ﻟﻤﺘﺎﺑﻌﺔ ﺭاﺑﻂ اﻟﻤﺸﺎﺭﻛﺔ اﻷﺻﻠﻴﺔ ﻟﻠﺒﻴﺎﻥ
(https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=36322)


Al’Imam Nasser Muhammad Al’Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
24 - 04 - 1433 هـ
18 - 03 - 2012 مـ
04:24 صباحاً
ـــــــــــــــــــــــ




إنّ للمتقين بشرى بدخولهم الجنة يوم موتهم إلى يوم بعثهم، وكذلك بشرى أخرى في يوم بعثهم..


Hakika Ya Wacha’Mungu Wana Bishara Kwa Kuingia Kwao Pepo Siku Ya Kufa Kwao Mpaka Kufufuliwa Kwao, Na Hivo Hivo Bishara Ingine Kwenye Siku Ya Kufufuliwa Kwao ..


Bismillah Al’Rahman Al’Rahim, Na Sala Na Salam Juu Ya Babu Yangu Muhammad Mtume Wa Allah Na Ahli Yake Walio’Tahirika Na Wote Ma Anssar Wa Allah Al’Wahid Al’Qahar Mpaka Siku Ya Mwisho, Ama Baada Ya Hapo..


Enyi Ma3ashara Ya Ma Anssar Walio Tangulia Walio Bora Katika Zama Za Mazungumzo Kabla Ya Kudhihiri, Na Ikifika wakati wa kudhihiri inabatilika mafuta mazuri basi kuweni katika wano fwatilia mazungumzo baina ya Al’Mahdi Al’Muntadhar Na Omar, Na ni Bayana ipi ni ya haki kwa ukumbusho; Na Jee ataileta Al’Mahdi Al’Muntadhar Ama Shekhe Omar Al’Qarshi? Na Bado anazali Al’Mahdi Al’Muntadhar Anawapa Fatwa kwamba haitakiwi kwa ma Anssar Na wote watafiti wa haki kwenye meza ya mazungumzo kwamba iwachukuo utukufu kwa dhambi ikiwa itabainika kwao kwamba Fadhilat Al’Shekhe Omar anatamka haki na anaongoza kwa njia ilio nyoka, Basi fwateni haki kutoka kwa Mola Mlezi wenu hata kama 99% Ya haki kwenye masa’ala iko pamoja na Al’Imam Nasser Na Masala Moja amepata ndani yake Omar na akamzidi juu ya Al’Imam Nasser kutoka kwa muhakam ilio wazi ya ukumbusho alafu waseme ma Anssar Na wote watafiti wa haki katila meza ya mazungumzo hakika imebainika kwetu kwamba Al’Imam Nasser Muhammad sio ila ni mwanacuoni mkubwa pekeyake wala haimanishi hio kwamba ni Al’Mahdi Al’Muntadhar kwakua Muhammad Mtume Wa Allah - Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam- Alimweleza Nasser Muhammad Kwenye Ndoto kwamba yeye ndio Al’Mahdi Al’Muntadhar, Na Akafanya ushuhuda ulio wazi kwenye waki ya ukweli kwamba yeye ikiwa ni Al’Imam Nasser Muhammad yeye ndio Al’Mahdi Al’Muntadhar Basi hatomjadili yoyote katika Al’Quran ispokua atamshinda Al’Imam Nasser Muhammad na kwa hivo na kwa hayo basi ameifanya Allah hi fatwa ndio ushuhuda ulio wazi wa kumjuwa Al’Mahdi Al’Muntadhar wa Haki kwamba hatomjadili mwanachuoni kwa Al’Quran ispokua atamshinda Al’Mahdi Al’Muntadhar Wa Haki, Basi pindi Allah Akimsadikisha A’Imam Nasser Muhammad hi ndoto kwenye wake ya uhakika basi itakua imebainika kwa watafiti wa haki kwamba Al’Imam Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani Yeye Ndio Al’Mahdi Al’Muntadhar Hakuna Shaka Wala Utetanishi, Basi Akishindwa Kwenye masaala moja kutoka kwa Muhakam Ya Ukumbusho basi mutakua mumejua yeye ispokua ila ni mwanachuoni mkubwa wala sio Al’Mahdi Al’Muntadhar, Basi imekua meza ya mazungumzo ndio uwanja ya wapinganaji wa mazungumzo kwa muhakam ilio wazi ya ukumbusho.


Na ewe fathilat Al’Shekh Omar Al’Qarshi Basi bado Anazali Al’Mahdi Al’Muntadhar Kimesmama kimo chake anatembea, Na nawapa amri ma Anssar kwamba wamhishimu Fadhilat Al’Shekh Omar basi sio katika haki kwamba yule atakae nikhalifu kwamba tumchukuwe ni hasimu alie wazi, Ama tuseme kwamba yeye ni katika mashetani watu hasha kwa Allah Mpaka ibainike kwetu jambo lake na ibainike nini kinacho ficha kifua chake, Na Ahlan Wa Sahlan Na Marhaba kwa Al’Shekh Omar, Na Bado inazali mazungumzo yetu haswa baina ya Al’Mahdi Al’Muntadhar Na Fadhilat Al’Shekh Omar Nayo ni katiak Adhabu ya kaburi Na Ushuhuda ni Kutoka kwa Muhakam Ilio wazi Ukumbusho, Na anataka Omar kwamba alete ushuhuda kutoka kwa Muhakam Ya Ukumbusho kwa kuthibitisha adhabu ya kaburi kwenye kauli ya Allah Ta3ala:

