Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
*الإمام ناصر محمد اليماني*
04 - صفر - 1440 هـ
13 - 10 - 2018 مـ
01:30 مساءً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )

[ili kufwatilia cha bayana asili]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=36042

ــــــــــــــــــــــــــــــ



تحذير المهديّ المنتظَر من قنبلةٍ نيزكيّةٍ من قطران سوف يضرب بها الله الولايات المتحدة الأمريكيّة
Tahadharisho Kutoka kwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Kutokana na bomu la kineizeki Meteoric kutokana na qataran Atapiga Allah Nayo Muungano wa nchi za Amerika ..


Tahadharisho Kutoka kwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Kutokana na bomu la kinaizaki Meteoric kutokana na qataran Atapiga Allah Nayo Muungano wa nchi za Amerika ..


Bismillah Al'Wahid Al'Qahar, Kutoka Kwa Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Khalifa wa Allah Katika Ardhi kwa aduwi wa Allah Donald Tramp na yule ambae kama yeye katika mashetani watu kwenye Congress katika nyumba nyeusi black House ya kiamerika wale ambao wanataka kuzima Nur ya Allah Al'Quran Al3adhim, Na Anakata Allah ispokua Atimize Nur Yake hata kama watachukia Washirikina katika mashetani watu kudhihirika kwake.


Na mimi ni Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Khalifa Wa Allah Ju Ya ulimwengu nasema kwenu na kwa wote makafiri kwa Al'Quran Al3adhim Ujumbe Wa Allah kwa Walimwengu na wakanushaji katika waislamu kwamba wamwabudu Allah pekeyake hana Mshirika Na Yeye Ambae Hajachukua Rafiki Mwanamke Wala Mtoto Wa Kiume Na Wala hana anaye fanana naye hata mmoja; Allah Mola Mlezi Wangu Na Mola Mlezi Wenu Hapana Mola ispokua Allah Basi Mwa'buduni Yeye na ikhlas ni Yake Dini, Hakika Yule Atakae Kumshirikisha Allah basi Amem'haramishia Yeye Pepo, Na Wala Hawana madhalimu wenye kuwasaidia.


Na Natoa shahada Kwa Allah Na Kwa Wote Ma Anssar walio tangulia walio bora katika pembe tafauti hakika mimi nawaonya kitu kibaya sana kutoka kwake, Basi mcheni Allah enyi ma3ashara ya Binadamu na muabuduni Allah Mola Mlezi wangu na Mola Mlezi wenu Ambae Amewaumba na Akaumba Mbingu Na Ardhi Ambae Anaendesha ufalme wa Mbingu na Ardhi wala sio nyinyi wenye kuendesha, Basi mcheni Allah wala musimwabudu ispokua Yeye muwe na ikhlas ni yake dini, Na Mumkimbie Allah kukimbia Kwake kwa kutubia na kumtaka, Kila moja wenu amleke Mola Mlezi Wake ili Amongoze Moyo wake, Na mjuwe kwamba Allah anauzunguka baina ya Mtu na Moyo wako, Na yule Hakumjalia Allah Nur hana pakupata Nur, Basi muleke kwa Mola Mlezi wenu ili Aongoze Nyoyo zenu, Hakika mimi kwenu kutoka kwake ni muonyaji baini.


