Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani

الإمام ناصِر محمد اليماني
18 - 08 - 1437 هـ
25 - 05 - 2016 مـ
04:34 صباحاً
ــــــــــــــــــــ
زلزال يضرب اليمن بدرجاتٍ متفاوتةٍ لكل محافظةٍ
تصديقاً لبيان الإمام المهديّ بعذاب الدرجة الثانية من قبل الحدث، كتابياً من قبلُ ثمّ صوتياً بالصورة الحيّة. لعلكم تفقهون !

Zilzala yapiga inchi ya Al'yaman kwa daraja tafauti kwa wilaya zote kusadikisha Bayana ya Al'imam Al'mahdi kwa kupewa Adhabu daraja ya pili kabla halijatokea hilo tokeo,kwa njia ya kuandika kabla Alafu kwa sauti na sura hai,
Huonde mukawa na fahamu!

Bismi Allah wa Billah Wa'ufawidhu Amri ilaa Allah,Wa'asallat wa'Alsalam Ala kafat Rusuli Allah Wa'auliyauhum Min Alihim wa Jamii Almu'muminina fi kuli zamani wa makan ila yumi Aldin,Ama Baad
Na enye maashara Ya Waislamu mahizbu wanao'kata mwito wa kuhukumiwa kwa kitabu cha Allah Alquran Al3adhim ili kukanusha uwingi wa maviyama na madhehebu katika Dini ya Allah,Na tayari tulitangulia kuwaonya kutoka mwanzo kama mutaendelea kukanusha na kupinga ulinganizi wa Al'imam Al'Mahdi Al'muntadhar Nasser Muhammad Al'yamani kuhukumu kwa kitabu cha Allah atawa'adhibu Allah adhabu ya daraja ya tatu,Nayo ni kuwavesha ushia na ma hizbu ili muonjane nyinyi kwa nyinyi,Alafu imitimu kusadikisha kutoka kwa Allah kwa Bayana ya onyo la Alimam Almahdi Nasser Muhammad Alyamani akawapatia Allah Adhabu ya daraja ya tatu kwasababu kukata na kukanusha mwaliko wa Alimam Almahdi Nasser Muhammad Alyamani kuhukumu kwa Allah ili awahukumu Mja wake na Khalifa wake katika Ardhi kuhukumu kwa yale alio teremsha Allah kwa yale muliokuwa mukikhtalifiana kwa Dini yenu,na kushatangulia kuwahadharisha kabla halijatokea tokeo mukikanusha atawadhibu Allah kwa Adhabu ya daraja ya tatu,kusadikisha kauli ya Allah:
لقول الله تعالى:
{قُلْ هُوَ الْقَادِرُ عَلَىٰ أَن يَبْعَثَ عَلَيْكُمْ عَذَابًا مِّن فَوْقِكُمْ أَوْ مِن تَحْتِ أَرْجُلِكُمْ أَوْ يَلْبِسَكُمْ شِيَعًا وَيُذِيقَ بَعْضَكُم بَأْسَ بَعْضٍ ۗ انظُرْ كَيْفَ نُصَرِّفُ الْآيَاتِ لَعَلَّهُمْ يَفْقَهُونَ ﴿٦٥﴾وَكَذَّبَ بِهِ قَوْمُكَ وَهُوَ الْحَقُّ ۚ قُل لَّسْتُ عَلَيْكُم بِوَكِيلٍ ﴿٦٦﴾لِّكُلِّ نَبَإٍ مُّسْتَقَرٌّ ۚ وَسَوْفَ تَعْلَمُونَ ﴿٦٧﴾}
صدق الله العظيم [الأنعام].
Allah Ta3ala Asema:{Sema Yeye Ndio Ana Uwezo atume kwenu adhabu kutoka ju yenu ama chini ya migu yenu ama awavishe ushia na awaonjeshe ba'asi nyinyi kwa nyonyi angalia vipi tunavo endesha alama zetu huonde mukafahamu(65)Na waka'kadhibisha kaumu yako nayo ni haki Sema sikuwa kwenu ni wakili(66)Na kila habari inao mustaqar na mutakuja kujuwa(67)}Sadaqa Allah Al3adhim[Alan3am]

Na kumishatangulia kubainisha Adhabu ya Allah katika Daraja ya Tatu nayo ni kuwavisha ushia muonjane badhi ju ya badhi, Na sasa Amianza kuwaonjesha Allah Adhabu ya daraja ya pili kusadikisha kauli ya Allah:
تصديقاً لقول الله تعالى: {أَوْ مِن تَحْتِ أَرْجُلِكُمْ}
Allah Ta3ala Asema;{Ama chini ya migu yenu},Nayo nikuporomosha manyumba chini yenu na sakafu ju ya vichwa venu,n itaendelea Adhabu ya daraja ya pili madamu bado munakanusha mpaka atakapo Allah,Na pindi haikuwafanya mushtuke na mukubali basi alafu itawapata Adhabu ya kutoka ju yenu,Nayo ni hivo hivo Adhabu tafauti na kubwa yao ni Adhabu ya siku ya Akim,Siku itakapo pita Sayari ya Adhabi ju ya Ardhi ya watu upande wa kusini mwa Ardhi,Na itanyesha mvuwa kwa vijiji va watu mawe ya moto itampata anae'mtaka na imwepushe anaomtaka,Basi mcheni Allah enye munao Akili,Na muitikie mwito wa Alimam Almahdi Nasser Muhammad Alyamani kuhukumiwa kwa kitabu,Na ewe Hail wala sio mail,