{إِنَّ الَّذِينَ قَالُوا رَ‌بُّنَا اللَّـهُ ثُمَّ اسْتَقَامُوا تَتَنَزَّلُ عَلَيْهِمُ الْمَلَائِكَةُ أَلَّا تَخَافُوا وَلَا تَحْزَنُوا وَأَبْشِرُ‌وا بِالْجَنَّةِ الَّتِي كُنتُمْ تُوعَدُونَ ﴿30﴾ نَحْنُ أَوْلِيَاؤُكُمْ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَفِي الْآخِرَ‌ةِ وَلَكُمْ فِيهَا مَا تَشْتَهِي أَنفُسُكُمْ وَلَكُمْ فِيهَا مَا تَدَّعُونَ ﴿31﴾ نُزُلًا مِّنْ غَفُورٍ‌ رَّ‌حِيمٍ ﴿32﴾ وَمَنْ أَحْسَنُ قَوْلًا مِّمَّن دَعَا إِلَى اللَّـهِ وَعَمِلَ صَالِحًا وَقَالَ إِنَّنِي مِنَ الْمُسْلِمِينَ ﴿33﴾} صدق الله العظيم [فصلت].
Allah Ta3ala Asema: { Hakika wale walio sema Mola Mlezi wetu ni Allah alafu wakawa na istikama wanashuka juu yao Malaika kwamba musiogope wala musihuzunike na bishara ya pepo ambao mulikua mumeahidiwa (30) Sisi hakika ni ma wali wenu kwenye maisha ya dunia na akhera na mutapata munacho taka nafsi zenu ndani yake na mutapata munacho kidai (31) Mashukio kutoka kwa mwenye Kusamehe Mwenye Huruma (32) Na ni nani kauli yake bora kuliko yule alio lingania kwa Allah na akatenda mema akasema hakika mimi ni miongoni mwa waislamu (33)} Sadaqa Allah Al3adhim
[Fusilat].



Na ewe Omar Hakika Mimi Ni Al’Mahdi Al’Muntadhar natoa fatwa kwa haki hakika ya hi aya inahusu bishara ya kwanza kwa wacha’Mungu kwa kuingia pepo kabla kufika siku ya kufufuliwa ambao ni ya wote, Kwa mana hakika ya wacha’Mungu wanao bishara katika maisha ya dunia kwa kuingia peponi na wanao bishara ingine siku ya kufufuliwa kwa wote hivo hivo kwa kuingia kwao peponi, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{أَلَا إِنَّ أَوْلِيَاءَ اللَّـهِ لَا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ ﴿62﴾ الَّذِينَ آمَنُوا وَكَانُوا يَتَّقُونَ ﴿63﴾ لَهُمُ الْبُشْرَ‌ىٰ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَفِي الْآخِرَ‌ةِ لَا تَبْدِيلَ لِكَلِمَاتِ اللَّـهِ ۚ ذَٰلِكَ هُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ ﴿64﴾ وَلَا يَحْزُنكَ قَوْلُهُمْ ۘ إِنَّ العزّة لِلَّـهِ جَمِيعًا ۚ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ ﴿65﴾} صدق الله العظيم [يونس].
Allah Ta3ala Asema: { Hakika Ma wali wa Allah hawana khofu juu yao wala wao watahuzunika (62) Wale ambao waliamini na wakawa ni wachaji (63) Wanao bishara kwenye maisha ya dunia na katika akhera hakuna mabadiliko kwa maneno ya Allah huo ndio ushindi mkuu (64) Na wala isikuhuzunishe maneno yao hakika ya Utukufu ni wa Allah wote yeye ndio Mwenye Kusikia Mjuzi (65)} Sadaqa Allah Al3adhim
[Yunus].



Basi bishara ya kwanza nayo siku ya kufa kwa yule ano ( Mcha Mola Mlezi wake ) ambae amekita kwenye njia ilio nyoka mpaka atakapo kutana na Allah kwa Moyo ulo Salimika, Na yeye ni katika wale ambao wanaenda mbio kwa mambo ya kheri na wanamomba Mola Mlezi wao kwa kunyenyekea na kwa utisho na wakawa ni katika wanao ogopa, Hawo wanao bishara ya kwanza kwa kuingia kwao peponi milele ndani yake itakavo dumu mbingu na ardhi na hivo ni katika siku ya kufa kwao mpaka siku ya kufufuliwa. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala: {يَوْمَ يَأْتِ لَا تَكَلَّمُ نَفْسٌ إِلَّا بِإِذْنِهِ ۚ فَمِنْهُمْ شَقِيٌّ وَسَعِيدٌ ﴿105﴾ فَأَمَّا الَّذِينَ شَقُوا فَفِي النَّارِ‌ لَهُمْ فِيهَا زَفِيرٌ‌ وَشَهِيقٌ ﴿106﴾ خَالِدِينَ فِيهَا مَا دَامَتِ السَّمَاوَاتُ وَالْأَرْ‌ضُ إِلَّا مَا شَاءَ رَ‌بُّكَ إِنَّ رَ‌بَّكَ فَعَّالٌ لِّمَا يُرِ‌يدُ ﴿107﴾ وَأَمَّا الَّذِينَ سُعِدُوا فَفِي الْجَنَّةِ خَالِدِينَ فِيهَا مَا دَامَتِ السَّمَاوَاتُ وَالْأَرْ‌ضُ إِلَّا مَا شَاءَ رَ‌بُّكَ عَطَاءً غَيْرَ‌ مَجْذُوذٍ ﴿108﴾} صدق الله العظيم [هود].
Allah Ta3ala Asema: { Siku hiyo itakapo fika, hatosema hata mtu mmoja ila kwa idhini yake Mwenyezi Mungu. Kati yao watakuwamo waliomo mashakani na wenye furaha (105) Ama wale wa mashakani hao watakuwamo Motoni wakiyayayatika na kukoroma (106) Watadumu humo muda wa kudumu mbingu na ardhi, isipo kuwa apendavyo Mola wako Mlezi. Hakika Mola wako Mlezi hutenda apendavyo (107) Na ama wale walio bahatika, wao watakuwamo Peponi wakidumu humo muda wa kudumu mbingu na ardhi, isipo kuwa apendavyo Mola wako Mlezi. Hicho ni kipawa kisio na ukomo (108)} Sadaqa Allah Al3adhim [Hud].