Na Natoa Qasam Kwa Utukufu Wa Allah Amabe Anao Utukufu Wote hamuna pakuokoka kwenu kutokana na adhabu ya Allah ispokua ni kumkimbia Allah kulekea kwake basi mutowe shahada kwamba Hapana Mola ispokua Allah pekeyake Hana Mshirika na Yeye mutakua kwake munamwabudu, Basi itikieni mwito wa Ulinganizi wa Ma Nabi Wote Na Mitume kutoka wakwanza mpaka alio khitimisha Muhammad Mtume Wa Allah kwa watu wote kwa Al'Quran Al3adhim ambao imewajia kwa ulinganizi ule ule moja kwa pamoja kwa ulimi wa Ma Nabi Wote Na Mitume kwamba Mwabuduni Allah Ambae Amewaumba ili mumwabudu Yeye Pekeyaka hana mshirika, Basi kuweni wenye kushukuru wala musiwe ni katika makafiri kwa Al'Quran Al3adhim Awadhibu adhabu kuu, Na wala hamutapata kwenu pasi na Allah mwenye kuwasaidia, Basi sikizeni na mutii na mumshukuru Allah wala musikufuru na mumwitikie mlinganizi wa haki kutoka kwa Mola Mlezi Wenu, Na wala musipitishe katika dini yenu bila ya haki, Na wala musizidishe kutukuza Ma Nabi na Mitume na Al'Mahdi Al'Muntadhar na mawali wa Allah Wema, Na mujuwe kwamba ispokua sisi ni waja wa Allah kama nyinyi na muna haki kwa Dahati ya Allah kama ma Nabi Wake Na Mitume Wake na Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani Khalifa Wa Allah ju ya ulimwengu, Basi musitutukuze bila ya haki na mushindane katika kumpenda Allah na kua karibu nae basi ikiwa nyinyi Munamwabudu Yeye basi nifwateni yupi atakua anapendwa zaidi na kua karibu, Na yule atakae kunitii mimi na akaitika kwa ulinganizi wangu basi amemtii Allah Na Mitume Wake, Na atakae ni asii mimi na akakhalifu ulinganizi wangu basi amemaasi Allah na Mitume Wake Wote.


Na wala hakunitumiliza Allah kwenu ni Mtume kwa ki


tabu kipya; Bali kwa Bayana ya haki ya Al'Quran Al'Majid ili niwaongoze nayo ju ya basira kujua kutoka kwa Mola Mlezi wenu kwa njia ya Al3aziz Al'Hamid Allah Mola Mlezi Wangu Na Mola Mlezi wenu Subhanahu wa Ta3ala kwayale munao mshirikisha na ju yake mwazua! Basi bado inaendelea kuwapata maafa ya adhabu kutoka kwa Mola Mlezi wenu na Anaangamiza Anae Mtaka miongoni mwenu mpaka musalimu kwa Allah pekeyake na mumabudu Yeye Pekeyake Hana Mshirika na Yeye na mutii Khalifa wa Allah na mja Wake alio'teuliwa ju yenu, Wala hamuna khiyari katika kumteua Khalifa Wa Allah Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani; Bali Allah Anaumba Anae Mtaka na Anateua na wala haikua kwenu Khiari, Subhanahu Ametukuka Ta3ala Kwa yale wanao mahirikisha.


Basi mukikata kumwitikia mlinganizi wa Allah kwenu na Khalifa kutoka kwa Nafsi zenu basi nawabashiria kwa adhabu yakumiza kwa ju na kwa bahari na kutoka bara ndio Angamize Anae Mtaka kati yenu na Am'adhubu Anae mtaka miongoni mwenu na Amokoe kutokana na adhabu yake Anae Mtaka, Na je kwani hajazi isookua wenye kukufuru? Wla Hadhulumi Mola MleI Wangu Yoyote.


Na hakika imezidi Hasira na ghadhabu ya Allah Jua Yenu kila Anapo Adhibu vijiji kwenu kwa adhabu ya chini Huwenda wakarudi basi nini imekua jibu lenu ispokua " Hio ni Majanga ya asili "! Munakanusha kwamba ni adhabu kutoka kwa Allah ili Awaonjeshe baadhi ya yale mulio yatuma huwenda mukarudi kufwata ulinganizi wa haki kutoka kwa Mola Mlezi Wenu basi mumaabudu Yeye Pekeyake Hana Mshirikia na Yeye.


Na sio Al'Imam Al'Mahdi ispokua ni mja wa Allah kama nyinyi basi kimbilieni kwa Mola Mlezi wenu na mumstaghfiru Yeye na mutubieni kwa Allah kutubu Atawasamehe madhambi yenu yatakavo kua, Na muwe na istikama kwa njia ya haki kwenye kumwabudu Yeye pekeyake Hana mshirika na Yeye ndio mutakula kutoka ju yenu na kutoka chini ya migu yenu na Atawaondoshe Allah kwenu adhabu kuu katika Duni na Akhera, Na Afanye nini Allah kwa Adhabu yenu? Bali Anapenda Awasamehe na Awarehemu Awafanye umma moja kwenye njia ilio nyoka munamwabudu Allah Pekeyake Hana Mshirika na Yeye, Basi musimombe pamoja na Allah Yoyote hakika mimi kwenu ni muonyaji kutoka kwake alio baini kwa Bayana ya haki ya Al'Quran Al3adhim, Basi fungamaneni kwa kamba ya Allah Al'Quran Al3adhim Na mumtii khalifa wa Allah ju ya walimwengu ndio Awaokowe Allah kutokana na maafa ya adhabu inao fwatana.


