Bayana Ya Siku ya juma tano kwa tarehe 7-shaban-1438,h


https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=30942
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=30942

الإمام ناصر محمد اليماني
07 – شعبان - 1438 هـ
03 – 05 – 2017 مـ
08:55 صباحاً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
( kulingana na kalenda rasmi ya mama wa vijiji )
_______
Haraka kwa wote viongozi wa warabu na wa'ajami na mataifa yote ya binadam, twatangazia lini usiku wa nusu ya shaban kwa mwaka wenu hu 1438 na wala hatujuwi kama hi bado ni onyo ama shari kubwa juu ya wakanushaji kwa ukumbusho Al'Quraan Al3adhim

Bismillahi Wa Billahi la Quwata ila Billah wa hasbuna Allah juu ya ma Umma wahalifu amewalani Allah kwa kufru yao akawafanya viziwi akwafanya moyo Zao vipofu kuto'ona haki kutoka kwa Mola Wao Mlezi, Na enyi ma3ashara ya ma taifa ya kiarabu na ya kiajemi na viongozi wao na wanazuoni wa falaki ya anga na wa dini katika warabu na wa'ajami wale ambao imewachukua utukufu wa dhambi mpka akaondosha Allah utawala wa ilimu yao ya ki fizya ya kifalaki ya anga halisi kwa harakati ya jua na mwezi ikazaliwa hilal mwezi mpya sio wakati wake kuepukika na kabla siku yake malum kwa'kua milele imingia kwenye Ma'sharti Ya Saa Kuu basi ikapata jua mwezi ikafwata ikaja kusadikisha kiapo kutoka kwa Mola Mlezi wa ulimwengu katika kauli ya Allah Ta3ala:
{وَالشَّمْسِ وَضُحَاهَا ﴿١﴾ وَالْقَمَرِ إِذَا تَلَاهَا ﴿٢﴾ وَالنَّهَارِ إِذَا جَلَّاهَا ﴿٣﴾ وَاللَّيْلِ إِذَا يَغْشَاهَا ﴿٤﴾} صدق الله العظيم [الشمس]
Allah Ta3ala Asema:{Naapa kwa jua na mwangaza wake (1) na kwa mwezi unapo lifuatia (2) Na kwa mchana unapo lidhihirisha (3) Na kwa usiku unapo lifunika (4)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alshams],
Basi ikapata jua mwezi ikazaliwa mwezi mpya kabla Kushikwa, na kupatana na kushikana ikashikana nayo jua nayo ni mwezi mpya,, na Akatingisha yakini ya ilimu ya kiviziya kwenye nyoyo ya wanasayansi wa falaki ya anga zilzala adhimu, mpaka wakawa kwenye mshangao katika jambo la kuzaliwa miyezi mipya na hawakua tena wanajua wakati gani utazaliwa mwezi mpya pamoja ya kua wao walikua wanajua tarehe ya kuzaliwa miyezi mipya kwa siku na saa na dakika na nukta !

Na lakini mimi Al'imam Al'mahdi Natoa Qasam kiapo Billah Al3adhim kua tarehe ya kuzaliwa miyezi mipya katika zama za mazungumzo kabla ya kudhihiri imekhitilafi khitilafu kubwa kwa'kua hawakutaka kujianda kutangaza kuingia milele katika ma'sharti ya saa kuu na hawakujua kua Jua limipata mwezi ikazaliwa mwezi mpya kabla kushikwa ikakutana nayo Jua nayo imekua mwezi mpya, Na jee bado munazali enyi ma3ashara ya wanasayansi wa kifizya wa tarehe ya kuzaliwa miyezi mipya; Na jee sababu ya kutojua kwenu kwa tokeo la kiulimwengu kubwa kua nyinyi bado munazali mumeshikilia kwenye mipango ya kuzaliwa miyezi mipya ambazo mumizipangilia kabla ya kuingia milele katika zama za ma'sharti ya saa kuu na kabla kutumilizwa Al'mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani? na jee bado munazali mumishikilia mipango yenu ya kifalaki ya anga na hamukuinua vichwa venu kuangalia kufura kwa miyezi mipya ikasemekana ni ya siku mbili ama tatu kama vile alivo waeleza kwa hayo Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi wa Alihi wa Salam Akasema:
[ إنّ من أشراط الساعة الكبرى انتفاخ الأهلّة فيُرى الهلال فيقال ليلتان أو ثلاث ] صدق عليه الصلاة والسلام؟
[Hakika katika masharti ya saa kuu kufura miyezi mipya ikaonekana mwezi mpya ikasemekana ni ya siku mbili ama siku tatu] Sadaqa Aleyhi asalat wa asalam?