Na Kadhalika bishara ingine kwa kuingia kwao peponi siku ya kufufuliwa kwao basi wataingia ndani yake kwa roho na mwili siku ya ufufuwaji ya watu wote, Siku atakapo Allah kunja mbingu kama Mkunjo wa karatasi kwenye kitabu wanawapokea Malaika kwa bishara mara ingine ili ipate tumaini nyoyo zao, Kusadikisha Kwa Kauli Ya Allah:
{إِنَّ الَّذِينَ سَبَقَتْ لَهُم مِّنَّا الْحُسْنَىٰ أُولَـٰئِكَ عَنْهَا مُبْعَدُونَ ﴿101﴾ لَا يَسْمَعُونَ حَسِيسَهَا وَهُمْ فِي مَا اشْتَهَتْ أَنفُسُهُمْ خَالِدُونَ ﴿102﴾ لَا يَحْزُنُهُمُ الْفَزَعُ الْأَكْبَرُ‌ وَتَتَلَقَّاهُمُ الْمَلَائِكَةُ هَـٰذَا يَوْمُكُمُ الَّذِي كُنتُمْ تُوعَدُونَ ﴿103﴾ يَوْمَ نَطْوِي السَّمَاءَ كَطَيِّ السِّجِلِّ لِلْكُتُبِ كَمَا بَدَأْنَا أَوَّلَ خَلْقٍ نُّعِيدُهُ وَعْدًا عَلَيْنَا إِنَّا كُنَّا فَاعِلِينَ ﴿104﴾} صدق الله العظيم [الأنبياء].
Allah Ta3ala Asema: { Ama wale ambao wema wetu umewatangulia, hao watatenganishwa na hayo (101) Hawatausikia mvumo wake, na wao watadumu katika yale zinayo yatamani nafsi zao (102) Hicho Kitisho Kikubwa hakito wahuzunisha. Na Malaika watawapokea (kwa kuwaambia): Hii ndiyo Siku yenu mliyo kuwa mkiahidiwa (103) Siku tutakapo zikunja mbingu kama mkunjo wa karatasi za vitabu. Kama tulivyo anza umbo la mwanzo tutalirudisha tena. Ni ahadi iliyo juu yetu. Hakika Sisi ni watendao (104)} Sadaqa Allah Al3adhim [Al’Anbia].


Lakini hi bishara ingine kwa kuingia kwa peponi mara ingine baada kumalizika maisha ya dunia na wao walikua ndani yake kabla kumalizika maisha ya dunia, Na hivo ni kutoka kufa kwao mpaka siku ya Kufufuliwa kwao, Na hivo hivo watu wa motoni. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَحَاقَ بِآلِ فِرْ‌عَوْنَ سُوءُ الْعَذَابِ ﴿45﴾ النَّارُ‌ يُعْرَ‌ضُونَ عَلَيْهَا غُدُوًّا وَعَشِيًّا وَيَوْمَ تَقُومُ السَّاعَةُ أَدْخِلُوا آلَ فِرْ‌عَوْنَ أَشَدَّ الْعَذَابِ ﴿46﴾} صدق الله العظيم [غافر].
Allah Ta3ala Asema:{ Na adhabu mbaya itawazunguka watu wa Firauni (45) wanapitishwa motoni asubuhi na jioni. Na itapo fika Saa ya Kiyama patasemwa:
Waingizeni watu wa Firauni katika adhabu kali kabisa (46)}
Sadaqa Allah Al3adhim
[Ghafir].



Na tunachunguza kutokana na hi aya ambao ni muhakama iko wazi mana yake kauli ya Allah Ta3ala:
{يُعْرَضُونَ عَلَيْهَا غُدُوّاً وَعَشِيّاً}
{ wanapitishwa motoni asubuhi na jioni }
Sadaqa Allah Al’3adhim,

Basi hi ni ushuhuda ulio wazi kwamba makafiri wanao kanusha haki kutoka kwa Mola Mlezi wao baada wanapo angamizwa na Allah anawaingiza motoni hapo hapo wakati wa kifo chao kwenye siku hio hio ambao amewangamiza Allah ndani yake basi bado wanazali wako motoni wana’adhibiwa siku hizi, Basi wao wanapitishwa juu yake ili kuadhibiwa asbuhi na usiku.