Na Tahadharisho kutokana na kubwa na uchungu kutokana na hasira za Allah kwa adhabu kutokana na kijisayari imeshopoka kutoka mbinguni kwa amri kutoka kwa Mola Mlezi wake kulekea katika Ardhi ya Binadamu, Mbio yake ni kama kufumba jicho kabla haijagongana na Ardhi ya Binadamu upande wa bara ya Amerika ambao yenye mlio mkuu kabisa, Inaleta uharibifu mkubwa na inauwa wengi walio chukia Ridhwan Allah na wanafwata yale yanao mchukiza, Na miongoni mwenu mwenye kutaka kuzima nuru ya Allah kwa walimwengu Al'Quran Al3adhim na wao wanajua kwamba ni haki kutoka kwa Mola Mlezi wenu, Hawo ndio walio ghadhibiwa ju yao miongoni mwenu.


Na miongoni mwenu mwenye kutaka kumfanyia mbinu Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani amabae ni taa inao angaza kwa walimwengu kwa mwangaza wa Allah ambao ni Bayana ya haki ya Al'Quran kwa Al'Quran, Na haihat haihat! Na Mola Mlezi wa Ardhi na Mbingu hamuwezi, Basi ikiwa muko na mbinu basi nifanyieni vitimbi, Na namshuhudisha Allah Al'Wahid Al'Qahar hakika mimi siwapi changamoto kwa ma Anssar walio tangulia walio bora hata kama wako ma milyar na milyar; Bali nawapa changa moto kwa Allh Al'Wahid Al'Qahar.


Na enyi ma3ashara ya mashetani katika ma jini na watu haitakiwi kwa Allah Achukuwe Khalifa Wake kwa Walimwengu anamogopa yoyote pasi na Allah Subhanahu wa Ta3ala 3uluwan Kabiran, Na nawapa changamoto yule ambae amechukia ulinganizi wa Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani kwa maneno Ya Allah, Na mujuwe kwamba Allah ni mwepesi kwa mbinu kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَإِذَا أَذَقْنَا النَّاسَ رَحْمَةً مِّن بَعْدِ ضَرَّاءَ مَسَّتْهُمْ إِذَا لَهُم مَّكْرٌ فِي آيَاتِنَا ۚ قُلِ اللَّـهُ أَسْرَعُ مَكْرًا ۚ إِنَّ رُسُلَنَا يَكْتُبُونَ مَا تَمْكُرُونَ ﴿٢١﴾} صدق الله العظيم [يونس].
Allah Ta3ala Asema: {Na tunapo waonjesha watu rehema baada ya shida waliyo ipata, utawaona wana vitimbi kuzipangia Ishara zetu. Sema: Mwenyezi Mungu ni Mwepesi zaidi wa kupanga. Hakika wajumbe wetu wanayaandika mnayo yapanga (21)} Sadaqa Allah Al3adhim [Yunus].


Na Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَيَمْكُرُ اللَّـهُ ۖ وَاللَّـهُ خَيْرُ الْمَاكِرِينَ ﴿٣٠﴾} صدق الله العظيم [الأنفال].
Allah Ta3ala Asema: {na Mwenyezi Mungu akapanga yake. Na Mwenyezi Mungu ndiye mbora wa mipango (30)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alanfal].


