Haraka ... Ifwatilieni moja katika ma alama ya saa ambao itaonekana kwa kukamilika mwezi wa shaban 1438,h bada kuzama jua la jumaine 9-5-2017 kabla tarehe yake ilio hadidiwa kwa sababu ya tokeo linalo tokea kukaririka kupata jua mwezi inao'sababisha kufura miyezi mipya yani kutokezea miyezi mipya ya mwezi mkubwa kuliko ile tarehe iliofanywa nayo
===========
Eee lana ya Allah juu ya Nasser Muhammad Al'Yamani ikiwa ni mzushi juu ya Allah ya kwamba Jua limepata mwezi, Ama lana ya Allah Kwa yule ambae imebainika kwake haki akakanusha akafanya kiburi ..

Alimam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
08 – شعبان - 1438 هـ
04 – 05 – 2017 مـ
12:39 مساءً
( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
(Kulingana Na kalenda rasmi ya Mama wa vijiji)
_______

https://nasser-alyamani.org/showthread.php?30950
Bismillah Al'Wahid Al'Qahar, Na Sala Na Salam Juu Ya Al'Nabi Aliochaguliwa Mtume Wa Ukumbusho Al'Quraan Al3adhim, Na nitaisema kwa ufupi mno:
((Hakika ya Alama Ya Kupatwa Ya Mwezi huu Wa Shaban nayo ni kupatwa pakubwa na itapatikana pamoja nayo zaidi kutetanisha katika falaki ya anga; Na Bayana Ya Zaidi kwenye wakati wake))

Na nacho taka kusema: mimi ndio Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani Nasema kwa wote wanasayansi wa kifizia ya falaki ya anga: Natoa kiapo Qasam Billah Al3adhim Hakika Nyinyi Munajua kua haitakiwi kukamilika ( Albadar) Mwezi kua timamu kamili kabla kutokezea usiku wake wa ki falaki kisharia kwake sawa imetimu kuonekana mwezi mpya wa mwezi katika mashariki ya ulimwengu ama magharibi yake, Lakini nyinyi mutajua kwa kujua kwa yakini kupitia kutimu ( Al'Badr) Mwezi kua Kamili wa Shaban wa mwaka wenu huu 1438 kwamba Mwezi mpya wa shaban hatima umezaliwa baada ya adhuhuri siku ya jumainne wala sio alasiri siku ya jumatano, Yani katika sio siku ya kuzaliwa kwake ya kifalaki inaojulikana kwa wote wanasayansi wa falaki ya anga katika Watu Wote, Na Wallah Watajua kwa hayo yule kiwango cha chini katika ilimu katika watu kupitia Kwa kutokezea mwezi mpya katika mwisho wa Rajabu Alfajiri ya jumainne kua haikubaki katika umri wa mwezi mpya ispokua masa katika mchana wa hio siku yani mchana wa jumainne imikusanya baina ya badhi ya mwisho wa hali iliobaki katika Mwezi Rajabu na mazazi ya mwezi mpya wa shaban baada ya adhuhuri siku ya jumainne, Lakini mwezi mpya wa shaaban ulikua katika hali ya kupatwa pakubwa haijafanyika kama mfano wake kabisa kutoka Alipo umba Allah Mbingu na Ardhi, Na naelewa nacho sema na kwajili ya hivo wataenda kupata watu mpaka yule dhaifu wa macho wataenda kuona mwezi wa shaban umefikia ukamilifu wa Al'Badr mwezi kua kamili kikamilifu mwisho wa mchana wa jumainne usiku wa jumatano, wala sisemi siku ya jumatano bali mchana wa jumainne usiku wa jumatano.