Wala hakusudi kwamba kwenye moto kuna asubuhi na jioni kwakua moto ni mwangaza unaowaka kama mfano wa jua; Bali ni kwa hisabu ya masiku ya ardhi ambao inao ndani yake asubuhi na usiku, Na juu yake ndio inategemea hisabu kwenye kitabu kumaliza maisha ya kibarzakh katika moto ama katika pepo mpaka siku ya kufufuliwa, Na kadhalika watu wa peponi wanao rizki yao ndani yake asbuhi na usiku kulingana na hisabu ya siku ya ardhi mpaka siku ya kufufuliwa, Na hivo hivo wale ambao Allah amewaingiza pepo’Yake baada ya kufa basi wao wanaka ndani yake asbuhi na jioni mzunguko wa masa 24 kulingana na hisabu ya siku ya Ardhi, Wala hakuna katika pepo asbuhi na usiku. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{مُتَّكِئِينَ فِيهَا عَلَى الْأَرَائِكِ لَا يَرَوْنَ فِيهَا شَمْساً وَلَا زَمْهَرِيراً} صدق الله العظيم [الإنسان:13].
Allah Ta3ala Asema: { Humo wataegemea juu ya viti vya enzi, hawataona humo jua wala baridi kali } Sadaqa Allah Al3adhim [Al’Insan:13].


Ispokua ametaja asbuhi na usiku kwa hisabu ya ardhi kwamana wao ndani yake kutoka siku ile wanapo kufa kwa siku hio anawaingiza pepo yake na mpaka leo kwa saa hi, Na wao hivi sasa wako hai kwa Mola Mlezi wao wanaruzukiwa ndani yake asbuhi na usiku, Yani hivi sasa wanaruzukiwa ndani yake Asbuhi na Usiku, Kusadikisha Kauli ya Allah Ta3ala:
{فَخَلَفَ مِن بَعْدِهِمْ خَلْفٌ أَضَاعُوا الصَّلَاةَ وَاتَّبَعُوا الشَّهَوَاتِ فَسَوْفَ يَلْقَوْنَ غَيًّا ﴿59﴾ إِلَّا مَن تَابَ وَآمَنَ وَعَمِلَ صَالِحًا فَأُولَـٰئِكَ يَدْخُلُونَ الْجَنَّةَ وَلَا يُظْلَمُونَ شَيْئًا ﴿60﴾ جَنَّاتِ عَدْنٍ الَّتِي وَعَدَ الرَّحْمـٰنُ عِبَادَهُ بِالْغَيْبِ إِنَّهُ كَانَ وَعْدُهُ مَأْتِيًّا ﴿61﴾ لَّا يَسْمَعُونَ فِيهَا لَغْوًا إِلَّا سَلَامًا وَلَهُمْ رِزْقُهُمْ فِيهَا بُكْرَةً وَعَشِيًّا ﴿62﴾ تِلْكَ الْجَنَّةُ الَّتِي نُورِثُ مِنْ عِبَادِنَا مَن كَانَ تَقِيًّا ﴿63﴾} صدق الله العظيم [مريم].
Allah Ta3ala Asema: { Lakini wakaja baada yao walio wabaya, wakaacha Sala, na wakafuata matamanio. Basi watakuja kuta malipo ya ubaya (59) Isipo kuwa walio tubu, wakaamini, na wakatenda mema. Hao, basi, wataingia Peponi wala hawatadhulumiwa chochote (60) Bustani za milele alizo waahidi Rahmani waja wake katika siri. Hakika ahadi yake hapana shaka itafika (61) Humo hawatasikia upuuzi, ila Salama tu. Na watapata humo riziki zao asubuhi na jioni (62) Hiyo ndiyo Pepo tutayo warithisha katika waja wetu walio kuwa wachamngu (63)} Sadaqa Allah Al3adhim [Maryam].


Na hi yamanisha kwamba watu wa motoni katika moto dhati yake moto wanaadhibiwa ndani yake asbhuhi na usiku mpaka wakati huu wa kutoa Bayana hi, Na hivo hivo watu wa peponi wako peponi wanaruzukiwa ndani yake asbuhi na usiku mpaka hivi sasa na wao wako katika Pepo Ya Neema, Na Dalili ya kwamba wale walio kufa katika watu wa peponi wao wako peponi hivi sasa kulingana na hisabuya ya masiku ya ardhi, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{إِلَّا مَن تَابَ وَآمَنَ وَعَمِلَ صَالِحًا فَأُولَـٰئِكَ يَدْخُلُونَ الْجَنَّةَ وَلَا يُظْلَمُونَ شَيْئًا ﴿60﴾ جَنَّاتِ عَدْنٍ الَّتِي وَعَدَ الرَّحْمـٰنُ عِبَادَهُ بِالْغَيْبِ إِنَّهُ كَانَ وَعْدُهُ مَأْتِيًّا ﴿61﴾ لَّا يَسْمَعُونَ فِيهَا لَغْوًا إِلَّا سَلَامًا وَلَهُمْ رِزْقُهُمْ فِيهَا بُكْرَةً وَعَشِيًّا ﴿62﴾ تِلْكَ الْجَنَّةُ الَّتِي نُورِثُ مِنْ عِبَادِنَا مَن كَانَ تَقِيًّا ﴿63﴾} صدق الله العظيم [مريم].
Allah Ta3ala Asema: { Isipo kuwa walio tubu, wakaamini, na wakatenda mema. Hao, basi, wataingia Peponi wala hawatadhulumiwa chochote (60) Bustani za milele alizo waahidi Rahmani waja wake katika siri. Hakika ahadi yake hapana shaka itafika (61) Humo hawatasikia upuuzi, ila Salama tu. Na watapata humo riziki zao asubuhi na jioni (62) Hiyo ndiyo Pepo tutayo warithisha katika waja wetu walio kuwa wachamngu (63)} Sadaqa Allah Al3adhim [Maryam].