Na hakufafanua Al'Nabi hilo tokeo katika umma ule kwa'kua haitotokea katika zama zao; bali katika zama za kutumilizwa Al'imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani, Bali amemwakilisha Allah kufafanua tokeo la kufura miyezi mipya katika zama za mazungumzo kabla ya kudhihiri Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani kwakua hio ni ishara ya kiulimwengu amempa mkono Allah nayo Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani.

Na haihat haihat enyi ma3ashara ya wana'sayansi wa kifizia ya kifalaki Ya anga basi mukadhani kua haitokuja siku tafauti ndani yake itachanganya vipimo venu va kifalaki katika mipango yenu ya kifiziya nyinyi na wakala ya nasa ya kiamerika, na nyinyi muko kwenye ghafla munakanusha ! Na jee munadhani kua jua halitopata mwezi mpaka hamna mwisho? wala usiku ukatangulia mchana kwa sababu ya kuchomoza jua kutoka kwa magharibi yake kusadikisha sharti ingine katika masharti ya saa kuu? Na haihat haihat; Bali kwa maisha ya Dunia ina mwisho wakati ikikurubia saa inachanganika fiziya ya kifalaki kwa Mwezi ndio inazaliwa mwezi mpya kabla kushikwa na kupatana Ndio ikakutana nayo Jua nayo ni mwezi mpya kama ilivo kua katika mwezi mpya wa mwezi wa shaban ya mwaka wenu huu 1438.

Na kiyasi gani nimewanasihi wana'sayansi wa falaki ya anga watu wa kifizia kua watambue kwa haki kabla hajamsadikisha Allah mja wake kwa kupatwa pakubwa mpaka wapoteze ukweli unao tegemewa wa kisayansi iayangushe dhana yao katika vipimo vao na mipangilio yao va kifalaki sahi sana sana kabla tokeo, basi nini mutasema kwa walimwengu usiku wa jumatano? Ama kuwa nyinyi hamujuwi kua Mwezi mpya wa shaaban umizaliwa mwisho wa mchana wa jumatatu ikawa kwenye hali ya kupatwa kwa'kua jua liko upande wa mashariki nayo na magharibi wa mwezi mpya wa shaaban usiku wa jumatani nayo iko katika hali ya kupatwa?

Na kwa vile Mimi ni Al'Mahdi Al'Muntadhar Najua kujua kwa yakini kua hakika mimi sijadanganya juu ya Allah kwa tokeo la kupatwa na namshuhudisha Allah nawote bina'Adamu kua usiku wa kukamilika kua timamu (Albadr) Mwezi kua kamili Alasiri Ya Siku ya jumatatu usiku wa jumatano atake mwenye kutaka na akatae mwenye kukata basi hukmu ni ya Allah mwenye haraka kuliko wenye kuhisabu, Ala hakika ya usiku ya mwezi kua kamili ni siku mbili nazo ni siku ya kuminatano na jua liko juu upande wa magharibi mwisho wa mchana wa jumatatu usiku wa jumatano, Na kadhalika usiku wa kuminasita usiku wa alhamisi baada kuzama jua la jumatano, Na suali ambalo lajiweka lenyewe: Lakini ilikua wapi mwezi mpya wa shaban umijificha usiku wa jumatano na Usiku wa alkhamisi? Na jibu ni kua ilikua katika hali ya kupatwa ikazaliwa mwisho wa mchana wa jumatatu wakati wakuzama jua la jumatatu usiku wajumatano na nyinyi hamjuwi, na atahukumu Allah baina yetu usiku ukitimu mwezi kua kamili wa shaaban Na natoa changa moto kwa matelisckob zote za anga zile ambazo ni kuu kua wapige picha ya upungufu wowote wa mwezi usiku wa nusu ya shaaban.


