].


Na Akasema Allah Ta3ala:
{وَيَوْمَ نَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا ثُمَّ نَقُولُ لِلَّذِينَ أَشْرَكُوا مَكَانَكُمْ أَنتُمْ وَشُرَكَاؤُكُمْ ۚ فَزَيَّلْنَا بَيْنَهُمْ وَقَالَ شُرَكَاؤُهُم مَّا كُنتُمْ إِيَّانَا تَعْبُدُونَ ﴿٢٨﴾ فَكَفَىٰ بِاللَّـهِ شَهِيدًا بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمْ إِن كُنَّا عَنْ عِبَادَتِكُمْ لَغَافِلِينَ ﴿٢٩﴾} صدق الله العظيم [يونس].
Allah Ta3ala Asema:
{ Na siku tutakapo wakusanya wote, kisha tutawaambia walio shirikisha: Simameni mahali penu nyinyi na wale mlio wafanya washirika. Kisha tutawatenga baina yao. Na hao walio washirikisha watasema: Nyinyi hamkuwa mkituabudu sisi (28) Mwenyezi Mungu anatosha kuwa ni shahidi baina yetu na nyinyi. Hakika sisi tulikuwa hatuna khabari ya ibada yenu (29)} Sadaqa Allah Al3adhim [Yunus].


Na Akasema Allah Ta3ala:
{قُلِ ادْعُوا الَّذِينَ زَعَمْتُم مِّن دُونِهِ فَلَا يَمْلِكُونَ كَشْفَ الضُّرِّ عَنكُمْ وَلَا تَحْوِيلًا ﴿٥٦﴾ أُولَـٰئِكَ الَّذِينَ يَدْعُونَ يَبْتَغُونَ إِلَىٰ رَبِّهِمُ الْوَسِيلَةَ أَيُّهُمْ أَقْرَبُ وَيَرْجُونَ رَحْمَتَهُ وَيَخَافُونَ عَذَابَهُ} صدق الله العظيم [الإسراء:56-57].
Allah Ta3ala Asema:
{ Sema: Waombeni hao mnao wadaia badala yake Yeye. Hawawezi kukuondoleeni madhara, wala kuyaweka pengine (56) Hao wanao waomba, wao wenyewe wanataka Alwasila yupi atakua karibu mno - na wanataraji rehema zake na wanaikhofu adhabu yake} Sadaqa Allah Al3adhm [Alisraa:56-57].

Na jibu: Subhana Ametukuka Mola Mlezi wangu vipi Atamadhibu Allah katika moto wa jahanam Waja wake Walio kurubishwa! ispokua Anawaadhibu wale ambao wamezidisha kuwatukuza bila ya haki na wanawaomba mbali na Allah. Na tunarudi kwenye suali mara ya pili Basi nani Anakusudia Allah Katika Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ ﴿٩٢﴾ مِن دُونِ اللَّـهِ هَلْ يَنصُرُونَكُمْ أَوْ يَنتَصِرُونَ ﴿٩٣﴾}،
{ Na wakambiwa wao wako wapi mulikua mukiwabudu (92) Pasi na Allah je wamewasaidieni au wameshinda (93)}.

Na Katika Kauli Ya Allah Ta3ala:
{إِنَّكُمْ وَمَا تَعْبُدُونَ مِن دُونِ اللَّهِ حَصَبُ جَهَنَّمَ} صدق الله العظيم،
{ Hakika nyinyi na munao wabudu mbali na Allah kuni ya jahanam} Sadaqa Allah Al3adhim,
Kwakua mutawapata kwamba Allah Amewatupa anae abudu na anae abudiwa bila ya haki katika moto wa jahanam.

Na jibu mutalipata katika muhakam ilio wazi maana yake katika kitabu kwenye kauli ya Allah Ta3ala:
{وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا ثُمَّ يَقُولُلِلْمَلَائِكَةِ أَهَـٰؤُلَاءِ إِيَّاكُمْ كَانُوا يَعْبُدُونَ ﴿٤٠﴾ قَالُوا سُبْحَانَكَ أَنتَ وَلِيُّنَا مِن دُونِهِم بَلْ كَانُوا يَعْبُدُونَ الْجِنَّ أَكْثَرُهُم بِهِم مُّؤْمِنُونَ﴿٤١﴾}صدق الله العظيم [سبأ].
Allah Ta3ala Asema:
{ Na siku atakayo wakusanya wote, kisha atawaambia Malaika: Je! Hawa walikuwa wakikuabuduni (40) Waseme: Subhanak, Umetakasika. Wewe ndiye kipenzi chetu si hao. Bali wao walikuwa wakiwaabudu majini; wengi wao wakiwaamini hao (41)} Sadaqa Allah Al3adhim [Sabaa].

Na huwenda kunikatiza mgeni wa meza ya mazungumzo ( Taha Yasin ) Aseme: " Taratibu Taratibu ewe Nasser Muhammad Al'Yamani Basi sijafahamu kinacho kusudiwa kwa Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا ثُمَّ يَقُولُ لِلْمَلَائِكَةِ أَهَـٰؤُلَاءِ إِيَّاكُمْ كَانُوا يَعْبُدُونَ ﴿٤٠﴾ قَالُوا سُبْحَانَكَ أَنتَ وَلِيُّنَا مِن دُونِهِم بَلْ كَانُوا يَعْبُدُونَ الْجِنَّ أَكْثَرُهُم بِهِم مُّؤْمِنُونَ ﴿٤١﴾}صدق الله العظيم
Allah Ta3ala Asema:
{ Na siku atakayo wakusanya wote, kisha atawaambia Malaika: Je! Hawa walikuwa wakikuabuduni (40) Waseme: Subhanak, Umetakasika. Wewe ndiye kipenzi chetu si hao. Bali wao walikuwa wakiwaabudu majini; wengi wao wakiwaamini hao (41)} Sadaqa Allah Al3adhim."
Na Alafu anarudisha jibu kwake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Na Nasema: Ewe Taha Yasin, Kinacho kusudiwa ni: Rafiki yako shetani ambae anakudanganya kwamba yeye ni Malaika wa Al'Rahman walio kurubishwa na anakuamuru umombe mbali na Allah; Bali Yeye ni Mrongo; Bali yeye ni shetani maluni katika kizazi cha ma shetani wala sio katika Malaika wa Al'Rahman, Na lau angekua ni miongoni mwao hangekuamuru umwabudu ndio umombe pasi na Allah, Na haikua kwa Malaika wa Al'Rahman awamuru nyinyi kwa yale sio kwao haki, Lakini wale ambao walikua kama mfano wako hawakugundua kwamba wao wanaabudu ma shetani ila pale Alipo Wauliza Suali kwa yale wanao abudu? Wakasema: Tulikwa tuna'abudu Malaika Wako waliokurubishwa karibu Kwako Mola Mlezi wetu basi wao ndio walio tuamuru kwa hayo, Na alafu Anwauliza suali Allah Malaik Wake Waliokaribishwa, Akasema:
{أَهَـٰؤُلَاءِ إِيَّاكُمْ كَانُوا يَعْبُدُونَ ﴿٤٠﴾ قَالُوا سُبْحَانَكَ أَنتَ وَلِيُّنَا مِن دُونِهِم بَلْ كَانُوا يَعْبُدُونَ الْجِنَّ أَكْثَرُهُم بِهِم مُّؤْمِنُونَ ﴿٤١﴾} صدق الله العظيم.
Allah Ta3ala Asema:
{ Je! Hawa walikuwa wakikuabuduni (40) Waseme: Subhanak, Umetakasika. Wewe ndiye kipenzi chetu si hao. Bali wao walikuwa wakiwaabudu majini; wengi wao wakiwaamini hao (41)} Sadaqa Allah Al3adhim,
ispokua Allah Amewauliza suali Malaika Wake Waliokurubishwa ili musikie ushuhuda wao kwa haki kwamba sio wao ambao walio'wamuru nyinyi kuwabudu pasi na Allah bali ni mashetani wazushi kwamba wao ni katika Malaika wa Al'Rahman waliokurubishwa, Kwajili ya hivo Amesema Allah Ta3ala:
{وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا ثُمَّ يَقُولُ لِلْمَلَائِكَةِ أَهَـٰؤُلَاءِ إِيَّاكُمْ كَانُوا يَعْبُدُونَ ﴿٤٠﴾ قَالُوا سُبْحَانَكَ أَنتَ وَلِيُّنَا مِن دُونِهِم بَلْ كَانُوا يَعْبُدُونَ الْجِنَّ أَكْثَرُهُم بِهِم مُّؤْمِنُونَ ﴿٤١﴾} صدق الله العظيم.
Allah Ta3ala Asema:
{Na siku atakayo wakusanya wote, kisha atawaambia Malaika: Je! Hawa walikuwa wakikuabuduni (40) Waseme: Subhanak, Umetakasika. Wewe ndiye kipenzi chetu si hao. Bali wao walikuwa wakiwaabudu majini; wengi wao wakiwaamini hao (41)} Sadaqa Allah Al3adhim.


Na Akasema Allah Ta3ala:
{وَبُرِّزَتِ الْجَحِيمُ لِلْغَاوِينَ ﴿٩١﴾ وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ ﴿٩٢﴾ مِن دُونِ اللَّـهِ هَلْ يَنصُرُونَكُمْ أَوْ يَنتَصِرُونَ ﴿٩٣﴾ فَكُبْكِبُوا فِيهَا هُمْ وَالْغَاوُونَ ﴿٩٤﴾ وَجُنُودُ إِبْلِيسَ أَجْمَعُونَ ﴿٩٥﴾ قَالُوا وَهُمْ فِيهَا يَخْتَصِمُونَ ﴿٩٦﴾ تَاللَّـهِ إِن كُنَّا لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ ﴿٩٧﴾ إِذْ نُسَوِّيكُم بِرَبِّ الْعَالَمِينَ ﴿٩٨﴾ وَمَا أَضَلَّنَا إِلَّا الْمُجْرِمُونَ ﴿٩٩﴾ فَمَا لَنَا مِن شَافِعِينَ ﴿١٠٠﴾ وَلَا صَدِيقٍ حَمِيمٍ ﴿١٠١﴾ فَلَوْ أَنَّ لَنَا كَرَّةً فَنَكُونَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ ﴿١٠٢﴾ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ ﴿١٠٣﴾} صدق الله العظيم [الشعراء].
Allah Ta3ala Asema:
{ { Na Jahannamu itadhihirishwa kwa wapotovu (91) Na wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwaabudu (92) Badala ya Mwenyezi Mungu? Je! Wanakusaidieni, au wanajisaidia wenyewe (93) Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu (94) Na majeshi ya Ibilisi yote (95) Watasema, na hali ya kuwa wanazozana humo (96) Wallahi! Kwa yakini tulikuwa katika upotovu ulio dhaahiri (97) Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote (98) Na hawakutupoteza ila wale wakosefu (99) Basi hatuna waombezi (100)

Wala rafiki wa dhati (101) Laiti tungeli pata kurejea tena tungeli kuwa katika Waumini (102) Hakika katika haya ipo Ishara, lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini (103)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alshuara].