Na Dalili ya kwamba watu wa motoni kutoka kufa kwao wako motoni kwenye dhati yake moto na kulingana na hisabu ya siku za ardhi mpaka siku yetu hi mutaipata kwenye kauli ya Allah Ta3ala:
{وَحَاقَ بِآلِ فِرْعَوْنَ سُوءُ الْعَذَابِ ﴿45﴾ النَّارُ يُعْرَضُونَ عَلَيْهَا غُدُوًّا وَعَشِيًّا وَيَوْمَ تَقُومُ السَّاعَةُ أَدْخِلُوا آلَ فِرْعَوْنَ أَشَدَّ الْعَذَابِ ﴿46﴾} صدق الله العظيم [غافر].
Allah Ta3ala Asema: { Na adhabu mbaya itawazunguka watu wa Firauni (45) wanapitishwa motoni asubuhi na jioni. Na itapo fika Saa ya Kiyama patasemwa: Waingizeni watu wa Firauni katika adhabu kali kabisa (46)} Sadaqa Allah Al3adhim [Ghafir].


Na hivo kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:
{فَأَمَّا الَّذِينَ شَقُوا فَفِي النَّارِ لَهُمْ فِيهَا زَفِيرٌ وَشَهِيقٌ ﴿106﴾ خَالِدِينَ فِيهَا مَا دَامَتِ السَّمَاوَاتُ وَالْأَرْضُ إِلَّا مَا شَاءَ رَبُّكَ إِنَّ رَبَّكَ فَعَّالٌ لِّمَا يُرِيدُ ﴿107﴾ وَأَمَّا الَّذِينَ سُعِدُوا فَفِي الْجَنَّةِ خَالِدِينَ فِيهَا مَا دَامَتِ السَّمَاوَاتُ وَالْأَرْضُ إِلَّا مَا شَاءَ رَبُّكَ عَطَاءً غَيْرَ مَجْذُوذٍ ﴿108﴾} صدق الله العظيم [هود].

Allah Ta3ala Asema: { Ama wale wa mashakani hao watakuwamo Motoni wakiyayayatika na kukoroma (106) Watadumu humo muda wa kudumu mbingu na ardhi, isipo kuwa apendavyo Mola wako Mlezi. Hakika Mola wako Mlezi hutenda apendavyo (107) Na ama wale walio bahatika, wao watakuwamo Peponi wakidumu humo muda wa kudumu mbingu na ardhi, isipo kuwa apendavyo Mola wako Mlezi. Hicho ni kipawa kisio na ukomo (108)} Sadaqa Allah Al3adhim [Hud].


Na kwavile sisi tumethibitisha kwamba wanao adhibiwa wao wako kwa dhati ya moto ambao Allah ameahidi nayo ma kafiri na walio kirimiwa wao wako katika dhati ya pepo ambao Ameahidi Allah nayo walio wema basi suali ambalo bado linazali limewekwa kwenye meza ya mazungumzo kwa Shekh Omar: Na jee mumepata Pepo Ama Moto Kwenye Kaburi? Hivi hamuti akili! Basi amefanya shetani hoja juu yenu kwa makafiri ili kukanusha uhakika ya pepo ya Neema ambao Ameahidi Allah nayo walio wema na kukanusha moto ambao Ameahidi Alllah nayo makafiri, kwajili ya hivo amefany mbinu shetani kwa mahadithi ya adhabu ya kaburi na neema yake ili mpaka wasipate makafiri kwenye makaburi ya watu wao yale munao itakidi kitu, Basi Waseme: Hakika ya waislamu wajinga na dini yao ni dini ya uzushi! Basi hatukupata la pepo wala moto katika makaburi kama wanavo dai, Alafu watazidi ukafiri kwa dini ya kisalamu na Al’Quran Al3adhim kwakua wao wanajua kwamba Al’Quran ndio imewapa Fatwa ya adhabu ya kaburi, Na Hakika Nyinyi na wao ni warongo Basi hajatoa Allah fatwa katu kwamba Pepo Na Moto Iko Makaburini, Basi Mcheni yule ambae anae jua ukhaini wa macho na kinacho fichika vifuani Na kwake maregeo siku itakapo kukashifika ma siri basi hamuna nyinyi nguvu itawaokoa kutoka kwa Allah Al’Wahid Al’Qahar Wala hamuna Mnusura Kutokana na adhabu ya moto, Basi mcheni Allah enyi wenye Macho.



Ndugu Yenu Al’Mahdi Al’Muntadhar Nasser Muhammad Al’Yamani.


أخوكم المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني.
ـــــــــــــــــــــــ


اقتباس المشاركة 37473 من موضوع حوار الإمام المهدي مع عمر القرشي ..

- 4 -
[ لمتابعة رابط المشاركة الأصلية للبيان ]
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=36322

الإمام ناصر محمد اليماني
24 - 04 - 1433 هـ
18 - 03 - 2012 مـ
04:24 صباحاً
ـــــــــــــــــــــــ



إنّ للمتقين بشرى بدخولهم الجنة يوم موتهم إلى يوم بعثهم، وكذلك بشرى أخرى في يوم بعثهم..

بسم الله الرحمن الرحيم، والصلاة والسلام على جدي محمد رسول الله وآله الأطهار وجميع أنصار الله الواحد القهار إلى اليوم الآخر، أمّا بعد..

