- 5 -
Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
02 - 02 - 1430 هـ
28 - 01 - 2009 مـ
12:01 صباحاً
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=305436

ـــــــــــــــــــــ

{ إِنَّمَا تُنذِرُ مَنِ اتَّبَعَ الذِّكْرَ وَخَشِيَ الرَّحْمَن بِالْغَيْبِ فَبَشِّرْهُ بِمَغْفِرَةٍ وَأَجْرٍ كَرِيمٍ }
{ Hakika wewe unamwonya mwenye kufuata ukumbusho, na akamcha Arrahman, Mwingi wa Rehema, kwa ghaibu. Basi mbashirie huyo msamaha na ujira mwema }

Bismillah Al'Rahman Al'Rahim,
{إِنَّ اللَّهَ وَمَلاَئِكَـتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ يا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ صَلُّواْ عَلَيْهِ وَسَلِّمُواْ تَسْلِيماً}
[الأحزاب:56].
{ Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamu } [Alahzab].


{سُبْحَانَ رَبِّكَ رَبِّ الْعِزَّةِ عَمَّا يَصِفُونَ ﴿180﴾ وَسَلَامٌ عَلَى الْمُرْسَلِينَ ﴿181﴾ وَالْحَمْدُ لِلَّـهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ ﴿182﴾} صدق الله العظيم [الصافات].
{ Subhana Rabbi'l'Izzat Ametakasika Mola Mlezi Mwenye enzi na yale wanayo mzulia (180) Na Salamu juu ya Mitume (181) Na sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu Mola Mlezi wa walimwengu wote (183)}


Na ewe mshabeb, Hakik mimi ni Al'Mahdi Al'Muntadhar nawaonya wanadamu kwa ukumbusho ilio hifadhiwa kutokana na kuherufishwa na wala hatonifwata ila wale wanafwata ukumbusho ilio hifadhiwa kutokana na kuherufishwa ujumbe kutoka kwa Allah kwa wote wanadamu kwa atakae miongoni mwao kunyoka, Basi naongoza kwa Al'Quran Al'Majid kwa njiya ya Al3aziz Al'Hamid Na hakika sisi ni wakweli, Basi nibainishe kwa watu kama alivo kua akibainisha Muhammad Mtume Wa Allah Sala Allahu Aleyhi Aleyhi Wa Alihi Wa Salam, Nirudishe waislamu kwa minhaj ya Anubuwa ya mwanzo kama alivo bainisha Mtume Wa Allah- Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam- Kwa ukweli na haki kikamilifu, Na wala haitakiwi kwangu niwe nafundisha watu Bayana kwa dhana ambayo haisaidi mbele ya haki kitu, Basi wakitika kwa ulinganizi wa kuhukumiawa kwa ukumbusho basi hatimai mutanipata nawazidi ju yao kwa utawala wa ilimu ambao ni muhakam ilio wazi maana yake kutoka kwa thati ya Al'Quran ili wale walio sema tumesikia na tumeaasi na wanadai kwamba wao wanaiamini nayo kisha wanaikanusha kama mfano wa baadhi ya watu wa kitabu basi maovu mno yanao wamrisha imani yao. Na Akasema Allah Ta3ala:
{أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ يَزْعُمُونَ أَنَّهُمْ آمَنُوا بِمَا أُنزِلَ إِلَيْكَ وَمَا أُنزِلَ مِن قَبْلِكَ يُرِيدُونَ أَن يَتَحَاكَمُوا إِلَى الطَّاغُوتِ وَقَدْ أُمِرُوا أَن يَكْفُرُوا بِهِ وَيُرِيدُ الشَّيْطَانُ أَن يُضِلَّهُمْ ضَلَالًا بَعِيدًا ﴿60﴾ وَإِذَا قِيلَ لَهُمْ تَعَالَوْا إِلَىٰ مَا أَنزَلَ اللَّـهُ وَإِلَى الرَّسُولِ رَأَيْتَ الْمُنَافِقِينَ يَصُدُّونَ عَنكَ صُدُودًا ﴿61﴾ فَكَيْفَ إِذَا أَصَابَتْهُم مُّصِيبَةٌ بِمَا قَدَّمَتْ أَيْدِيهِمْ ثُمَّ جَاءُوكَ يَحْلِفُونَ بِاللَّـهِ إِنْ أَرَدْنَا إِلَّا إِحْسَانًا وَتَوْفِيقًا ﴿62﴾} صدق الله العظيم [النساء].
Allah Ta3ala Asema: { Huwaoni wale wanao dai kwamba wameamini yale yaliyo teremshwa kwako na yaliyo teremshwa kabla yako? Wanataka wakahukumiwe kwa njia ya upotofu, na hali wameamrishwa wakatae hayo! Na Shet'ani anataka kuwapotezelea mbali (60) Na wanapo ambiwa: Njooni kwenye yale aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, na njooni kwa Mtume; utawaona wanaafiki wanakukwepa kwa upinzani (61) Basi inakuwaje unapo wasibu msiba kwa sababu ya yale iliyo tanguliza mikono yao? Hapo tena hukujia wakiapa kwa Mwenyezi Mungu wakisema: Hatukutaka ila wema na mapatano (62)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnisaa].