Na Akasema Allah Ta3ala:

{احْشُرُوا الَّذِينَ ظَلَمُوا وَأَزْوَاجَهُمْ وَمَا كَانُوا يَعْبُدُونَ ﴿٢٢﴾ مِن دُونِ اللَّـهِ فَاهْدُوهُمْ إِلَىٰ صِرَاطِ الْجَحِيمِ ﴿٢٣﴾}صدق الله العظيم [الصافات].
Allah Ta3ala Asema:
{ Wakusanyeni walio dhulumu, na wake zao, na hao walio kuwa wakiwaabudu (22) Badala ya Mwenyezi Mungu. Waongozeni njia ya Jahannamu (23)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alsaffaat].

ispokua Anakusudia Allah Kwa Kauli Yake:
{وَمَا كَانُوا يَعْبُدُونَ}
{ na hao walio kuwa wakiwaabudu }
Basi Hakusudi ma wali wa Allah wale ambao wamezidisha kuwatukuza bila ya haki; Bali Anakusudia mfano wa rafkikiyako ambae anasema yeye ni katika Malaika wa Al'Rahman waliokurubishwa alafu anakuamuru umombe pasi na Allah na anataka kwako kile unacho kijua ewe ( Taha Yasin ), Basi yeye sio katika Malaika wa Al'Rahman walio kurubishwa bali yeye ni shetani rajim anakuzuwia kuto fwata njia ilio nyoka, Hakika mimi kwako ni wenye kukunasihi mwamwinifu basi usifwate shetani hakika yeye kwa Al'Rahamn ni mwenye kuaasii na unifwate nitakuongoza njia ya sawa.

Na ewe ( Taha Yasin ), Mche Allah basi hakuna Rafiki Wa Binadamu katika Malaika Wa Al'Rahman, Na hakuna rafiki ispokua kwa Binadamu yule ambae amekanusha kumkumbuka Al'Rahman na rafiki yake ni shetani, Na miongoni mwao ni huyo rafiki yako ambae anakudanganya kwamba yeye ni miongoni mwa Malaika wa Al'Rahaman waliokurubishwa bali yeye ni shetani rajim anakuzuwia kufwata njia ilio nyoka na waona kwamba ni katika walio ongoka. Na ukumbuke kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَقَيَّضْنَا لَهُمْ قُرَنَاءَ فَزَيَّنُوا لَهُمْ مَا بَيْنَ أَيْدِيهِمْ وَمَا خَلْفَهُمْ وَحَقَّ عَلَيْهِمُ الْقَوْلُ فِي أُمَمٍ قَدْ خَلَتْ مِنْ قَبْلِهِمْ مِنَ الْجِنِّ وَالْإِنْسِ إِنَّهُمْ كَانُوا خَاسِرِينَ} صدق الله العظيم [فصلت:25].
Allah Ta3ala Asema:
{ Na tukawawekea marafiki, na wakawapambia yaliyo mbele yao na nyuma yao. Basi ikawathibitikia kauli wawe pamoja na mataifa yaliyo pita kabla yao, miongoni mwa majini na watu. Hakika hao wamekuwa ni wenye kukhasirika } Sadaqa Allah Al3adhim [Fussilat:25].


Na Akasema Allah Ta3ala:
{وَمَن يَعْشُ عَن ذِكْرِ الرَّحْمـٰنِ نُقَيِّضْ لَهُ شَيْطَانًا فَهُوَ لَهُ قَرِينٌ ﴿٣٦﴾ وَإِنَّهُمْ لَيَصُدُّونَهُمْ عَنِ السَّبِيلِ وَيَحْسَبُونَ أَنَّهُم مُّهْتَدُونَ ﴿٣٧﴾ حَتَّىٰ إِذَا جَاءَنَا قَالَ يَا لَيْتَ بَيْنِي وَبَيْنَكَ بُعْدَ الْمَشْرِقَيْنِ فَبِئْسَ الْقَرِينُ ﴿٣٨﴾ وَلَن يَنفَعَكُمُ الْيَوْمَ إِذ ظَّلَمْتُمْ أَنَّكُمْ فِي الْعَذَابِ مُشْتَرِكُونَ ﴿٣٩﴾ أَفَأَنتَ تُسْمِعُ الصُّمَّ أَوْ تَهْدِي الْعُمْيَ وَمَن كَانَ فِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ ﴿٤٠﴾}صدق الله العظيم [الزخرف].
Allah Ta3ala Asema:
{ Anaye yafanyia upofu maneno ya Rahmani tunamwekea Shet'ani kuwa ndiye rafiki yake (36) Na hakika wao wanawazuilia Njia na wenyewe wanadhani kuwa wameongoka (37) Hata atakapo tujia atasema: Laiti ungeli kuwako baina yangu na wewe kama umbali baina ya mashariki na magharibi. Rafiki mwovu mno wewe (38) Na kwa kuwa mlidhulumu, haitakufaeni kitu leo kwamba nyinyi mnashirikiana katika adhabu (39) Je! Unaweza kuwasikilizisha viziwi, au unaweza kuwaongoa vipofu na waliomo katika upotofu ulio wazi (40)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alzukhruf].

Basi Usimkasirikie Al'Imam Al'Mahdi ewe mgeni ( Taha Yasin ), Na wala isikuchukuwe utukufu kwa dhambi.

Na ama kuhusu ma hadithi za uzushi na ma riwaya ambao unatoa fatwa kwamba Muhammad Mtume Wa Allah -Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam- Alikua anao rafiki katika ma shetani akamongoa Allah, Basi hakika nakushuhudisha na nawashuhudisha ma Anssar na wote wageni wa meza ya mazungumzo hakika mimi kwa hio hadithi ya uzushi ni katika wanao ikufuru, Na haikua kwa Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam rafiki katika ma shetani, Wala sipati kwa kitabu cha Allah kwamba yoyote katika mashetani amesilimu, Namfano wao kama mfano wa baba yao shetani iblisi, Na shetani na kizazi chake wote ni ma aduwi wa Allah Mola Mlezi Wa Ulimwengu, Kwajili ya hivo Amesema Allah Ta3ala:
{أَفَتَتَّخِذُونَهُ وَذُرِّيَّتَهُ أَوْلِيَاءَ مِنْ دُونِي وَهُمْ لَكُمْ عَدُوٌّ بِئْسَ لِلظَّالِمِينَ بَدَلاً} صدق الله العظيم [الكهف:50].
Allah Ta3ala Asema:
{ Je! Mnamshika yeye na dhuriya zake kuwa marafiki badala yangu, hali wao ni adui zenu? Ni ovu mno badala hii kwa wenye kudhulumu } Sadaqa Allah Al3adhim [Alkahf:50].

Na ama kupamba pamba kwa maneno ambao unawajadili nayo ma Anssar nayo kueneza patupu ispokua hio ni wahyi kutoka kwa shetani nayo sio Bayana ya haki ya Al'Quran kutoka kwa Al'Rahman. Akasema Allah Ta3ala:
{وَإِنَّ الشَّيَاطِينَ لَيُوحُونَ إِلَى أَوْلِيَائِهِمْ لِيُجَادِلُوكُمْ وَإِنْ أَطَعْتُمُوهُمْ إِنَّكُمْ لَمُشْرِكُونَ} صدق الله العظيم [الأنعام:121]،
Allah Ta3ala Asema:
{ Na kwa yakini mashet'ani wanawafunza marafiki zao kubishana nanyi. Na mkiwafuata basi hapana shaka nyinyi mtakuwa washirikina } Sadaqa Allah Al3adhim [Alanaam:121],
Akasema Allah Ta3ala:
{وَكَذَلِكَ جَعَلْنَا لِكُلِّ نَبِيٍّ عَدُوًّا شَيَاطِينَ الإِنْسِ وَالْجِنِّ يُوحِي بَعْضُهُمْ إِلَى بَعْضٍ زُخْرُفَ الْقَوْلِ غُرُورًا وَلَوْ شَاءَ رَبُّكَ مَا فَعَلُوهُ فَذَرْهُمْ وَمَا يَفْتَرُونَ} صدق الله العظيم [الأنعام:112].
Allah Ta3ala Asema:
{ Na kadhaalika tumemfanyia kila Nabii maadui mashet'ani wa kiwatu, na kijini, wakifundishana wao kwa wao maneno ya kupamba-pamba, kwa udanganyifu. Na angeli penda Mola wako Mlezi wasingeli fanya hayo. Basi waache na wanayo yazua } Sadaqa Allah Al3adhim [Alan'aam:112].