يا معشر الأنصار السابقين الأخيار في عصر الحوار من قبل الظهور، وإذا حضر الطهور بطل العفور فكونوا جمهوراً متابعين للحوار بين المهديّ المنتظَر وعمر، وأيُّ البيان الحقّ للذكر؛ فهل يأتي به المهديّ المنتظَر أم الشيخ عمر القرشي؟ ولا يزال يفتيكم المهديّ المنتظَر أنّه لا ينبغي للأنصار وكافة الباحثين عن الحقّ في طاولة الحوار أن تأخذهم العزّة بالإثم إن تبيّن لهم أنّ فضيلة الشيخ عمر ينطق بالحقّ ويهدي إلى صراطٍ مستقيم، فاتبعوا الحقّ من ربكم حتى ولو كان 99% من الحقّ في المسائل هو مع الإمام ناصر ومسألة واحدة أصاب فيها عمر وهيّمن على الإمام ناصر من محكم الذكر ومن ثمّ يقول الأنصار وكافة الباحثين عن الحقّ في طاولة الحوار:
"قد تبيّن لنا أن الإمام ناصر محمد ليس إلا مجرد عالم كبير فقط ولا يعني هذا أنه المهديّ المنتظَر كون محمد رسول الله -صلى الله عليه وآله وسلم- قد أخبر ناصر محمد في الرؤيا أنّه المهديّ المنتظَر، وجعل البرهان المبين على الواقع الحقيقي أنه إذا كان الإمام ناصر محمد هو المهديّ المنتظَر فإنه لا يجادله أحدٌ من القرآن إلا غلبه الإمام ناصر محمد".
وعليه فقد جعل الله هذه الفتوى هي البرهان المبين لمعرفة المهديّ المنتظَر الحقّ أنه لا يجادله عالِم من القرآن إلا غلبه المهديّ المنتظَر الحقّ، فإن صدق الله الإمام ناصر هذه الرؤيا على الواقع الحقيقي فقد تبيّن للباحثين عن الحقّ أنّ الإمام ناصر محمد اليماني هو المهديّ المنتظَر لا شك ولا ريب، وإن غُلب في مسألةٍ واحدةٍ من محكم الذكر فقد علمتم أنّه مجرد عالِمٌ كبيرٌ وليس المهديّ المنتظَر، فأصبحت طاولة الحوار هي الميدان لفرسان الحوار بمحكم الذكر.

ويا فضيلة الشيخ عمر القرشي فلا يزال المهديّ المنتظَر مرفوع الهامة يمشي، ونأمر الأنصار أن يحترموا فضيلة الشيخ عمر فليس من الحقّ أن من خالفنا أن نتّخذه خصيماً مبيناً، أو نقول أنه من شياطين البشر حاشا لله حتى يتبيّن لنا أمره ويتبيّن لنا ما يخفيه صدره، وأهلاً وسهلاً ومرحباً بالشيخ عمر، ولا يزال محور الحوار بين المهديّ المنتظَر وفضيلة الشيخ عمر هو في عذاب القبر والبرهان من محكم الذكر، وأراد عمر أن يأتي بالبرهان من محكم الذكر على إثبات عذاب القبر بقول الله تعالى:
{إِنَّ الَّذِينَ قَالُوا رَ‌بُّنَا اللَّـهُ ثُمَّ اسْتَقَامُوا تَتَنَزَّلُ عَلَيْهِمُ الْمَلَائِكَةُ أَلَّا تَخَافُوا وَلَا تَحْزَنُوا وَأَبْشِرُ‌وا بِالْجَنَّةِ الَّتِي كُنتُمْ تُوعَدُونَ ﴿30﴾ نَحْنُ أَوْلِيَاؤُكُمْ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَفِي الْآخِرَ‌ةِ وَلَكُمْ فِيهَا مَا تَشْتَهِي أَنفُسُكُمْ وَلَكُمْ فِيهَا مَا تَدَّعُونَ ﴿31﴾ نُزُلًا مِّنْ غَفُورٍ‌ رَّ‌حِيمٍ ﴿32﴾ وَمَنْ أَحْسَنُ قَوْلًا مِّمَّن دَعَا إِلَى اللَّـهِ وَعَمِلَ صَالِحًا وَقَالَ إِنَّنِي مِنَ الْمُسْلِمِينَ ﴿33﴾} صدق الله العظيم [فصلت].

ويا عمر إني المهديّ المنتظَر أفتي بالحقّ أنّ هذه الآية تخصّ البشرى الأولى للمتقين بدخول الجنة قبل مجيء يوم البعث الشامل، بمعنى أنّ المتقين لهم بشرى في الحياة الدنيا بدخول الجنة ولهم بشرى أخرى يوم البعث الشامل كذلك بدخولهم الجنة، تصديقاً لقول الله تعالى:
{أَلَا إِنَّ أَوْلِيَاءَ اللَّـهِ لَا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ ﴿62﴾ الَّذِينَ آمَنُوا وَكَانُوا يَتَّقُونَ ﴿63﴾ لَهُمُ الْبُشْرَ‌ىٰ فِي الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَفِي الْآخِرَ‌ةِ لَا تَبْدِيلَ لِكَلِمَاتِ اللَّـهِ ۚ ذَٰلِكَ هُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ ﴿64﴾ وَلَا يَحْزُنكَ قَوْلُهُمْ ۘ إِنَّ العزّة لِلَّـهِ جَمِيعًا ۚ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ ﴿65﴾} صدق الله العظيم [يونس].