Na kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala: {وَأَقْسَمُوا بِاللَّـهِ جَهْدَ أَيْمَانِهِمْ لَئِن جَاءَهُمْ نَذِيرٌ لَّيَكُونُنَّ أَهْدَىٰ مِنْ إِحْدَى الْأُمَمِ ۖفَلَمَّا جَاءَهُمْ نَذِيرٌ مَّا زَادَهُمْ إِلَّا نُفُورًا ﴿٤٢﴾ اسْتِكْبَارًا فِي الْأَرْضِ وَمَكْرَ السَّيِّئِ ۚ وَلَا يَحِيقُ الْمَكْرُ السَّيِّئُ إِلَّا بِأَهْلِهِ ۚ فَهَلْ يَنظُرُونَ إِلَّا سُنَّتَ الْأَوَّلِينَ ۚ فَلَن تَجِدَ لِسُنَّتِ اللَّـهِ تَبْدِيلًا ۖ وَلَن تَجِدَ لِسُنَّتِ اللَّـهِ تَحْوِيلًا ﴿٤٣﴾ أَوَلَمْ يَسِيرُوا فِي الْأَرْضِ فَيَنظُرُوا كَيْفَ كَانَ عَاقِبَةُ الَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ وَكَانُوا أَشَدَّ مِنْهُمْ قُوَّةً ۚ وَمَا كَانَ اللَّـهُ لِيُعْجِزَهُ مِن شَيْءٍ فِي السَّمَاوَاتِ وَلَا فِي الْأَرْضِ ۚ إِنَّهُ كَانَ عَلِيمًا قَدِيرًا ﴿٤٤﴾} صدق الله العظيم [فاطر].
Allah Ta3ala Asema: {Na waliapa kwa Mwenyezi Mungu ukomo wa kuapa kwao, kwamba akiwajia mwonyaji bila ya shaka watakuwa waongofu zaidi kuliko taifa jingine lolote. Lakini alipo wajia mwonyaji hakuwazidishia ila kuikimbia hiyo Haki (42) Kwa kutakabari kwao katika nchi, na kufanya vitimbi vya uovu. Na vitimbi viovu havimsibu ila mwenyewe aliye vifanya. Hebu hawangojei yalio wasibu watu wa kale? Basi hutapata mabadiliko katika mtindo wa Mwenyezi Mungu. Wala hutapata mageuko katika mwendo wa Mwenyezi Mungu (43) Je! Hawakusafiri katika ardhi wakaona vipi ulikuwa mwisho wa walio kuwa kabla yao? Na hao walikuwa wana nguvu zaidi kuliko wao. Na hapana kitu kinacho weza kumshinda Mwenyezi Mungu mbinguni wala katika ardhi. Hakika Yeye ni Mwenye kujua, Mwenye uweza (44)} Sadaqa Allah Al3adhim [Fatir].