Na hivo ni udanganyifu kutoka kwa ma shetani wanawafundisha marafiki wao dhidi ya wahyi wa kweli kutoka kwa Mola Mlezi Wa Ulimwengu, Na eee ajabu yangu ju ya wale wanaamini kwamba Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam ana rafiki kutokana na shetani akasilimu! Na je Allah ispokua Anamwekea shetani kwa yule mtu amefanya upofu kwa utajo wa Mola Mlezi Wake? Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَمَن يَعْشُ عَن ذِكْرِ الرَّحْمـٰنِ نُقَيِّضْ لَهُ شَيْطَانًا فَهُوَ لَهُ قَرِينٌ ﴿٣٦﴾ وَإِنَّهُمْ لَيَصُدُّونَهُمْ عَنِ السَّبِيلِ وَيَحْسَبُونَ أَنَّهُم مُّهْتَدُونَ ﴿٣٧﴾ حَتَّىٰ إِذَا جَاءَنَا قَالَ يَا لَيْتَ بَيْنِي وَبَيْنَكَ بُعْدَ الْمَشْرِقَيْنِ فَبِئْسَ الْقَرِينُ ﴿٣٨﴾ وَلَن يَنفَعَكُمُ الْيَوْمَ إِذ ظَّلَمْتُمْ أَنَّكُمْ فِي الْعَذَابِ مُشْتَرِكُونَ ﴿٣٩﴾ أَفَأَنتَ تُسْمِعُ الصُّمَّ أَوْ تَهْدِي الْعُمْيَ وَمَن كَانَ فِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ ﴿٤٠﴾}صدق الله العظيم [الزخرف].
Allah Ta3ala Asema:
{ Anaye yafanyia upofu maneno ya Rahmani tunamwekea Shet'ani kuwa ndiye rafiki yake (36) Na hakika wao wanawazuilia Njia na wenyewe wanadhani kuwa wameongoka (37) Hata atakapo tujia atasema: Laiti ungeli kuwako baina yangu na wewe kama umbali baina ya mashariki na magharibi. Rafiki mwovu mno wewe (38) Na kwa kuwa mlidhulumu, haitakufaeni kitu leo kwamba nyinyi mnashirikiana katika adhabu (39) Na kwa kuwa mlidhulumu, haitakufaeni kitu leo kwamba nyinyi mnashirikiana katika adhabu (40)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alzukhruf].

Na kwa Hali zote ewe ( Taha Yasin ), Hakika baina yangu na baina yako ni kuhukumiana kwa kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim basi tuhukumiane kwenye Aya zake ambazo muhakamat ziko wazi maana yake ambazo baini kwa wanazuoni wenu na mjinga wengu ikiwa wataka haki wala sio ispokua haki basi isikuchukuwe utukufu kwa dhambi baada kubainika kwako kwamba alikua akikupoteza kutokana na haki shetani maluni wala sio kwamba ni katika Malaika Wa Al'Rahman walio kurubishwa, Wala sipati kwa kitabu cha Allah marafiki katika Malaika Wa Al'Rahman; Sema Leteni Ushuhuda Wenu ikiwa Nyinyi Ni Wakweli! Na Akasema Allah Ta3ala:
{قَالُوا اتَّخَذَ اللَّـهُ وَلَدًا سُبْحَانَهُ هُوَ الْغَنِيُّ لَهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ إِنْ عِندَكُم مِّن سُلْطَانٍ بِهَـٰذَا ۚ أَتَقُولُونَ عَلَى اللَّـهِ مَا لَا تَعْلَمُونَ ﴿٦٨﴾ قُلْ إِنَّ الَّذِينَ يَفْتَرُونَ عَلَى اللَّـهِ الْكَذِبَ لَا يُفْلِحُونَ ﴿٦٩﴾ مَتَاعٌ فِي الدُّنْيَا ثُمَّ إِلَيْنَا مَرْجِعُهُمْ ثُمَّ نُذِيقُهُمُ الْعَذَابَ الشَّدِيدَ بِمَا كَانُوا يَكْفُرُونَ ﴿٧٠﴾} صدق الله العظيم [يونس].
Allah Ta3ala Asema:
{ Wamesema: Mwenyezi Mungu ana mwana. Subhanahu, Aliye takasika! Yeye ni Mkwasi, Mwenye Kujitosheleza. Vyote viliomo katika mbingu na katika ardhi ni vyake peke yake. Nyinyi hamna uthibitisho wowote wa haya! Mnamzulia Mwenyezi Mungu msiyo yajua (68) Hiyo ni starehe ya katika dunia tu, kisha marejeo yao ni kwetu. Tena tutawaonjesha adhabu kali kwa sababu ya kukufuru kwao (69) Hiyo ni starehe ya katika dunia tu, kisha marejeo yao ni kwetu. Tena tutawaonjesha adhabu kali kwa sababu ya kukufuru kwao (70)} Sadaqa Allah Al3adhim [Yunus].

Na ewe ambae ni mgeni ( Taha Yasin ), Tumekuachia nafasi kuzungumza na ma Anssar ili ibainike kwao kwamba wahyi wa kishetani haizidishi kitabu cha Allah ispokua kuifanya ngumu ju ya waumini pamoja yakua wao wana'wawazisha waumini kwa maneno ili wadhani wengine kua hawa wana ilimu kuu wanaificha kwa walimwengu, Basi tahadharini; Basi asiwatoweni kutoka kwa mwangaza kwenda kwa giza baada Alipo Waongoa Allah katika haki basi nini baada ya haki ila ni upotevu? Wala hamutowapata wanawaongoza katika wema bali ni mujarad maneno matupu wala sio Bayana ya haki kwa ukumbusho, Na ama maneno ya Al'Mahdi Al'Muntadhar anawaeleza kwenu Bayana Ya haki ya ukumbusho alafu nawaletea utawala wa ilimu kutoka kwa muhakam ilio wazi maana yake Al'Quran ili mujuwe kwamba mimi si wahoji kwa waswasi wa shetani, Bali kwa ma aya baini ziko wazi kuoka kwa muhakam ilio wazi maana yake Al'Quran, Na wakati nikiwapa fatwa kuhusu wahyi wa kufahamisha sikusudi ni wahyi mpya kwenu kutoka kwa Mola Mlezi wenu bali ni mujarad kufahamishwa kwa utawala wa ilimu ilio baini kutoka kwa muhakam ilio wazi maana yake Al'Quran ilio baini.!

Tahadharini na mbinu ya shetani na mushikilie na kamba ya Allah Al'Quran Al3adhim ambao Ameifanya Allah hoja ya walimwengu ju ya anaitafuta ilimu ama hoja ya anae tafuta ilimu ju ya walimwengu, Na hio baina yangu na baina yenu kwamba tuhukumiane kwa Al'Quran Al3adhim kwa yale mulikua munakhitilifiana ndani yake, Na ikiwa hamukupata kwamba Nasser Muhammad Al'Yamani yeye ndio anawazidi kwa haki kwa utawala ya nguvu ya ilimu kutoka kwa muhakam ilio wazi maana yake Al'Quran Al3adhim basi mimi sio Al'Imam Al'Mahdi, Basi ikiwa sikuwabomoa kutokana na muhakam kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim basi mimi sio Al'Imam Al

'Mahdi na jee mwajua kwanini? Na hivo ni kwajili fatwa kutoka Mola Mlezi Wa Ulimwengu kwa njia ya Nabi Wake katika Ndoto ya haki ni kwamba: [ Hatonijadili yoyote kutoka kwa kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim ispokua nitamshinda kwa nguvu ya utawala wa ilimu kutoka kwake ], Kwa yule apikua anatamani kufwata haki wala hataki ispokua njia ya haki, Hawo haitowachukua utukufu kwa dhambi ikibainika kwao kwamba walikua ni katika wale ilimalizika mbio zao katika maisha ya dunia na wao wanaona kua wameongoka, Basi hawatoendelea kwenye upotevu wao kwajili wamejua kwamba hio ni hasara baini baada Alipo Waongoa Allah kwenye haki, Basi mutawapata wanamhimidi Allah kwamba hakuwafisha na wao wako katika upotevu, Na wanamhimidi Allah Ambae Amemtumileza katika umma wao Al'Mahdi Al'Muntadhar ili awatowe kwa ma Aya baini kutoka kwa kiza kwenda kwa mwangaza. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{الر كِتَابٌ أَنزَلْنَاهُ إِلَيْكَ لِتُخْرِجَ النَّاسَ مِنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النُّورِ بِإِذْنِ رَبِّهِمْ إِلَىٰ صِرَاطِ الْعَزِيزِ الْحَمِيدِ ﴿١﴾} صدق الله العظيم [إبراهيم].
Allah Ta3ala Asema:
{ Alif Lam Ra. (A. L. R.) Hichi ni Kitabu tulicho kiteremsha kwako ili uwatowe watu kwenye giza uwapeleke kwenye muwangaza, kwa idhini ya Mola wao Mlezi, uwafikishe kwenye Njia ya Mwenye nguvu, Msifiwa (1)} Saqa Allah Al3adhim [ibrahim].

Na huwenda kutaka ( Taha Yasin ) Kunikatikaza Asemw:" Taratibu Taratibu, ispokua kauli hio imelekezwa kwa Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam kwenye kauli Ya Allah Ta3ala:
{كِتَابٌ أَنزَلْنَاهُ إِلَيْكَ لِتُخْرِجَ النَّاسَ مِنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النُّورِ بِإِذْنِ رَبِّهِمْ إِلَىٰ صِرَاطِ الْعَزِيزِ الْحَمِيدِ} صدق الله العظيم".
{ Hichi ni Kitabu tulicho kiteremsha kwako ili uwatowe watu kwenye giza uwapeleke kwenye muwangaza, kwa idhini ya Mola wao Mlezi, uwafikishe kwenye Njia ya Mwenye nguvu, Msifiwa (1)} Saqa Allah Al3adhim".

Alafu Anarudisha jibu kwake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Na Nasema: Hakufanya Allah Al'Quran Al3adhim peke ni kujua kwa Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam Bali Amesema Allah Ta3ala:
{قُلْ هَـذِهِ سَبِيلِي أَدْعُو إِلَى اللّهِ عَلَى بَصِيرَةٍ أَنَاْ وَمَنِ اتَّبَعَنِي} صدق الله العظيم [يوسف:108].
{
Hi ni njia yangu nalingania kwa Allah kwa kujua mimi na anae nifwata} Sadaqa Allah Al3adhim [Yusuf:108].

Na Akasema Allah Ta3ala:
{قُلْ إِنَّمَا أُنذِرُكُم بِالْوَحْيِ وَلَا يَسْمَعُ الصُّمُّ الدُّعَاء إِذَا مَا يُنذَرُونَ} صدق الله العظيم [الأنبياء:45].
Allah Ta3ala Asema
{ Sema: Mimi nakuonyeni kwa Wahyi. Na viziwi hawasikii wito wanapo onywa } Sadaqa Allah Al3adhim [Alanbia:45].