فأمّا البشرى الأولى فهي يوم موت (المتّقي لربه) الثابت على الصراط المستقيم حتى لقي الله بقلب سليم، وهو من الذين يسارعون في الخيرات ويدعون ربّهم رغباً ورهباً وكانوا من الخاشعين، أولئك لهم بشرى أولى بدخولهم الجنة خالدين فيها ما دامت السماوات والأرض وذلك في يوم موتهم إلى يوم بعثهم. تصديقاً لقول الله تعالى:
{يَوْمَ يَأْتِ لَا تَكَلَّمُ نَفْسٌ إِلَّا بِإِذْنِهِ ۚ فَمِنْهُمْ شَقِيٌّ وَسَعِيدٌ ﴿105﴾ فَأَمَّا الَّذِينَ شَقُوا فَفِي النَّارِ‌ لَهُمْ فِيهَا زَفِيرٌ‌ وَشَهِيقٌ ﴿106﴾ خَالِدِينَ فِيهَا مَا دَامَتِ السَّمَاوَاتُ وَالْأَرْ‌ضُ إِلَّا مَا شَاءَ رَ‌بُّكَ إِنَّ رَ‌بَّكَ فَعَّالٌ لِّمَا يُرِ‌يدُ ﴿107﴾ وَأَمَّا الَّذِينَ سُعِدُوا فَفِي الْجَنَّةِ خَالِدِينَ فِيهَا مَا دَامَتِ السَّمَاوَاتُ وَالْأَرْ‌ضُ إِلَّا مَا شَاءَ رَ‌بُّكَ عَطَاءً غَيْرَ‌ مَجْذُوذٍ ﴿108﴾} صدق الله العظيم [هود].

وكذلك بشرى أخرى بدخولهم الجنة وذلك في يوم بعثهم فيدخلوها بالروح والجسد يوم البعث الشامل، يوم يطوي الله السماوات كطي السجل للكتب تتلقاهم الملائكة بالبشرى مرةً أخرى لتطمئن قلوبهم، تصديقاً لقول الله تعالى:
{إِنَّ الَّذِينَ سَبَقَتْ لَهُم مِّنَّا الْحُسْنَىٰ أُولَـٰئِكَ عَنْهَا مُبْعَدُونَ ﴿101﴾ لَا يَسْمَعُونَ حَسِيسَهَا وَهُمْ فِي مَا اشْتَهَتْ أَنفُسُهُمْ خَالِدُونَ ﴿102﴾ لَا يَحْزُنُهُمُ الْفَزَعُ الْأَكْبَرُ‌ وَتَتَلَقَّاهُمُ الْمَلَائِكَةُ هَـٰذَا يَوْمُكُمُ الَّذِي كُنتُمْ تُوعَدُونَ ﴿103﴾ يَوْمَ نَطْوِي السَّمَاءَ كَطَيِّ السِّجِلِّ لِلْكُتُبِ كَمَا بَدَأْنَا أَوَّلَ خَلْقٍ نُّعِيدُهُ وَعْدًا عَلَيْنَا إِنَّا كُنَّا فَاعِلِينَ ﴿104﴾} صدق الله العظيم [الأنبياء].

ولكن هذه البشرى الأخرى بدخولهم الجنة مرةً أخرى بعد انقضاء الحياة الدنيا وهم قد كانوا فيها من قبل انتهاء الحياة الدنيا، وذلك من يوم موتهم إلى يوم بعثهم، وكذلك أصحاب النار. تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَحَاقَ بِآلِ فِرْ‌عَوْنَ سُوءُ الْعَذَابِ ﴿45﴾ النَّارُ‌ يُعْرَ‌ضُونَ عَلَيْهَا غُدُوًّا وَعَشِيًّا وَيَوْمَ تَقُومُ السَّاعَةُ أَدْخِلُوا آلَ فِرْ‌عَوْنَ أَشَدَّ الْعَذَابِ ﴿46﴾} صدق الله العظيم [غافر].

ونستنبط من هذه الآية المحكمة قول الله تعالى:
{يُعْرَضُونَ عَلَيْهَا غُدُوّاً وَعَشِيّاً} صدق الله العظيم، فهذا برهانٌ مبيْنٌ أنّ الكُفار المُعرضين عن الحقّ من ربّهم بعد أن أهلكهم الله أدخلهم النار فور موتهم في نفس اليوم الذي أهلكهم الله فيه فلا يزالون في النار يعذّبون هذه الأيام، فهم يعرضون عليها للتعذيب غدواً وعشياً.

ولا يقصد أنّ في النار غدوٌ وعشيٌ كون النار سراجاً وهاجاً كمثل الشمس؛ بل بحساب أيام الأرض التي فيها غدوٍّ وعشيٍّ، وعليه يعتمد الحساب في الكتاب لقضاء الحياة البرزخيّة في النار أو في الجنة إلى يوم البعث. وكذلك أصحاب الجنة لهم رزقهم فيها غدواً وعشياً حسب أيام الأرض إلى يوم البعث، وكذلك الذين أدخلهم الله جنته من بعد الموت فهم يلبثون فيها غدواً وعشياً على مدار 24 ساعة حسب أيام الأرض، وليس في الجنة غدوٌ ولا عشيٌ. تصديقاً لقول الله تعالى:
{مُتَّكِئِينَ فِيهَا عَلَى الْأَرَائِكِ لَا يَرَوْنَ فِيهَا شَمْساً وَلَا زَمْهَرِيراً} صدق الله العظيم [الإنسان:13].