Na Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{فَذَكِّرْ فَمَا أَنتَ بِنِعْمَتِ رَبِّكَ بِكَاهِنٍ وَلَا مَجْنُونٍ ﴿٢٩﴾ أَمْ يَقُولُونَ شَاعِرٌ نَّتَرَبَّصُ بِهِ رَيْبَ الْمَنُونِ ﴿٣٠﴾ قُلْ تَرَبَّصُوا فَإِنِّي مَعَكُم مِّنَ الْمُتَرَبِّصِينَ ﴿٣١﴾ أَمْ تَأْمُرُهُمْ أَحْلَامُهُم بِهَـٰذَا ۚ أَمْ هُمْ قَوْمٌ طَاغُونَ ﴿٣٢﴾ أَمْ يَقُولُونَ تَقَوَّلَهُ ۚ بَل لَّا يُؤْمِنُونَ ﴿٣٣﴾ فَلْيَأْتُوا بِحَدِيثٍ مِّثْلِهِ إِن كَانُوا صَادِقِينَ ﴿٣٤﴾ أَمْ خُلِقُوا مِنْ غَيْرِ شَيْءٍ أَمْ هُمُ الْخَالِقُونَ ﴿٣٥﴾ أَمْ خَلَقُوا السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ ۚ بَل لَّا يُوقِنُونَ ﴿٣٦﴾ أَمْ عِندَهُمْ خَزَائِنُ رَبِّكَ أَمْ هُمُ الْمُصَيْطِرُونَ ﴿٣٧﴾ أَمْ لَهُمْ سُلَّمٌ يَسْتَمِعُونَ فِيهِ ۖ فَلْيَأْتِ مُسْتَمِعُهُم بِسُلْطَانٍ مُّبِينٍ ﴿٣٨﴾ أَمْ لَهُ الْبَنَاتُ وَلَكُمُ الْبَنُونَ ﴿٣٩﴾ أَمْ تَسْأَلُهُمْ أَجْرًا فَهُم مِّن مَّغْرَمٍ مُّثْقَلُونَ ﴿٤٠﴾ أَمْ عِندَهُمُ الْغَيْبُ فَهُمْ يَكْتُبُونَ ﴿٤١﴾ أَمْ يُرِيدُونَ كَيْدًا ۖ فَالَّذِينَ كَفَرُوا هُمُ الْمَكِيدُونَ ﴿٤٢﴾ أَمْ لَهُمْ إِلَـٰهٌ غَيْرُ اللَّـهِ ۚ سُبْحَانَ اللَّـهِ عَمَّا يُشْرِكُونَ ﴿٤٣﴾ وَإِن يَرَوْا كِسْفًا مِّنَ السَّمَاءِ سَاقِطًا يَقُولُوا سَحَابٌ مَّرْكُومٌ ﴿٤٤﴾ فَذَرْهُمْ حَتَّىٰ يُلَاقُوا يَوْمَهُمُ الَّذِي فِيهِ يُصْعَقُونَ ﴿٤٥﴾ يَوْمَ لَا يُغْنِي عَنْهُمْ كَيْدُهُمْ شَيْئًا وَلَا هُمْ يُنصَرُونَ ﴿٤٦﴾ وَإِنَّ لِلَّذِينَ ظَلَمُوا عَذَابًا دُونَ ذَٰلِكَ وَلَـٰكِنَّ أَكْثَرَهُمْ لَا يَعْلَمُونَ ﴿٤٧﴾وَاصْبِرْ لِحُكْمِ رَبِّكَ فَإِنَّكَ بِأَعْيُنِنَا ۖ وَسَبِّحْ بِحَمْدِ رَبِّكَ حِينَ تَقُومُ ﴿٤٨﴾ وَمِنَ اللَّيْلِ فَسَبِّحْهُ وَإِدْبَارَ النُّجُومِ ﴿٤٩﴾} صدق الله العظيم [الطور].
Allah Ta3ala Asema: {Basi kumbusha! Kwani wewe, kwa neema ya Mola wako Mlezi, si kuhani wala mwendawazimu (29) Au wanasema: Huyu ni mtunga mashairi, tunamtarajia kupatilizwa na dahari (30) Sema: Tarajieni, na mimi pia ni pamoja nanyi katika kutarajia (31) Au hizo akili zao ndio zinawaamrisha haya, au wao basi ni watu majeuri tu (32) Au ndio wanasema: Ameitunga hii! Bali basi tu hawaamini (33) Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli (34) Au wao wameumbwa pasipo kutokana na kitu chochote, au ni wao ndio waumbaji (35) Au wao wameziumba mbingu na ardhi? Bali hawana na yakini (36) Au wanazo khazina za Mola wako Mlezi au wao ndio wenye madaraka (37) Au wanazo ngazi za kusikilizia? Basi huyo msikilizaji wao na alete hoja ilio wazi (38) Au Yeye Mwenyezi Mungu ana wasichana, na nyinyi ndio mna wavulana (39) Au wewe unawaomba ujira, na kwa hivyo ndio wanaelemewa na uzito wa gharama (40) Au wanayo ilimu ya ghaibu, nao wameandika (41) Au wanataka kufanya vitimbi tu? Lakini hao walio kufuru ndio watakao tegeka (42) Au wanae mungu asiye kuwa Mwenyezi Mungu? Subhanallah! Ametaksika Mwenyezi Mungu na hao wanao washirikisha naye (43) Na hata wange ona pande linatoka mbinguni linaanguka wange sema: Ni mawingu yaliyo bebana (44) Basi waache mpaka wakutane na siku yao watakapo hilikishwa (45) Siku ambayo hila zao hazitawafaa hata kidogo, wala wao hawatanusuriwa (46) Na hakika walio dhulumu watapata adhabu nyengine isiyo kuwa hii, lakini wengi wao hawajui (47) Na ingojee hukumu ya Mola wako Mlezi. Kwani wewe hakika uko mbele ya macho yetu, na mtakase kwa kumsifu Mola wako Mlezi unapo simama (48) Na usiku pia mtakase, na zinapo kuchwa nyota (49)} Sadaqa Allah Al3adhim [Altur].