Na Akasema Allah Ta3ala:
{قُلْ أَيُّ شَيْءٍ أَكْبَرُ شَهَادَةً قُلِ اللَّهُ شَهِيدٌ بَيْنِي وَبَيْنَكُمْ وَأُوحِيَ إِلَيَّ هَذَا الْقُرْآنُ لِأُنْذِرَكُمْ بِهِ} صدق الله العظيم [الأنعام:19].
Allah Ta3ala Asema:
{ Sema: Kitu gani ushahidi wake mkubwa kabisa? Sema: Mwenyezi Mungu. Yeye ndiye shahidi baina yangu na nyinyi } Sadaqa Allah Al3adhim [Alanaam:19].

Na hivo hivo Al'Imam Al'Mahdi anawaonya kwa Al'Quran Al3adhim huwenda mukaogopa. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{فَذَكِّرْ بِالْقُرْآنِ مَنْ يَخَافُ وَعِيدِ} صدق الله العظيم [ق:45].
Allah Ta3ala Asema:
{ Na ukumbushe kwa Al'Quran mwenye kuogopa magano} Sadaqa Allah Al3adhim [Qaaf:45].

Na hi ni utangulizi wa mazungumzo kutoka kwa Al'Mahdi Al'Muntadhar kwa ( Taha Yasin ), Basi Akaribu kwa mazungumzo kwa ukweli na ni mwenye kushukuriwa wala sio mazungumzo ya kupamba pamba ya maneno matupu kutokana na haki, Kwajili ya hivo tumeifanya hi Bayana kwa inwani Ya Kauli Ya Allah Ta3ala:
{حَقِيقٌ عَلَى أَنْ لاَ أَقُولَ عَلَى اللَّهِ إِلاَ الحقّ}
صدق الله العظيم،
{ { Halika Ju Yangu Ni Kwamba Sisemi Ju Allah Ila Ni Haki } Sadaqa Allah Al3adhim,
Kwakua Mimi nitawachunguzia kwenu haki kutoka kwa muhakam kitabu cha Allah Al'Quran Al3adhim kutoka kwa ma Aya baini, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَلَقَدْ أَنزَلْنَآ إِلَيْكَ آياتٍ بَيِّنَاتٍ وَمَا يَكْفُرُ بِهَآ إِلاَّ الْفَاسِقُونَ} صدق الله العظيم [البقرة:99].
{ Na hakika tumekuteremshia ma Aya baini na hakufuru nazo ispokua mafasiki} Sadaqa Allah Al3adhim [Alba


Na Salam Ju Ya Mitume, Alhamdulillah Rabil3alamin..
Mja Wa Allah Na Khalifa Wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
وسلامٌ على المُرسلين، والحمدُ لله ربّ العالمين..
عبد الله وخليفته الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
___________
_______________



اقتباس المشاركة 38900 من موضوع ردّ الإمام المهدي إلى الأحمديين الذين ضلّ سعيهم في الحياة الدنيا ويحسبون أنهم مهتدون..




- 2 -

الإمام ناصر محمد اليماني
17 - 05 - 1433 هـ
09 - 04 - 2012 مـ
05:36 صباحاً
ـــــــــــــــــــــ



الردّ الثاني من الإمام ناصر محمد اليماني إلى الأحمديّين الذين ضلّ سعيُهم في الحياة الدنيا ويحسبون أنّهم مهتدون ..

بسم الله الرحمن الرحيم، والصلاة والسلام على جدّي محمد رسول الله وآله الأطهار وجميع أنصار الله ورسله إلى اليوم الآخر، وبعد..

السلام عليكم ورحمة الله وبركاته معشر الأنصار السابقين الأخيار، وسلامُ الله على الباحثين عن الحقّ في العالمين، السلام علينا وعلى عباد الله الصالحين..
ويا معشر الأنصار السابقين الأخيار، أُشهِد الله ربّ العالمين ما علّمناكم السبَّ والشّتمَ؛ بل حجّة سلطان العلم! فلا تشتموا الجاهلين وقولوا سلاماً وأعرضوا عن اللغو تكونوا من عباد الرحمن (الله)؛ الذين وصفهم الله في محكم كتابه:
{وَإِذَا خَاطَبَهُمُ الْجَاهِلُونَ قَالُوا سَلَامًا ﴿٦٣﴾} [الفرقان].

ويا معشر الأحمديّين اتّقوا الله وأطيعوني لعلّكم تهتدون، ولم يجعل الله حجّة الداعي إلى الله القسم بالله العظيم بل الحجّة سلطان العلم فذلكم هو برهان الصدق للدّعوة إلى الحق لو كنتم تعلمون. تصديقاً لقول الله تعالى:
{قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ إِنْ كُنتُمْ صَادِقِينَ} [البقرة:111].
{قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ إِنْ كُنتُمْ صَادِقِينَ} [النمل:64].

وما هو البرهان والجواب؟ إنّه سُلطان العلم من محكم الكتاب. وقال الله تعالى:
{قُلْ هَاتُوا بُرْهَانَكُمْ هَذَا ذِكْرُ مَن مَّعِيَ وَذِكْرُ مَن قَبْلِي بَلْ أَكْثَرُهُمْ لا يَعْلَمُونَ الْحَقَّ فَهُم مُّعْرِضُونَ} صدق الله العظيم [الأنبياء:24].

ولسوف أقسم بالحقّ مع أن القسم ليس هو سلطان العلم، وأقول:
أقسم بالله العظيم من يحيي العظام وهي رميم ربّ السماوات والأرض وما بينهما وربّ العرش العظيم إنّي الإمام المهديّ المنتظَر اصطفاني الله للنّاس إماماً وأيّدني بالبيان الحقّ للقرآن العظيم ليكون برهانَ الإمام المبين. تصديقاً لقول الله تعالى:
{قَالَ إِنَّ اللَّهَ اصْطَفَاهُ عَلَيْكُمْ وَزَادَهُ بَسْطَةً فِي الْعِلْمِ} صدق الله العظيم [البقرة:247].

اللهم اغفر للأحمديّين وجميع المسلمين فإنّهم لا يعلمون، إنّا لله وإنا إليه لراجعون.

وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين..
أخوكم؛ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
______________

اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..




اقتباس المشاركة 39099 من موضوع ردّ الإمام المهدي إلى الأحمديين الذين ضلّ سعيهم في الحياة الدنيا ويحسبون أنهم مهتدون..




- 3 -
الإمام ناصر محمد اليماني
18 - 05 - 1433 هـ
10 - 04 - 2012 مـ
05:19 صباحاً
ـــــــــــــــــــــ



الردُّ الثالث من الإمام المهديّ إلى الأحمديّين وكافة المسلمين والنّصارى والناس أجمعين ..



بسم الله الرحمن الرحيم، والصلاة والسلام على جدي محمد رسول الله وآله الأطهار وجميع الأنبياء وآلهم الأطهار، وجميع المسلمين التابعين إلى يوم الدين، وبعد..

يا أيها النّاس، إنّي الإمام المهديّ المنتظَر خليفة الله في الأرض وجعلني الله للنّاس إماماً وملكاً عليكم وزادني بسطةً في علم الكتاب على كافة علماء الدين وكافة المسلمين فلا يجادلني أحدٌ من القرآن إلا غلبته بسلطان العلم وإنا لصادقون، وليس تحديَ الغرور بل تحدي الإمام المهديّ في عصر الحوار من قبل الظهور، ولم يبعثني الله رسولاً بكتابٍ جديدٍ بل إماماً من الصالحين شاهداً بالحقّ على العالمين يؤتيه الله علم الكتاب القرآن العظيم. وقال الله تعالى: {وَيَقُولُ الَّذِينَ كَفَرُوا لَسْتَ مُرْسَلًا قُلْ كَفَى بِاَللَّهِ شَهِيدًا بَيْنِي وَبَيْنَكُمْ وَمَنْ عِنْدَهُ عِلْمُ الْكِتَابِ} صدق الله العظيم [الرعد:43].

والسؤال الذي يطرح نفسه: فمن هو الذي يؤتيه علم الكتاب فيجعله الله شاهداً بالحقّ على العالمين؟ فهل هو إنسان يؤتيه الله كتاباً جديداً من بعد محمدٍ رسول الله صلى الله عليه وآله وسلم؟ أم يؤتيه الله علم البيان الحقّ للقرآن؟ وتجدون الجواب في محكم الكتاب في قول الله تعالى: {الرَّحْمَـٰنُ ﴿١﴾ عَلَّمَ الْقُرْآنَ ﴿٢﴾ خَلَقَ الْإِنسَانَ ﴿٣﴾ عَلَّمَهُ الْبَيَانَ ﴿٤﴾} صدق الله العظيم [الرحمن].

وسؤال آخر يقول: فمن هو ذلك الإنسان الذي يُعلّمه الله البيان الحقّ للقرآن، فهل هو نبيٌّ جديدٌ يبعثه الله من بعد محمدٍ رسول الله صلى الله عليه وآله وسلم؟ وتجدون الجواب في محكم الكتاب: {مَا كَانَ مُحَمَّدٌ أَبَا أَحَدٍ مِنْ رِجَالِكُمْ وَلَكِنْ رَسُولَ اللَّهِ وَخَاتَمَ النَّبِيِّينَ وَكَانَ اللَّهُ بِكُلِّ شَيْءٍ عَلِيمًا} صدق الله العظيم [الأحزاب:40].

ولربما يودّ أن يقاطعني أحد السائلين فيقول: "وكيف يُعلّم الله هذا الإنسان البيان الحقّ للقرآن؟". ومن ثمّ يردّ عليهم الإمام المهديّ وأقول: قال الله تعالى: {وَمَا كَانَ لِبَشَرٍ أَن يُكَلِّمَهُ اللَّهُ إِلَّا وَحْيًا أَوْ مِن وَرَاء حِجَابٍ أَوْ يُرْسِلَ رَسُولًا فَيُوحِيَ بِإِذْنِهِ مَا يَشَاء إِنَّهُ عَلِيٌّ حَكِيمٌ} صدق الله العظيم [الشورى:51].