وإنما ذكر الغدو والعشي بحسب أيام الأرض بمعنى أنهم فيها منذ اليوم الذي يموتون فيه يدخلهم جنته وحتى اليوم وهذه الساعة، وهم الآن أحياءٌ عند ربهم يرزقون فيها بكرةً وعشياً، بمعنى أنهم الآن يرزقون فيها بكرةً وعشياً، تصديقاً لقول الله تعالى:
{فَخَلَفَ مِن بَعْدِهِمْ خَلْفٌ أَضَاعُوا الصَّلَاةَ وَاتَّبَعُوا الشَّهَوَاتِ فَسَوْفَ يَلْقَوْنَ غَيًّا ﴿59﴾ إِلَّا مَن تَابَ وَآمَنَ وَعَمِلَ صَالِحًا فَأُولَـٰئِكَ يَدْخُلُونَ الْجَنَّةَ وَلَا يُظْلَمُونَ شَيْئًا ﴿60﴾ جَنَّاتِ عَدْنٍ الَّتِي وَعَدَ الرَّحْمـٰنُ عِبَادَهُ بِالْغَيْبِ إِنَّهُ كَانَ وَعْدُهُ مَأْتِيًّا ﴿61﴾ لَّا يَسْمَعُونَ فِيهَا لَغْوًا إِلَّا سَلَامًا وَلَهُمْ رِزْقُهُمْ فِيهَا بُكْرَةً وَعَشِيًّا ﴿62﴾ تِلْكَ الْجَنَّةُ الَّتِي نُورِثُ مِنْ عِبَادِنَا مَن كَانَ تَقِيًّا ﴿63﴾} صدق الله العظيم [مريم].

وهذا يعني أنّ أهل النار في النار في ذات النار يعذبون فيها بكرةً وعشياً حتى هذه الساعة لصدور هذا البيان، وكذلك أهل الجنة في الجنة يرزقون فيها بُكرةً وعشياً حتى هذه الساعة وهم في جنات النعيم، والدليل على أن الذين ماتوا من أهل الجنة هم في الجنة الآن حسب أيام الأرض. تصديقاً لقول الله تعالى:
{إِلَّا مَن تَابَ وَآمَنَ وَعَمِلَ صَالِحًا فَأُولَـٰئِكَ يَدْخُلُونَ الْجَنَّةَ وَلَا يُظْلَمُونَ شَيْئًا ﴿60﴾ جَنَّاتِ عَدْنٍ الَّتِي وَعَدَ الرَّحْمـٰنُ عِبَادَهُ بِالْغَيْبِ إِنَّهُ كَانَ وَعْدُهُ مَأْتِيًّا ﴿61﴾ لَّا يَسْمَعُونَ فِيهَا لَغْوًا إِلَّا سَلَامًا وَلَهُمْ رِزْقُهُمْ فِيهَا بُكْرَةً وَعَشِيًّا ﴿62﴾ تِلْكَ الْجَنَّةُ الَّتِي نُورِثُ مِنْ عِبَادِنَا مَن كَانَ تَقِيًّا ﴿63﴾} صدق الله العظيم [مريم].

والدليل على أنّ أهل النار منذ موتهم في النار في ذات النار وحسب أيام الأرض حتى يومنا هذا تجدونه في قول الله تعالى:
{وَحَاقَ بِآلِ فِرْعَوْنَ سُوءُ الْعَذَابِ ﴿45﴾ النَّارُ يُعْرَضُونَ عَلَيْهَا غُدُوًّا وَعَشِيًّا وَيَوْمَ تَقُومُ السَّاعَةُ أَدْخِلُوا آلَ فِرْعَوْنَ أَشَدَّ الْعَذَابِ ﴿46﴾} صدق الله العظيم [غافر].

وذلك تصديقاً لقول الله تعالى:
{فَأَمَّا الَّذِينَ شَقُوا فَفِي النَّارِ لَهُمْ فِيهَا زَفِيرٌ وَشَهِيقٌ ﴿106﴾ خَالِدِينَ فِيهَا مَا دَامَتِ السَّمَاوَاتُ وَالْأَرْضُ إِلَّا مَا شَاءَ رَبُّكَ إِنَّ رَبَّكَ فَعَّالٌ لِّمَا يُرِيدُ ﴿107﴾ وَأَمَّا الَّذِينَ سُعِدُوا فَفِي الْجَنَّةِ خَالِدِينَ فِيهَا مَا دَامَتِ السَّمَاوَاتُ وَالْأَرْضُ إِلَّا مَا شَاءَ رَبُّكَ عَطَاءً غَيْرَ مَجْذُوذٍ ﴿108﴾} صدق الله العظيم [هود].

وبما أننا قد أثبتنا أنّ المعذبين هم في ذات النار التي وعد الله بها الكفار والمكرّمون هم في ذات الجنة التي وعد الله بها الأبرار فالسؤال الذي لا يزال مطروحاً في طاولة الحوار إلى الشيخ عمر: فهل وجدتم الجنة أو النار في القبر؟ أفلا تعقلون! فقد جعل الشيطان الحجّة عليكم للكفار لنفي حقيقة جنة النعيم التي وعد الله بها الأبرار ونفي نار الجحيم التي وعد الله بها الكفار، ولذلك مكر الشيطان بأحاديث عذاب القبر ونعيمه حتى لا يجد الكفار في قبور أصحابهم مما تعتقدونه شيئاً، فيقولون: إنّ المسلمين متخلفون ودينهم دين مفترًى! فلم نجد الجنة أو النار في القبور كما يزعمون. ثم يزدادون كفراً بدين الإسلام والقرآن العظيم كونهم يعتقدون أنّ القرآن هو من أفتاكم بعذاب القبر، وأنتم وهم لكاذبون فلم يفتِ الله قط أنّ الجنة والنار في القبور، فاتقوا من يعلم خائنة الأعين وما تخفي الصدور وإليه النشور يوم تبلى السرائر فما لكم من قوةٍ تحميكم من الله الواحد القهار ولا ناصر لكم من عذاب النار، فاتقوا الله يا أولي الأبصار.

أخوكم المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني.
ـــــــــــــــــــــــ

اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..