Na kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:
{قَدْ مَكَرَ الَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ فَأَتَى اللَّـهُ بُنْيَانَهُم مِّنَ الْقَوَاعِدِ فَخَرَّ عَلَيْهِمُ السَّقْفُ مِن فَوْقِهِمْ وَأَتَاهُمُ الْعَذَابُ مِنْ حَيْثُ لَا يَشْعُرُونَ ﴿٢٦﴾}
صدق الله العظيم [النحل].
Allah Ta3ala Asema: {Walipanga vitimbi walio kuwa kabla yao, Mwenyezi Mungu akayasukua majengo yao kwenye misingi, dari zikawaporomokea juu yao, na adhabu ikawajia kutoka wasipo kujua (26)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnahl].


Na Akasema Allah Ta3ala:
{وَمَا أَمْرُنَا إِلَّا وَاحِدَةٌ كَلَمْحٍ بِالْبَصَرِ ﴿٥٠﴾ وَلَقَدْ أَهْلَكْنَا أَشْيَاعَكُمْ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ ﴿٥١﴾} صدق الله العظيم [القمر].
Allah Ta3ala Asema: {Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho (50) Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka (51)} Sadaqa Allah Al3adhim [ Alqamar].


Na enye ma3ashara ya wanadamu katika pembe tafauti kuweni mashahidi ju ya nafsi zenu, Na enyi Ma3ashara ya Ma Anssar walio tangulia walio bora katika zama za mazungumzo kabla ya kudhihiri kuweni mashahidi ju ya watu kwa muonyaji kwa Allah hakika mimi nawaonya makafiri kwa Al'Quran Al3adhim na wanaokanusha nayo na wanataka uongofu mbali nayo, Basi nawabashiria kwa mabomu ya kineizaki ambao ni Smart kabla kupita sayari ya adhabu Saqar, Na mumeingia katika zama za adhabu kubwa na kubwa zaidi, Na miongoni mwake ni mizunguko ya upepo mikali na kimbunga cha bahari inao fura kwa upepo ambao wakuharibu, Na ma zilzala za sakafu zilio inuka kwa zilzala inao bomoa inakujia majengo yenu kutoka kwa chini ya msingi ndio ibomoke ju yenu sakafu ju ya vichwa ya Anae mtaka Allah, Na manaizaki ya uwonyaji ya mchana yenye kuchomoza kifiniko ya sayari ya Ardhi ya Binadamu mpaka pindi ikifika umbali wa mamita za kuhisabu ju ya mbingu ya baadhi ya miji basi inakua ( Inalipuka ) Ju ya vichwa ya watu wa miji huwenda wakakufuru kwa kauli ya mulhidina kwamba ni ( Maafa ya asili ). Hivi hamutafakari, Hakika Ya Yule Alio Umba Mbingu na Ardhi Yeye ndio Anae Endesha basi vipi itavuka kava yenu ya anga ambao iko umbali wa ma alfu ya ma Kilomita mpaka itakapo fika badhi yake ju ya mbingu ya miji yenu umbali wa ma mita za kuhisabu tu alafu Anazilipua Allah ju ya mbingu ya miji yenu kutokana na adhabu ya chini? Huwenda mukaamini kwamba Allah Yeye ndio Anae endesha ufalme wa Mbingu na Ardhi ili Awaonye kwa adhabu ya naizaki Kuu; Hio kwenu naizaki ya qataran haidaushiki hata kwa harara ya ju, Hata moto wa sayari ya Saqar ambao inadausha harara yake mawe haiwezi kudausha kijisayari cha qataran basi lau ingewekwa ndani yake ingeweza kuzuwia harara yake nayo iko ndani yake, Nayo ni kijisayari cha adhabu imekua na qataran na mchanganyiko na madini, imefinywa kufinywa sana kwa sababu ya mbio yake na kutembea kwake ambao haiwaziki ambao inavo zunguka kwa nafsi yake ili ifinyike dhara yake kwa dhati yake kufinyika kwa sana, Nayo ni mz


ito wa uzani ili iwe Kupambana na kugusana kwakua ni inambio zaidi kwa Viji sayari kabisa haina mfano wake katika kitabu, Ispokua Atomi ya saa.