وهنا بيّن الله لكم طرق الوحي باليقظة ثلاثةً كما يلي:

1- {وَمَا كَانَ لِبَشَرٍ أَن يُكَلِّمَهُ اللَّهُ إِلَّا وَحْيًا}: فذلك وحي التفهيم المباشر من الربّ إلى القلب من غير صوت. تصديقاً لقول الله تعالى: {فَفَهَّمْنَاهَا سُلَيْمَانَ وَكُلًّا آتَيْنَا حُكْمًا وَعِلْمًا} صدق الله العظيم [الأنبياء:79].

2- {أَوْ مِن وَرَاء حِجَابٍ}: وذلك وحي التكليم من وراء حجاب بالصوت. تصديقاً لقول الله تعالى: {وَكَلَّمَ اللَّهُ مُوسَى تَكْلِيمًا} صدق الله العظيم [النساء:164].

وإنّما البيان لقول الله تعالى {تَكْلِيمًا} ويقصد تكليماً بالصوت وليس تكليماً بالتّفهيم كونه يوجد وحي التّكليم بالتّفهيم من الرب إلى القلب، ولذلك قال الله تعالى: {وَكَلَّمَ اللَّهُ مُوسَى تَكْلِيمًا} صدق الله العظيم؛ أي بالصوت المسموع بالمناجاة بالنداء من وراء الحجاب. تصديقاً لقول الله تعالى: {وَنَادَيْنَاهُ مِنْ جَانِبِ الطُّورِ الْأَيْمَنِ وَقَرَّبْنَاهُ نَجِيًّا} صدق الله العظيم [مريم:52].

3- {أَوْ يُرْسِلَ رَسُولًا فَيُوحِيَ بِإِذْنِهِ مَا يَشَاء إِنَّهُ عَلِيٌّ حَكِيمٌ} صدق الله العظيم، وذلك وحي عن طريق إرسال جبريل عليه الصلاة والسلام. تصديقاً لقول الله تعالى: {يُلْقِي الرُّوحَ مِنْ أَمْرِهِ عَلَى مَن يَشَاءُ مِنْ عِبَادِهِ لِيُنذِرَ يَوْمَ التَّلَاقِ} صدق الله العظيم [غافر:15].


ولربما يود أن يقاطعني أحد السائلين فيقول: "أفلا تبيّن لنا كيفية طريقة وحي التفهيم من الرب إلى القلب؟" ومن ثم نردُّ عليه بقول الله تعالى:{فَلَمَّا ذَهَبُوا بِهِ وَأَجْمَعُوا أَن يَجْعَلُوهُ فِي غَيَابَتِ الْجُبِّ ۚ وَأَوْحَيْنَا إِلَيْهِ لَتُنَبِّئَنَّهُم بِأَمْرِهِمْ هَـٰذَا وَهُمْ لَا يَشْعُرُونَ ﴿١٥﴾}صدق الله العظيم [يوسف].

وذلك وحي التّفهيم من الربِّ إلى قلب يوسف بن يعقوب من قبل أن يبعثه الله رسولاً، فحين ألقى به إخوته في غيابت الجبّ أوحى الله إلى قلبه أنّه لن يتخلى عنه ولن يضيّعه وأن مكرهم هذا سوف يكون سبب تأويل رؤياه فيعزّه الله ويذلّهم الله فيجدونه فيسألوه الصدقة وهم لا يعلمون أنّه أخوهم يوسف كونه في موقع عزٍ رفيع المستوى، ولذلك لم يتوقّعوا أنّه أخوهم يوسف، ولذلك سوف يسألوه الصدقة وهم لا يشعرون أنّه أخوهم يوسف إلا حين نبأهم بما صنعوا به في غيابت الجب، وإلى البرهان المبين. قال الله تعالى: {وَجَاءَ إِخْوَةُ يُوسُفَ فَدَخَلُوا عَلَيْهِ فَعَرَفَهُمْ وَهُمْ لَهُ مُنْكِرُونَ} صدق الله العظيم [يوسف:58].

ولم يشعروا أنّه أخوهم يوسف إلا حين سألوه الصدقة في لقاء آخر وهم أذلّة، ومن ثم ذكّرهم بما صنعوا به في غيابت الجب. وقال الله تعالى:
{فَلَمَّا دَخَلُوا عَلَيْهِ قَالُوا يَا أَيُّهَا الْعَزِيزُ مَسَّنَا وَأَهْلَنَا الضُّرُّ وَجِئْنَا بِبِضَاعَةٍ مُّزْجَاةٍ فَأَوْفِ لَنَا الْكَيْلَ وَتَصَدَّقْ عَلَيْنَا ۖ إِنَّ اللَّـهَ يَجْزِي الْمُتَصَدِّقِينَ﴿٨٨﴾}
صدق الله العظيم [يوسف].

وإخوته الأذلّة السائلين الصدقة لم يشعروا أنّ الرجل الذي يسألونه الصدقة أخوهم يوسف إلا حين ذكّرهم بما فعلوا به. وقال الله تعالى: {فَلَمَّا دَخَلُوا عَلَيْهِ قَالُوا يَا أَيُّهَا الْعَزِيزُ مَسَّنَا وَأَهْلَنَا الضُّرُّ وَجِئْنَا بِبِضَاعَةٍ مُّزْجَاةٍ فَأَوْفِ لَنَا الْكَيْلَ وَتَصَدَّقْ عَلَيْنَا ۖ إِنَّ اللَّـهَ يَجْزِي الْمُتَصَدِّقِينَ ﴿٨٨﴾ قَالَ هَلْ عَلِمْتُم مَّا فَعَلْتُم بِيُوسُفَ وَأَخِيهِ إِذْ أَنتُمْ جَاهِلُونَ ﴿٨٩﴾ قَالُوا أَإِنَّكَ لَأَنتَ يُوسُفُ ۖ قَالَ أَنَا يُوسُفُ وَهَـٰذَا أَخِي ۖ قَدْ مَنَّ اللَّـهُ عَلَيْنَا} صدق الله العظيم [يوسف:88-89-90].

وتبيّن لكم البيان الحقّ لقول الله تعالى: {فَلَمَّا ذَهَبُواْ بِهِ وَأَجْمَعُواْ أَن يَجْعَلُوهُ فِي غَيَابَةِ الْجُبِّ وَأَوْحَيْنَا إِلَيْهِ لَتُنَبِّئَنَّهُم بِأَمْرِهِمْ هَذَا وَهُمْ لاَ يَشْعُرُونَ} صدق الله العظيم، وتبيّن لكم أنه قد تلقاه يوسف من قبل بوحي التفهيم من قبل أن يبعثه الله رسولاً إلى آل فرعون صلى الله عليه وآله وسلم.

ولربما يفرح بهذا البيان أصحاب (حدّثني قلبي) ثم يقولون: "إذاً الإلهام في الصدر إنّما هو وحيٌّ من الرب". ومن ثمّ يردّ عليهم الإمام المهديّ وأقول: إذا كان في الدّين فربما أنّه وحي التفهيم من الربّ إلى القلب ولربما وسوسة شيطانٍ رجيم في الصدر، فاحذروا.. وأما كيف تفرّقون بين وحيّ التفهيم ووسوة الشيطان الرجيم هل هو من الرحمن أم من الشيطان، فإذا كان في الدين فلا بدّ من البرهان المبين وهو أن يأتيكم بسلطان العلم من القرآن على ما علّمه الله به في علم البيان الحقّ للقرآن، ما لم فتلك وسوسةٌ من الشيطان وليس وحياً من الرحمن فاحذروا.

وأحذّركم الشرك بالله، إنّ الشرك لظلمٌ عظيمٌ لأنفسكم وأمّتكم. تصديقاً لقول الله تعالى: {فَلَا تَدْعُوا مَعَ اللَّهِ أَحَدًا} صدق الله العظيم [الجن:18].

وتعالوا لنعلّمكم عن طوائف (المشركين المؤمنين). وقال الله تعالى: {وَمَا يُؤْمِنُ أَكْثَرُهُمْ بِاللَّهِ إِلا وَهُمْ مُشْرِكُونَ} صدق الله العظيم [يوسف:106]. فمنكم يدعو من دون الله عبادَه المقربين ليقرّبوهم إلى الله زلفى ويرجون شفاعتهم يوم الدين، ونسوا أنّ الله هو أرحم بهم من عبيده أجمعين ووعده الحقّ وهو أرحم الراحمين. ولربما يودُّ أن يقاطعني أحد علماء المسلمين فيقول: " ليس بشركٍ من يرجو شفاعة العبيد بين يدي الربّ المعبود بل المشركون فقط الذين يعبدون الأصنام". ومن ثم يردّ عليهم الإمام ناصر محمد اليماني: وأقول هيهات هيهات، وقال الله تعالى: {{وَمَا يُؤْمِنُ أَكْثَرُهُمْ بِاللَّهِ إِلا وَهُمْ مُشْرِكُونَ}} صدق الله العظيم، فتعالوا لنُعلِّمكم طوائف المؤمنين المشركين بالله عبادَه المقربين، وطوائف المشركين بالله ملائكةَ الجنّ الشياطين وهم يكذّبون عليهم أنّهم ملائكة الرحمن المقربين.

ويا معشر الأحمديين، إن كنتم تريدون الحقّ ولا غير الحقّ فتدبّروا هذا البيان التالي كتبناه من قبل أن تأتوا إلينا لعلكم تهتدون، وهو بعنوان:


من صاحب علم الكتاب الإمام ناصر محمد اليماني
حَقِيقٌ عَلَى أَنْ لَا أَقُولَ عَلَى اللَّهِ إِلَّا الْحَقَّ ..



اقتباس المشاركة 9437 من موضوع {حَقِيقٌ عَلَىٰ أَن لَّا أَقُولَ عَلَى اللَّـهِ إِلَّا الْحَقَّ} ..


الإمام ناصر محمد اليماني
23 - 11 - 1431 هـ
31 - 10 - 2010 مـ
4:21 صباحاً
ـــــــــــــــــــ



{ حَقِيقٌ عَلَىٰ أَن لَّا أَقُولَ عَلَى اللَّـهِ إِلَّا الْحَقَّ } ..