Basi anzeni enyi ma3ashara Ya ma Al'anssar katika pembe tafauti kupiga picha ya mwezi (Albadr) Mwezi kua kamili baada ya swala ya magharibi yani usiku mzima wa jumatano mpaka asubuhi.


na chungeni tarehe ya adhabu mpaka musifitini nafsi zenu na umma wenu, na mujilazimu na amri ya Allah katika muhakam kitabu chake :
{قُلْ إِنَّمَا الْعِلْمُ عِندَ اللَّـهِ وَإِنَّمَا أَنَا نَذِيرٌ مُّبِينٌ ﴿ ٢٦﴾} صدق الله العظيم [الملك].
Allah Ta3ala Asema:{sema lakini hakika ujuzi uko kwa Allah ispokua mimi ni monyaji Aliowazi(26)} sadaqa Allah Al3adhim[Almalik].
Ala Wallah lau mutasema kwa watu hakika Allah atawadhibu usiku wa jumatano wangesema tutachelewesha kusadikisha kwa ulinganizi wenu mpaka usiku wa jumatano ! na mukisema;" bali atawadhibu Allah usiku wa nusu wa Ramadhani", wangesema wale wanao dai kua ni waislamu;" tutachelewesha kumsadikisha ulinganizi wa Alimam Almahdi Nasser Muhammad Al'Yamani mpaka usiku wa nusu ya Radhani"! na hata mukisema;"Bali atwadhibu Allah watu kwa sababu ya kukanusha katika kushikwa inaokuja katika dhi Alkaida", wngesema wanao dai kua ni waislamu:" basi tutasubiri tuangalie jee Itakuja adhabu ya Allah siku hio"! na hata kama mutasema:" bali ataadhibu Allah ma umma katika siku ya mwezi wa safar Alasfar ya mwaka wa 1439", wangesema kila mtu ambae ni kiziwi bubu kipofu kwa haki;" tutanguja jee atawa'adhibu Allah wakanushaji kwa ulinganizi wa kuhukumiwa kwa ukumbusho kwenye mwezi wa safar Alasfar"!!

na labda anataka kusema moja wa wanazuoni wa waislamu:"ndio hatimai tutakwambia wewe hivo, na wala hututaki ispokua tuseme kauli moja (tutanguja umisema ukweli ama ulikua ni katika warongo)? basi ikiwa atatumiminia Allah sauti ya adhabu kutoka kwake hapo tutajua kua wewe Al'imam Al'Mahdi Al'Muntadhar Khalifa wa Allah katika Ardhi". Na Alafu Anawambia Nyinyi Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani: Natoa kiapo kwenu Billah Al3adhim kua hakika ikiwa ni wale ambao wanatia Akili hatimai atasema:" Allahuma ikiwa hi ndio haki kutoka kwako basi tuoneshe nayo na uturuzuku kuifwata kabla hatujadhalilika tukapata kheze kwa adhabu chungu".

Na enyi ma3ashara Anssar, hadharanini uteuzi, lakini wengi katika umma huu mfano wao kama mfano wa wale walio sema:
{اللَّـهُمَّ إِن كَانَ هَـٰذَا هُوَ الْحَقَّ مِنْ عِندِكَ فَأَمْطِرْ عَلَيْنَا حِجَارَةً مِّنَ السَّمَاءِ أَوِ ائْتِنَا بِعَذَابٍ أَلِيمٍ ﴿ ٣٢ ﴾} [الأنفال]،
Allah Ta3ala Asema:{ Allahuma ikiwa hi ni haki kutoka kwako basi tunyeshe juu yetu mvua ya mawe kutoka mbinguni ama utulete adhabu chungu (32)} [Alanfal],
Zimefanana Nyoyo zao, hawo kaumu ahwati akili na kati yao wanazuoni wa kislamu ambao ni ma bubu viziwi hawati akili, kila ambae ananguja adhabu kutoka kwa Mola Mlezi wake badali awe atake kwa Mola Mlezi wake awe amongoze Moyo wake kabla imjie adhabu ya kheze; hio kwenu adhabu ya siku ya kiza.

Allahuma nimibalighisha, Allahuma Shuhudia, Hasbi Allah La Ilaha Ila Huwa Aleyhi Tawakaltu Wa Huwa Rab Al3arsh Al3adhim, Na Salam Juu Ya Mitume, Wa Alhamdulillah Rabi Al3alamin.

Khalifa Wa Allah Na Mja Wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.

خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
______