Bali mimi nawahadithia kuhusu kijisayari cha adhabu ambao ni ku na ni uchungu baina ya ma naizaki za kimbingu kwakua mimi napata mbio yake katika muhakam ya kitabu inatoka kuchomoka kama mfano wa mbio ya mwangaza kabla haijagongana na Ardhi kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَمَا أَمْرُنَا إِلَّا وَاحِدَةٌ كَلَمْحٍ بِالْبَصَرِ ﴿٥٠﴾ وَلَقَدْ أَهْلَكْنَا أَشْيَاعَكُمْ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ ﴿٥١﴾} صدق الله العظيم [القمر].
Allah Ra3ala Asema: { { Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho (50) Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka (51)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alqamar].


Na Anakusudia Allah kupepesa kwa jicho kama mbio ya mwangaza kabla haijafika ju ya kugongana kwake na Ukingo wa Ardhi yenye mlipuko mkuu katika kitabu; Hio kwenu ni Muungano wa nchi za Amerika, Inateremka kijisayari ya adhabu pale anapo kuweko Tramp kama kwamba ni roket ya harara imeundwa hususi kwajili ya Tramp na yule kama yeye katika mashetani watu ndani ya Amerika kwenye nyumba nyeusi, Ispokua Mola wangu Mlezi Amenionesha kwamba ile kijisayari ina sauti ya kutisha mno na vumbi haijatokea kama hio katika tarehe ya mzunguko wa Ardhi kabisa, Na kijisayari cha adhabu kwa Donald Tramp ni zawadi yanasibiana na makamu yake vile anavo stahiki, Basi zawadi mbovu mno! kwakua hivo ni kwa sababu ya chuki na nia yake alio ilaza dhidi ya Allah na Mtume wake, Eee hakika kwamba Donald Tramp ni katika waumini ambao wanao yakini kwa Al'Quran Al3adhim kwamba ni kutoka kwa Allah Mola Mlezi wa Ulimwengu na yeye kwa Al'Quran Al3adhim Ni katika wanao chukia, Na anajua kwamba Ridhwan ya Allah ni Haki, Basi akachukia Ridhwan Ya Allah Akafwata yale yanao mchukiza Allah, Na anataka kuzima Nur Ya Allah Mola Mlezi Wa Ulimwengu, Na akakata akapita mipaka akafanya ujabri akajinua katika Ardhi kujikuza pakubwa; Bali anaona hakuna mwenye nguvu zaidi yake na wamesahau kwamba Allah Ananguvu zaidi yao, Basi mauti ju yako ewe Donald Tramp mwenye shari zaidi katika kinacho tembea na ni shari kubwa na bala kwa Raia wa Amerika walio koloniwa baada kupanda Donald Tramp Arshi ya Amerika basi wamekua Raia wa Amerika na wakristo wa kiamerika wamekoloniwa kutoka kwa Donald Tramp ambae ni myahudi na Taifa la mayahudi.


Na wala sikanushi kwamba wimbi la kijisayari lenye madhara ambalo adhimu kua litakua kwenye hali ya kuenea pakubwa ju ya sayari ya Ardhi inao olea basi musiogope enyi ma3ashara ya waumini ambao ni wema walio tubu katika waislamu na walio tubu katika walimwengu wote warabu na waajami, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَمَا أَمْرُنَا إِلَّا وَاحِدَةٌ كَلَمْحٍ بِالْبَصَرِ ﴿٥٠﴾ وَلَقَدْ أَهْلَكْنَا أَشْيَاعَكُمْ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ ﴿٥١﴾} صدق الله العظيم .
Allah Ra3ala Asema: { { Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho (50) Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka (51)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alqamar].


Na Hakika mimi ni Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani natangaza changamoto kwako ewe ambae ni mwenye shari zaidi katika kinacho tembea Donald Tramp, Na Baraka Ya Allah Ju ya Bush Mdogo ambae ametubu na akamtaka Allah na anaficha imani yake, Na najua kutoka Kwa Allah yale musoyajua, Na Salam Ju Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabil3alamin..
Khalifa Wa Allah Na Mja Wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
__________