بِسْمِ اللَّـهِ الرَّحْمَـٰنِ الرَّحِيمِ {إِنَّ اللَّـهَ وَمَلَائِكَتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ ۚ يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا صَلُّوا عَلَيْهِ وَسَلِّمُوا تَسْلِيمًا ﴿٥٦﴾} [الأحزاب]، صلوات ربّي وسلامه عليك يا حبيب قلبي وأحبّ إلى نفسي من أمّي وأبي محمد رسول الله، يا أيّها الذين آمنوا صلّوا عليه وسلّموا تسليماً..

أحبتي في الله الأنصار السابقين الأخيار، إخواني الزوار الباحثين عن الحق في طاولة الحوار، إنّي الإمام المهديّ الحقّ من ربّكم لم يجعلني الله كمثل علمائكم من الذين يقولون على الله ما لا يعلمون ومن ثم يقول: "فإن أخطأتُ فمن نفسي والشيطان"، وأعوذُ بالله أن أكون منهم في شيء بل أقول لكم ما قاله نبيُّ الله موسى والرُّسل من قبله ومن بعده؛ قال كلٌّ منهم: {حَقِيقٌ عَلَىٰ أَن لَّا أَقُولَ عَلَى اللَّـهِ إِلَّا الْحَقَّ} [الأعراف:105]، وكذلك الإمام المهديّ المُتّبع لنهجهم يقول: {حَقِيقٌ عَلَىٰ أَن لَّا أَقُولَ عَلَى اللَّـهِ إِلَّا الْحَقَّ}، فإذا لم ألجمكم بالحقِّ من ربّكم بآياتٍ بيّناتٍ لعالمكم وجاهلكم فلستُ المهديّ المنتظَر لكون الله لم يبعث الأنبياء والمهديّ المنتظَر إلا ليبيّنوا للناس ما نُزِّل إليهم من ربّهم، تصديقاً لقول الله تعالى: {وَمَا أَرْسَلْنَا مِن رَّسُولٍ إِلَّا بِلِسَانِ قَوْمِهِ لِيُبَيِّنَ لَهُمْ ۖ فَيُضِلُّ اللَّـهُ مَن يَشَاءُ وَيَهْدِي مَن يَشَاءُ ۚ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ ﴿٤﴾} صدق الله العظيم [إبراهيم].

وكذلك محمدٌ رسول الله صلّى الله عليه وآله وسلّم، وقال الله تعالى: {وَأَنزَلْنَا إِلَيْكَ الذِّكْرَ لِتُبَيِّنَ لِلنَّاسِ مَا نُزِّلَ إِلَيْهِمْ وَلَعَلَّهُمْ يَتَفَكَّرُونَ} صدق الله العظيم [النحل:44].

ولذلك تجدون بيانهم يأتي ليزيد كتاب الله بياناً وتوضيحاً وليس ليعقّدوا عليهم المسألة، وكذلك المهديّ المنتظَر ابتعثه الله ليُبيّن ما أنزل الله إليهم في القرآن العظيم ولم يبتعثه الله ليُعقّد عليهم فَهْمَ كتاب الله أكثر تعقيداً، وأعوذُ بالله أن أكون من الجاهلين.

وبما أنّه لا وحيٌّ جديدٌ فلا ينبغي لي أن آتيكم بسلطان العلم من عند نفسي بل أستنبطه لكم من مُحكم كتاب الله القرآن العظيم وأفصّلهُ تفصيلاً لقوم يعقلون، ولسوف أضرب لكم على ذلك مثلاً في قول الله تعالى: {وَبُرِّزَتِ الْجَحِيمُ لِلْغَاوِينَ ﴿٩١﴾ وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ ﴿٩٢﴾ مِن دُونِ اللَّـهِ هَلْ يَنصُرُونَكُمْ أَوْ يَنتَصِرُونَ ﴿٩٣﴾ فَكُبْكِبُوا فِيهَا هُمْ وَالْغَاوُونَ ﴿٩٤﴾ وَجُنُودُ إِبْلِيسَ أَجْمَعُونَ ﴿٩٥﴾ قَالُوا وَهُمْ فِيهَا يَخْتَصِمُونَ ﴿٩٦﴾ تَاللَّـهِ إِن كُنَّا لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ ﴿٩٧﴾ إِذْ نُسَوِّيكُم بِرَبِّ الْعَالَمِينَ ﴿٩٨﴾ وَمَا أَضَلَّنَا إِلَّا الْمُجْرِمُونَ ﴿٩٩﴾ فَمَا لَنَا مِن شَافِعِينَ ﴿١٠٠﴾} صدق الله العظيم [الشعراء].

وبما أنّ الإمام المهديّ لمن الراسخين في علم الكتاب فلن تجدونني أنطق لكم عن بيان القرآن إلا بالقول الصواب من مُحكم الكتاب ليتذكّر أولو الألباب، فأُحاجّكم بآيات الكتاب المحكمات البيّنات لعالِمكم وجاهلكم يعلمهنّ ويفقهنّ كلُّ ذي لسانٍ عربيٍّ من البشر، ولسوف آتيكم بالبيان الحقّ لقول الله تعالى: {وَبُرِّزَتِ الْجَحِيمُ لِلْغَاوِينَ ﴿٩١﴾ وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ ﴿٩٢﴾ مِن دُونِ اللَّـهِ هَلْ يَنصُرُونَكُمْ أَوْ يَنتَصِرُونَ ﴿٩٣﴾ فَكُبْكِبُوا فِيهَا هُمْ وَالْغَاوُونَ ﴿٩٤﴾ وَجُنُودُ إِبْلِيسَ أَجْمَعُونَ ﴿٩٥﴾ قَالُوا وَهُمْ فِيهَا يَخْتَصِمُونَ ﴿٩٦﴾ تَاللَّـهِ إِن كُنَّا لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ ﴿٩٧﴾ إِذْ نُسَوِّيكُم بِرَبِّ الْعَالَمِينَ ﴿٩٨﴾ وَمَا أَضَلَّنَا إِلَّا الْمُجْرِمُونَ ﴿٩٩﴾ فَمَا لَنَا مِن شَافِعِينَ ﴿١٠٠﴾} صدق الله العظيم. وقال الله تعالى: {وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ ﴿٩٢﴾ مِن دُونِ اللَّـهِ هَلْ يَنصُرُونَكُمْ أَوْ يَنتَصِرُونَ ﴿٩٣﴾}، وقال الله تعالى: {إِنَّكُمْ وَمَا تَعْبُدُونَ مِن دُونِ اللَّـهِ حَصَبُ جَهَنَّمَ} [الأنبياء:98].

والسؤال الذي يطرح نفسه هو: فهل يقصد الله بقوله: {إِنَّكُمْ وَمَا تَعْبُدُونَ مِن دُونِ اللَّـهِ حَصَبُ جَهَنَّمَ}، فهل يقصد شركاءهم في قول الله تعالى: {وَإِذَا رَأَى الَّذِينَ أَشْرَكُوا شُرَكَاءَهُمْ قَالُوا رَبَّنَا هَـٰؤُلَاءِ شُرَكَاؤُنَا الَّذِينَ كُنَّا نَدْعُو مِن دُونِكَ ۖ فَأَلْقَوْا إِلَيْهِمُ الْقَوْلَ إِنَّكُمْ لَكَاذِبُونَ ﴿٨٦﴾} [النحل]؟

وقال الله تعالى: {وَمَنْ أَضَلُّ مِمَّن يَدْعُو مِن دُونِ اللَّـهِ مَن لَّا يَسْتَجِيبُ لَهُ إِلَىٰ يَوْمِ الْقِيَامَةِ وَهُمْ عَن دُعَائِهِمْ غَافِلُونَ ﴿٥﴾ وَإِذَا حُشِرَ النَّاسُ كَانُوا لَهُمْ أَعْدَاءً وَكَانُوا بِعِبَادَتِهِمْ كَافِرِينَ ﴿٦﴾} صدق الله العظيم [الأحقاف].

وقال الله تعالى: {وَيَوْمَ نَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا ثُمَّ نَقُولُ لِلَّذِينَ أَشْرَكُوا مَكَانَكُمْ أَنتُمْ وَشُرَكَاؤُكُمْ ۚ فَزَيَّلْنَا بَيْنَهُمْ ۖ وَقَالَ شُرَكَاؤُهُم مَّا كُنتُمْ إِيَّانَا تَعْبُدُونَ ﴿٢٨﴾ فَكَفَىٰ بِاللَّـهِ شَهِيدًا بَيْنَنَا وَبَيْنَكُمْ إِن كُنَّا عَنْ عِبَادَتِكُمْ لَغَافِلِينَ ﴿٢٩﴾} صدق الله العظيم [يونس].

وقال الله تعالى: {قُلِ ادْعُوا الَّذِينَ زَعَمْتُم مِّن دُونِهِ فَلَا يَمْلِكُونَ كَشْفَ الضُّرِّ عَنكُمْ وَلَا تَحْوِيلًا ﴿٥٦﴾ أُولَـٰئِكَ الَّذِينَ يَدْعُونَ يَبْتَغُونَ إِلَىٰ رَبِّهِمُ الْوَسِيلَةَ أَيُّهُمْ أَقْرَبُ وَيَرْجُونَ رَحْمَتَهُ وَيَخَافُونَ عَذَابَهُ} صدق الله العظيم [الإسراء:56-57].

والجواب: سبحان ربّي فكيف يُعذِّب الله في نار جهنم عباده المُقرّبين! وإنّما يعذِّب الذين بالغوا فيهم بغير الحقّ ويدعونهم من دون الله. ونعود للسؤال مرةً أخرى فمن يقصد الله في قول الله تعالى: {وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ ﴿٩٢﴾ مِن دُونِ اللَّـهِ هَلْ يَنصُرُونَكُمْ أَوْ يَنتَصِرُونَ ﴿٩٣﴾}، وفي قول الله تعالى: {إِنَّكُمْ وَمَا تَعْبُدُونَ مِن دُونِ اللَّـهِ حَصَبُ جَهَنَّمَ} صدق الله العظيم، كونكم ستجدون أنّ الله ألقى بالعابد والمعبود بغير الحقّ في نار جهنم.