Na enye Maashara Alanssar Alsabiqina Alakhyar katika zama za mazungumzo kabla ya kudhihirika basi wale wanao uwezo kati yenu wabalighishe bayana ya mandishi ile ambao tuliotangaza hivo hivo kwa sauti ya Alimam Almahdi Nasser Muhaad Alyamani kwa sura hai,Na yatakiwa sasa mufanye bidi zenu kwa hili jambo kubalighisha wakati zote mpaka usiku wa jumapili siku yakutimia mwezi kuwa kamili nusu ya mwezi wa Ramadhan mwaka wenu hu 1437 kulingana na siku ya kupatikana,Ama kupatikana siku ya kufunga basi ita anza ju ma tatu siku ya pili ya mwezi wa Ramadhani ya mwaka wenu hu 1437,Kwakuwa Juwa limipata mwezi ikazaliwa kabla iqtiran ndipo ikakutana nayo ni hilal,

Na sio kuwa mimi natangaza Adhabu katika Ramadhani;Bali najilazimisha kwa Amri ya Allah katika hukumu ya kitabu chake:
{قُلْ إِنْ أَدْرِي أَقَرِيبٌ مَّا تُوعَدُونَ أَمْ يَجْعَلُ لَهُ رَبِّي أَمَدًا} [الجن:25].
Allah Ta3ala Asema:{Sema hakika nigekuwa najuwa ni karibu yale munao ahidiwa ama ataifanya mola wangu muda mrefu mno}[Aljin:25]
Hakika Wallahi ingekuwa itawekwa siku malum ya Adhabu kuu siku ya kudhihirika Almahdi Almuntadhar Nasser Muhammad Alyamani na tuseme mfanu siku fulani sa tatu mfano basi mungeweka imani yenu kwa ulinganizi wa haki kwa kuitikia ulinganizi wa kuhukumiana kwa kitabu cha Allah Alquran Al3adhim mpaka siku hio ili muongalie je Allah Atatuadhibu vile anavo tuahidi?kwajili ya hivo nyoyo zenu zimifanana na nyonyo za kaum walio kufuru kwa Alquran Al3adhim katika zama za kutumilizwa Muhammad mtume wa Allah sallah Allahu wa Alihi wasalam,pindi walipo sema:
{اللَّـهُمَّ إِن كَانَ هَـٰذَا هُوَ الْحَقَّ مِنْ عِندِكَ فَأَمْطِرْ عَلَيْنَا حِجَارَةً مِّنَ السَّمَاءِ أَوِ ائْتِنَا بِعَذَابٍ أَلِيمٍ ﴿٣٢﴾} [الأنفال].
Allah Ta3ala Asema:{Ewe mola wetu ikiwa hi ndio haki kutoka kwako basi tuteremshie mvuwa ya mawe ju yetu kutoka mbinguni ama tulete Adhabu inao umiza(32)}[Alanfal],Oo ya Ajabu mno moyo zao yamifanana na moyo ya wale walio fanana na moyo zao katila zama za kutumilizwa Almahdi Almuntadhar kuhukumu kwa hukumu ya ukumbusho wa Alquran Al3adhim!Basi usawa yatakiwa museme:"ikiwa hi ndio haki kutoka kwako basi tufunguwe macho tuone kabla haijaja Adhabu ya siku ya 3akim,Hakika wewe ndio mwenye mjuzi mwenye kusikia"?Lakini wale Ambao wanasubiri kusadikisha mwaliko wa kweli kutoka Mola wao mpaka waone Adhabu ya siku ya 3akim kaumu ambao hawafikiri wanamhukumu mlinganizi kabla hawajaskiza na kutadabar kwa kina utawala wa ilimu yake,
Na labda huwenda ni kweli kutoka kwa Mola wake na wao wanamkanusha!Na Ama Wale wanao mhukumu Alimam Almahdi Nasser Muhammad Alyamani kuwa sio Almahdi Almuntadhar wa haki kutoka Mola Wao kabla hawajamsikiza kauli basi mfano wake kama mfano anae hukumu kwa wawili waliogombana kabla kuskiza mwaliko na kutaka ushuhuda kwa mwenye mwaliko,Na asipo fanya hivo akahukumu baina walio gombana kabla hajaskiza ile mwaliko na burhani ushuhudha basi bila shaka atadhulumu kwenye hukumu kati ya wawili walio teta,Basi ni hivo hivo wale ambao wanao'mhukumu Alimam Almahdi Nasser Muhammad Alyamani kuwa ni Batili kabla kuskiza kauli,Na hivo pia wanajidhulumu nafsi zao,Na Allah hatowaongoza mpaka wasikize kauli mwanzo Alafu wafawte ilio bora ikiwa imibainika kwao ni haki kutoka kwa Mola wao,

ALLAHUMA Salim Salim...Ewe Mola Wangu hakika nimibalighisha Basi Shuhudia,
Na Salam ju ya Mitume,Na Al7hamdulillah Rabil Al3alamin,
Ndugu yenu Alimam Almahdi Nasser Muhammad Alyamani.

اللهم سلم سلم... اللهم قد بلغت فاشهد، وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله ربّ العالمين.
أخوكم الإمام المهدي ناصر محمد اليماني.

__________________