Na baina ya tarehe ya Al'Mahdi Al'Muntadhar kwa kuzaliwa mwezi mpya wa shaban na tarehe ya wanasayansi wa falaki ya anga ni siku Moja na masa ya kuhisabu, Na hio tafauti bainayetu katika wakati wa tarehe ya kuzaliwa mwezi mpya wa shaban kifalaki ya anga, kwa mana kua hakika usiku wa nusu siku ya kwanza katika masiku ya Kukamilika mwezi kua kamili timamu kulingana na Tarehe ya Al'imam Al'mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani hatimai itakua usiku wa jumatano kwa'kua usiku wa jumatano utakua Albadr umikamilika kutoka siku ya kwanza za Masiku ya mwezi kua kamili Na ataufanya karibu Allah mpaka madhaifu wa macho kua kipande cha mwezi kua imekamilika kwa nisba 100 Kwa 100, na kwa Allah hoja iliofikisha basi hata kama mtu macho yake tatu kwa sita ataiona kweli usiku wa mwezi kua kamili ya kwanza wa mwezi shaban kiyasi yakua badar ya usiku wa jumainne karibu iwe kamili lakini mimi najua kua mwezi mpya wa Rajabu inazali itachomoza na ipambazuke alfajiri wa jumainne lakini nayo haikubaki katika omri wa mwezi mpya wa Rajabu kwenye Alfajiri wa jumainne ispokua masa machache kutokana na mchana wa jumainne ndio ingie kwenye kupotea na kuzaliwa mwezi mpya wa mwezi wa shaban na ushuhuda ulio wazi ulio baini kwa walimwengu usiku wa kutimu Albadr timamu mwezi kua kamili mwesho wa mchana wa jumainne usiku wa jumatano.


Na suali linalo jitokeza lenywe kwa wote wanasayansi wa falaki: na kutoka lini inafika mwezi Albadar mwezi kua kamili timamu ya siku ya kwanza katika sio tarehe siku ya mazazi yake kwa'kua mwwzi mpya wa shaban katika hisabu zenu za ki falaki itazaliwa alasiri jumatano usiku wa Alhamisi na tarehe ya mazazi ya mwezi mpya ya Al'imam Al'Mahdi alasiri ya jumainne usiku wa jumatano, na jee munaweza kudanganya watu ambao lilozama juu la jumainne kwao usiku wa jumatano kua usiku wa jumatano ndio usiku wa nusu ya mwezi na ama usiku Alkhamisi nayo ni siku ya pili ya Albadar mwezi kua kamili? na mukidanganya kusema orongo basi njoni tufanye (ibtihal) kulaniana kwa Allah tufanye lana ya Allah juu ya warongo wanao fanya kiburi bila ya haki wale wanao ficha ushuhuda kwao kutoka kwa Allah kisayansi kiyakini, na jee inakua sawa wale wanao jua na wale wasojua? basi hoja kubwa kwa wanasayansi wa falaki ya anga ya Fizikia kwenye jambo la kupatwa pamoja ya kua ni hoja juu ya watu wote kua itatimu mwezi Albadar mwezi kua kamili usiku wa jumatano bada kupita mchana wa jumaine pamoja yakua hawakuona mwezi mpya wa Shaban baada kuzama jua la jumainne usiku wa jumatano moja yoyote katika watu ulimwenguni wala pia Nasser Muhammad Al'Yamani ispokua mimi najua kutoka kwa Allah yale musoyajua basi hio ni alama ya kiulimwengu iko dhahiri imebarizi kwa ulimwengu huwenda wakawa wachaji, na anao waonesha Allah katika ma ishara ispokua ni kubwa kuliko mwenzake, na atahukumu baina ya Al'Mahdi Al'Muntadhar Na mashetani watu mbora wa kufafanua wazi wazi Allah Mola Mlezi wa walimwengu.


Na enyi ma3ashara ya ma Alanssar wale ambao wanajahidi kwa kutangaza ulinganizi katika internet ya ulimwengu jihadi kuu, sikizeni na muelewe na mutie akili hili jambo:
Juu yenu kurakiz peke kwa kubalighisha ma Bayana ya Mwezi mpya wa Shaban wa mwaka wenu huu 1438 Na Focus juu yake peke na kubalighisha kwa wote viongozi na wafalme na ma'amiri na ma raisi wa warabu na waislamu na ulimwengu kupitia mtandao wa internet ya ulimwengu, na kadhalika kwa wote wanasayansi wa kifalaki ya anga katika watu wote kupitia entrnet ya ulimwengu, na kadhalika kwa wanao toa fatwa katika miji ya kislamu katika sehemu tafauti katika mataifa ya kiarabu na ya kiajemi, Na kadhalika kwa wanazuoni wa dini wanao julikana mash'huri, Na kadhalika katika ma ukurasa tafauti za kijami katika Facebook na kwingineko ili waone Ma Bayana ya Mwezi Mpya wa shaban, Na mugawanye rakaza zenu vile mutakavo weza ili kubalighisha ili kupata udhuru kutoka kwa Mola Mlezi wenu na huwenda wakawa wacha'Mungu, Na salam juu ya mitume, Na Alhamdulillah Rabi Al3alamin.

Khalifa Wa Allah Na Mja Wake Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.


خليفة الله وعبده الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
_______