والجواب تجدونه في محكم الكتاب في قول الله تعالى: {وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا ثُمَّ يَقُولُ لِلْمَلَائِكَةِ أَهَـٰؤُلَاءِ إِيَّاكُمْ كَانُوا يَعْبُدُونَ ﴿٤٠﴾ قَالُوا سُبْحَانَكَ أَنتَ وَلِيُّنَا مِن دُونِهِم ۖ بَلْ كَانُوا يَعْبُدُونَ الْجِنَّ ۖ أَكْثَرُهُم بِهِم مُّؤْمِنُونَ ﴿٤١﴾} صدق الله العظيم [سبأ].

ولربّما يقاطعني ضيف طاولة الحوار (طه يس) ويقول: "مهلاً مهلاً يا ناصر محمد اليماني فلم أفهم المقصود من قول الله تعالى: {وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا ثُمَّ يَقُولُ لِلْمَلَائِكَةِ أَهَـٰؤُلَاءِ إِيَّاكُمْ كَانُوا يَعْبُدُونَ ﴿٤٠﴾ قَالُوا سُبْحَانَكَ أَنتَ وَلِيُّنَا مِن دُونِهِم ۖ بَلْ كَانُوا يَعْبُدُونَ الْجِنَّ ۖ أَكْثَرُهُم بِهِم مُّؤْمِنُونَ ﴿٤١﴾} صدق الله العظيم". ومن ثمّ يردُّ عليه الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني وأقول: يا طه يس، إنّ المقصود هو: قرينك الشيطان الذي يكذّب عليك أنّه من ملائكة الرحمن المقرّبين ويأمرك أن تدعوه من دون الله؛ بل هو كذّاب؛ بل هو شيطانٌ رجيمٌ من ذرّيات الشيطان وليس من ملائكة الرحمن، ولو كان منهم لما أمرك أن تعبده فتدعوه من دون الله، وما كان لملائكة الرحمن أن يأمروكم بما ليس لهم بحقّ، ولكنّ الذين كانوا على شاكلتك لم يكتشفوا أنّهم كانوا يعبدون الشياطين إلا حين ألقى الله إليهم بالسؤال عمّا كانوا يعبدون؟ فقالوا: كُنّا نعبدُ ملائكتك المُقرّبين زُلفةً إليك ربّنا فهم من أمرونا بذلك، ومن ثم ألقى الله بالسؤال إلى ملائكته المُقربين، وقال: {أَهَـٰؤُلَاءِ إِيَّاكُمْ كَانُوا يَعْبُدُونَ ﴿٤٠﴾ قَالُوا سُبْحَانَكَ أَنتَ وَلِيُّنَا مِن دُونِهِم ۖ بَلْ كَانُوا يَعْبُدُونَ الْجِنَّ ۖ أَكْثَرُهُم بِهِم مُّؤْمِنُونَ ﴿٤١﴾} صدق الله العظيم. وإنّما ألقى الله بالسؤال إلى ملائكته المقرّبين لكي تسمعوا شهادتهم بالحقِّ أنّهم ليسوا هم الذين أمروكم بعبادتهم من دون الله بل الشياطين المفترون أنّهم من ملائكة الرحمن المقرّبين، ولذلك قال الله تعالى: {وَيَوْمَ يَحْشُرُهُمْ جَمِيعًا ثُمَّ يَقُولُ لِلْمَلَائِكَةِ أَهَـٰؤُلَاءِ إِيَّاكُمْ كَانُوا يَعْبُدُونَ ﴿٤٠﴾ قَالُوا سُبْحَانَكَ أَنتَ وَلِيُّنَا مِن دُونِهِم ۖ بَلْ كَانُوا يَعْبُدُونَ الْجِنَّ ۖ أَكْثَرُهُم بِهِم مُّؤْمِنُونَ ﴿٤١﴾} صدق الله العظيم.

وقال الله تعالى: {وَبُرِّزَتِ الْجَحِيمُ لِلْغَاوِينَ ﴿٩١﴾ وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ ﴿٩٢﴾ مِن دُونِ اللَّـهِ هَلْ يَنصُرُونَكُمْ أَوْ يَنتَصِرُونَ ﴿٩٣﴾ فَكُبْكِبُوا فِيهَا هُمْ وَالْغَاوُونَ ﴿٩٤﴾ وَجُنُودُ إِبْلِيسَ أَجْمَعُونَ ﴿٩٥﴾ قَالُوا وَهُمْ فِيهَا يَخْتَصِمُونَ ﴿٩٦﴾ تَاللَّـهِ إِن كُنَّا لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ ﴿٩٧﴾ إِذْ نُسَوِّيكُم بِرَبِّ الْعَالَمِينَ ﴿٩٨﴾ وَمَا أَضَلَّنَا إِلَّا الْمُجْرِمُونَ ﴿٩٩﴾ فَمَا لَنَا مِن شَافِعِينَ ﴿١٠٠﴾ وَلَا صَدِيقٍ حَمِيمٍ ﴿١٠١﴾ فَلَوْ أَنَّ لَنَا كَرَّةً فَنَكُونَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ ﴿١٠٢﴾ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ ﴿١٠٣﴾} صدق الله العظيم [الشعراء].

وقال الله تعالى: {احْشُرُوا الَّذِينَ ظَلَمُوا وَأَزْوَاجَهُمْ وَمَا كَانُوا يَعْبُدُونَ ﴿٢٢﴾ مِن دُونِ اللَّـهِ فَاهْدُوهُمْ إِلَىٰ صِرَاطِ الْجَحِيمِ ﴿٢٣﴾} صدق الله العظيم [الصافات].

وإنما يقصد الله بقوله: {وَمَا كَانُوا يَعْبُدُونَ} فلا يقصد أولياء الله الذين بالغوا فيهم بغير الحق؛ بل يقصد أمثال قرينك الذي يقول أنّه لمن ملائكة الرحمن المُقرّبين ثم يأمرك أن تدعوه من دون الله ويطلب منك ما تعلم يا (طه يس)، فهو ليس من ملائكة الرحمن المقرّبين بل هو شيطانٌ رجيمٌ يصدّك عن اتّباع الصراط المستقيم، فإنّي لك ناصحٌ أمينٌ فلا تتّبع الشيطان فإنّه كان للرحمن عصيّاً واتَّبعني أهدِك صراطاً سوياً.

ويا (طه يس)، اتَّقِ الله فلا يوجد قرينٌ للإنسان من ملائكة الرحمن، ولا يوجد قرين إلا للإنسان الذي أعرض عن ذكر الرحمن وقرينه من الشياطين، ومنهم قرينك الذي يكذب عليك أنه من ملائكة الرحمن المقربين بل هو شيطانٌ رجيمٌ يصدّك عن اتّباع الصراط المُستقيم وتحسب أنك من المهتدين. وتذكّر قول الله تعالى: {وَقَيَّضْنَا لَهُمْ قُرَنَاءَ فَزَيَّنُوا لَهُم مَّا بَيْنَ أَيْدِيهِمْ وَمَا خَلْفَهُمْ وَحَقَّ عَلَيْهِمُ الْقَوْلُ فِي أُمَمٍ قَدْ خَلَتْ مِن قَبْلِهِم مِّنَ الْجِنِّ وَالْإِنسِ ۖ إِنَّهُمْ كَانُوا خَاسِرِينَ ﴿٢٥﴾} صدق الله العظيم [فصلت].

وقال الله تعالى: {وَمَن يَعْشُ عَن ذِكْرِ الرَّحْمَـٰنِ نُقَيِّضْ لَهُ شَيْطَانًا فَهُوَ لَهُ قَرِينٌ ﴿٣٦﴾ وَإِنَّهُمْ لَيَصُدُّونَهُمْ عَنِ السَّبِيلِ وَيَحْسَبُونَ أَنَّهُم مُّهْتَدُونَ ﴿٣٧﴾ حَتَّىٰ إِذَا جَاءَنَا قَالَ يَا لَيْتَ بَيْنِي وَبَيْنَكَ بُعْدَ الْمَشْرِقَيْنِ فَبِئْسَ الْقَرِينُ ﴿٣٨﴾ وَلَن يَنفَعَكُمُ الْيَوْمَ إِذ ظَّلَمْتُمْ أَنَّكُمْ فِي الْعَذَابِ مُشْتَرِكُونَ ﴿٣٩﴾ أَفَأَنتَ تُسْمِعُ الصُّمَّ أَوْ تَهْدِي الْعُمْيَ وَمَن كَانَ فِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ ﴿٤٠﴾} صدق الله العظيم [الزخرف]. فلا تزعل من الإمام المهديّ أيّها الضيف (طه يس)، ولا تأخذك العزّة بالإثم.

وأمّا بالنسبة للأحاديث المُفتراة والروايات التي تفتي أنّ محمداً رسول الله - صلّى الله عليه وآله وسلّم - كان له قرينٌ من الشياطين فهداه الله، فإنّي أشهدك وأشهدُ الأنصار وكافة الزوار لطاولة الحوار أنّي بذلك الحديث المفترى لمن الكافرين، وما كان لمحمدٍ رسول الله - صلّى الله عليه وآله وسلّم - قرينٌ من الشياطين، ولا أجدُ في كتاب الله أنّ أحداً من الشياطين قد أسلم، ومثلهم كمثل أبيهم الشيطان إبليس، والشيطان وذريّته جميعاً أعداء الله ربّ العالمين، ولذلك قال الله تعالى: {أَفَتَتَّخِذُونَهُ وَذُرِّيَّتَهُ أَوْلِيَاءَ مِن دُونِي وَهُمْ لَكُمْ عَدُوٌّ ۚ بِئْسَ لِلظَّالِمِينَ بَدَلًا} صدق الله العظيم [الكهف:50].

وأما زُخرف القول الذي تجادل به الأنصار وهو النثر الفارغ إنّما هو وحيٌّ من الشيطان وهو ليس البيان الحقّ للقرآن من الرحمن، وقال الله تعالى: {وَإِنَّ الشَّيَاطِينَ لَيُوحُونَ إِلَىٰ أَوْلِيَائِهِمْ لِيُجَادِلُوكُمْ ۖ وَإِنْ أَطَعْتُمُوهُمْ إِنَّكُمْ لَمُشْرِكُونَ} صدق الله العظيم [الأنعام:121].

وقال الله تعالى: {وَكَذَٰلِكَ جَعَلْنَا لِكُلِّ نَبِيٍّ عَدُوًّا شَيَاطِينَ الْإِنسِ وَالْجِنِّ يُوحِي بَعْضُهُمْ إِلَىٰ بَعْضٍ زُخْرُفَ الْقَوْلِ غُرُورًا ۚ وَلَوْ شَاءَ رَبُّكَ مَا فَعَلُوهُ ۖ فَذَرْهُمْ وَمَا يَفْتَرُونَ ﴿١١٢﴾} صدق الله العظيم [الأنعام].

وتلك خدعةٌ من الشياطين يوحون إلى أوليائهم ليكونوا ضدّ الوحي الحقّ من ربّ العالمين، فيا عجبي من الذين يؤمنون أنّه كان لمحمدٍ رسول الله - صلّى الله عليه وآله وسلّم - قرينٌ من الشيطان فأسلم! وهل يقيّض الله الشياطين إلا لمن أعرض عن ذكر ربّه؟ تصديقاً لقول الله تعالى: {وَمَن يَعْشُ عَن ذِكْرِ الرَّحْمَـٰنِ نُقَيِّضْ لَهُ شَيْطَانًا فَهُوَ لَهُ قَرِينٌ ﴿٣٦﴾ وَإِنَّهُمْ لَيَصُدُّونَهُمْ عَنِ السَّبِيلِ وَيَحْسَبُونَ أَنَّهُم مُّهْتَدُونَ ﴿٣٧﴾ حَتَّىٰ إِذَا جَاءَنَا قَالَ يَا لَيْتَ بَيْنِي وَبَيْنَكَ بُعْدَ الْمَشْرِقَيْنِ فَبِئْسَ الْقَرِينُ ﴿٣٨﴾ وَلَن يَنفَعَكُمُ الْيَوْمَ إِذ ظَّلَمْتُمْ أَنَّكُمْ فِي الْعَذَابِ مُشْتَرِكُونَ ﴿٣٩﴾ أَفَأَنتَ تُسْمِعُ الصُّمَّ أَوْ تَهْدِي الْعُمْيَ وَمَن كَانَ فِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ ﴿٤٠﴾} صدق الله العظيم [الزخرف].

وعلى كُلِّ حالٍ يا (طه يس)، إنّ بيني وبينك الاحتكام إلى كتاب الله القرآن العظيم، فلنحتكم إلى آياته المحكمات البيّنات لعالمكم وجاهلكم إن كنت تريد الحقّ ولا غير الحقّ، فلا تأخذك العزّة بالإثم بعد أن تبيّن لك أنّه كان يُضلّك عن الحقّ شيطانٌ رجيمٌ وليس من ملائكة الرحمن المقرّبين، ولا أجدُ في كتاب الله قرناء من ملائكة الرحمن؛ قل هاتوا برهانكم إن كنتم صادقين! وقال الله تعالى: {قَالُوا اتَّخَذَ اللَّـهُ وَلَدًا ۗ سُبْحَانَهُ ۖ هُوَ الْغَنِيُّ ۖ لَهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ ۚ إِنْ عِندَكُم مِّن سُلْطَانٍ بِهَـٰذَا ۚ أَتَقُولُونَ عَلَى اللَّـهِ مَا لَا تَعْلَمُونَ ﴿٦٨﴾ قُلْ إِنَّ الَّذِينَ يَفْتَرُونَ عَلَى اللَّـهِ الْكَذِبَ لَا يُفْلِحُونَ ﴿٦٩﴾ مَتَاعٌ فِي الدُّنْيَا ثُمَّ إِلَيْنَا مَرْجِعُهُمْ ثُمَّ نُذِيقُهُمُ الْعَذَابَ الشَّدِيدَ بِمَا كَانُوا يَكْفُرُونَ ﴿٧٠﴾} صدق الله العظيم [يونس].

ويا أيّها الضيف (طه يس)، لقد تركنا لك المجال لحوار الأنصار لكي يتبيّن لهم أنّ الوحي الشيطاني لا يزيد كتاب الله إلا تعقيداً على المؤمنين برغم أنّهم يوهمون المؤمنين بكلماتٍ ليظنّ الآخرين أنّ هؤلاء لذو علمٍ عظيمٍ يخفونه عن العالمين، فاحذروا؛ فلا يخرجونكم من النور إلى الظلمات بعد إذ هداكم الله إلى الحقّ، فما بعد الحقّ إلا الضلال؟ ولن تجدوهم يخرجوكم إلى برٍّ بل مجرد نثرٍ فارغٍ وليس البيان الحقّ للذكر، وأمّا نثر المهديّ المنتظَر فيشرح لكم البيان الحقّ للذكر ثم آتيكم بسلطان العلم من محكم القرآن لكي تعلموا أني لا أُحاجُّكم بوسوسة الشيطان، بل بآياتٍ بيّناتٍ من محكم القرآن، وحين أفتيكم عن وحي التّفهيم فلا أقصد أنّه وحيّ جديد إليكم من ربّكم بل مجرد تفهيمٍ بسلطان العلم المبين من محكم القرآن المبين.

فاحذروا مكر الشياطين واعتصموا بحبل الله القرآن العظيم الذي جعله الله حجّة العالِم على طالب العلم أو حجّة طالب العلم على العالِم، فذلك بيني وبينكم أن نحتكم إلى القرآن العظيم فيما كنتم فيه تختلفون، وإذا لم تجدوا أنّ ناصرَ محمد اليماني هو المهيمن بالحقِّ بسلطان العلم من محكم القرآن العظيم فلستُ الإمام المهديّ، فإذا لم ألجمكم بمحكم كتاب الله القرآن العظيم فلستُ الإمام المهديّ وهل تدرون لماذا؟ وذلك لأنّ الفتوى من ربّ العالمين عن طريق نبيّه في الرؤيا الحقّ أنه: [لن يجادلني أحد من كتاب الله القرآن العظيم إلا غلبته بسلطان العلم منه]، لمن كان يتمنّى أن يتّبع الحقّ ولا يريد غير الحقّ سبيلاً، أولئك لن تأخذهم العزّة بالإثم إن تبيّن لهم أنّهم كانوا من الذين ضلّ سعيهم في الحياة الدنيا وهم يحسبون أنّهم مهتدون، فلن يستمروا على ضلالهم لأنّهم علموا أنّ ذلك خسرانٌ مبينٌ بعد إذ هداهم الله إلى الحقّ، فتجدونهم يحمدون الله أنّه لم يُمِتهم وهم لا يزالون على ضلالٍ مبينٍ، ويحمدون الله الذي بعث في أمّتهم المهديّ المنتظَر ليخرجهم بآياتٍ بيّناتٍ من الظُلمات إلى النور، تصديقاً لقول الله تعالى: {الر ۚ كِتَابٌ أَنزَلْنَاهُ إِلَيْكَ لِتُخْرِجَ النَّاسَ مِنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النُّورِ بِإِذْنِ رَبِّهِمْ إِلَىٰ صِرَاطِ الْعَزِيزِ الْحَمِيدِ ﴿١﴾} صدق الله العظيم [إبراهيم].

ولربّما يود (طه يس) أن يقاطعني فيقول: "مهلاً مهلاً، إنّما ذلك القول موجّه لمحمدٍ رسول الله - صلّى الله عليه وآله وسلّم - بقول الله تعالى: {كِتَابٌ أَنزَلْنَاهُ إِلَيْكَ لِتُخْرِجَ النَّاسَ مِنَ الظُّلُمَاتِ إِلَى النُّورِ بِإِذْنِ رَبِّهِمْ إِلَىٰ صِرَاطِ الْعَزِيزِ الْحَمِيدِ} صدق الله العظيم". ومن ثم يردّ عليه الإمام المهديّ ناصر محمد وأقول: لم يجعل الله القرآن العظيم بصيرةً حصريّاً لمحمد رسول الله صلّى الله عليه وآله وسلّم! بل قال الله تعالى: {قُلْ هَـٰذِهِ سَبِيلِي أَدْعُو إِلَى اللَّـهِ ۚ عَلَىٰ بَصِيرَةٍ أَنَا وَمَنِ اتَّبَعَنِي} صدق الله العظيم [يوسف:108].

وقال الله تعالى: {قُلْ إِنَّمَا أُنذِرُكُم بِالْوَحْيِ ۚ وَلَا يَسْمَعُ الصُّمُّ الدُّعَاءَ إِذَا مَا يُنذَرُونَ ﴿٤٥﴾} صدق الله العظيم [الأنبياء].

وقال الله تعالى: {قُلْ أَيُّ شَيْءٍ أَكْبَرُ شَهَادَةً ۖ قُلِ اللَّـهُ ۖ شَهِيدٌ بَيْنِي وَبَيْنَكُمْ ۚ وَأُوحِيَ إِلَيَّ هَـٰذَا الْقُرْآنُ لِأُنذِرَكُم بِهِ} صدق الله العظيم [الأنعام:19].

وكذلك الإمام المهديّ ينذركم بالقرآن العظيم لعلكم تتّقون، تصديقاً لقول الله تعالى: {فَذَكِّرْ بِالْقُرْآنِ مَن يَخَافُ وَعِيدِ} صدق الله العظيم [ق:45].

وهذه مقدّمة الحوار من المهديّ المنتظَر إلى (طه يس)، فليتفضل للحوار بجَدٍّ مشكوراً وليس بحوار زخرف النثر الفارغ من الحقّ، ولذلك جعلنا هذا البيان بعنوان قول لله تعالى: {حَقِيقٌ عَلَىٰ أَن لَّا أَقُولَ عَلَى اللَّـهِ إِلَّا الْحَقَّ} صدق الله العظيم، كوني سوف أستنبط لكم الحقّ من محكم كتاب الله القرآن العظيم من آياته البينات، تصديقاً لقول الله تعالى: {وَلَقَدْ أَنزَلْنَا إِلَيْكَ آيَاتٍ بَيِّنَاتٍ ۖ وَمَا يَكْفُرُ بِهَا إِلَّا الْفَاسِقُونَ ﴿٩٩﴾} صدق الله العظيم [البقرة].

وسلامٌ على المرسَلين، والحمد لله ربّ العالمين ..
عبد الله وخليفته الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني .
_________________

اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..