Hivi hamujuwi nini kinacho kusudiwa kwa kauli ya Allah Ta3ala:
{يُرِيدُونَ أَن يَتَحَاكَمُوا إِلَى الطَّاغُوتِ وَقَدْ أُمِرُوا أَن يَكْفُرُوا بِهِ وَيُرِيدُ الشَّيْطَانُ أَن يُضِلَّهُمْ ضَلَالًا بَعِيدًا}؟
{ Wanataka wakahukumiwe kwa njia ya upotofu, na hali wameamrishwa wakatae hayo! Na Shet'ani anataka kuwapotezelea mbali}?
Na hio ni hukmu zimekuja kutoka kwa sio Allah kutoka kwa shetani inakhalifu hukmu ya Allah kwenye muhakam ilio wazi maana yake kitabu chake, Na hivo ni kwajili Muhammad Mtume Wa Allah -Sala Allahu Aleyhi Wa Alehi Wa Salam- Anawalingania kwa kuwahukumu kwa kitabu cha Allah ili ahukumu baina yao nayo kwa yale walikua wanakhitalifiana ndani yake lakini wao walikanusha. Akas


ema Allah Ta3ala:
{إِنَّ هَذَا الْقُرْآنَ يَقُصُّ عَلَى بَنِي إِسْرَائِيلَ أَكْثَرَ الَّذِي هُمْ فِيهِ يَخْتَلِفُونَ} صدق الله العظيم [النمل:76].
Allah Ta3ala Asema: { Hakika hi Al'Quran inasisumua ju ya wana wa israil mengi yale wanao khitilifiana ndani yake}! Sadaqa Allah Al3adhim [Alnaml:76].

Lakini wao wamekanusha ulinganizi wa kuhukumiwa kwa Al'Quran Al3adhim. Akasema Allah Ta3ala:
{أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ أُوتُواْ نَصِيبًا مِّنَ الْكِتَابِ يُدْعَوْنَ إِلَى كِتَابِ اللَّهِ لِيَحْكُمَ بَيْنَهُمْ ثُمَّ يَتَوَلَّى فَرِيقٌ مِّنْهُمْ وَهُم مُّعْرِضُونَ} صدق الله العظيم [آل عمران:23].
Allah Ta3ala Asema: { Huwaoni wale walio pewa sehemu ya Kitabu? Wanaitwa kukiendea Kitabu cha Mwenyezi Mungu ili kiwahukumu baina yao; kisha baadhi yao wanageuka wanakikataa } Sadaqa Allah Al3adhim [Alimran:23].


Na hivo hivo Al'Mahdi Al'Muntadhar analingania waislamu wale ambao wamekhitalifiana kwenye dini yao kwa kitabu cha Allah ili awachunguzie wao hukmu ya Allah baina yao kwa yale wanao khitalifiana ndani yake, Na wala haitakiwi kwangu kwamba nihukumu baina yao kwa kujitahidi kutoka kwangu kutoka kwa kichwa changu kwa dhati ya nafsi yangu na najilinda kwa Allah niwe katika majahili basi sina mimi katika jambo kitu bali hukmu ni ya Allah wala hamshirikishi katika hukmu yake yoyote, ispokua nawachunguzia wanaokhitilifiana katika dini hukmu ya Allah baina yao kwa yale wanao kihitalifiana ndani yake basi niwalete kutoka kwa muhakana ilio wazi maana yake Al'Quran Al3adhim kitabu ambacho kimeteremshwa kimejumulika kimefafanuliwa, Qurani na furqani; Kwa Maana Allah yeye Hakika Ndio Hakimu wala sio Muhammad Mtume Wa Allah -Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam- Wala Al'Mahdi Al'Muntadhar Basi hukumu ni ya Allah Wala hatuna katika jambo kitu. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَمَا اخْتَلَفْتُمْ فِيهِ مِنْ شَيْءٍ فَحُكْمُهُ إِلَى اللَّهِ ذَلِكُمُ اللَّهُ رَبِّي عَلَيْهِ تَوَكَّلْتُ وَإِلَيْهِ أُنِيبُ} صدق الله العظيم [الشورى:10].
Allah Ta3ala Asema: { Na mkikhitalifiana katika jambo lolote, basi hukumu yake iko kwa Mwenyezi Mungu. Huyo Mwenyezi Mungu ndiye Mola wangu Mlezi, ninaye mtegemea na kwake Yeye narejea } Sadaqa Allah Al3adhim [Alshura:10].

Ispokua nawachunguzia wao hukmu ya Allah baina yao kutoka kwa Al'Quran Al3adhim Ambao Ameifanya Allah ndani yake Qurani na Furqani na Akaifafanua ufafanuzi, Na wala haitakiwi kwangu nikubali kuhukumiana kwenye ilio kuja imekhalifu hukmu ya Allah kutoka kwa sio Allah kutoka kwa shetani, Na hapana wala sitoridhika bila ya Allah kuwa ndio Hakimu kwa haki. Kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:
{أَفَغَيْرَ اللَّهِ أَبْتَغِي حَكَمًا وَهُوَ الَّذِي أَنزَلَ إِلَيْكُمُ الْكِتَابَ مُفَصَّلًا} صدق الله العظيم [الأنعام:114].
Allah Ta3ala Asema: { Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwazi } Sadaqa Allah Al3adhim [Alanaam:114].


Na wakati nimehukumu baina yao katika idadi ya swala na rakaa zake ispokua nawachunguzia wao hukumu ya Allah kutoka kwa kitabu chake Mwenye Utukufu، ispokua swala ni kutaja jina la Allah na Ana Majina mia moja Subhanahu, Akataka Allah iwe idadi ya raka zilio faradhishwa ju ya waislamu ziwe rakaa mia moja katika swala hamsini, Na hivo ili iwe katika kila swal zilio faradhishwa rakaa mbili, Na mukiswali katika usiku na mchana wake swala hamsini na katika kila swal rakaa mbili kutaja jina la Allah itakua jumla ya rakaa zote ni mia moja, Na hivo ili iwe sawa na idadi ya majina ya Allah Matukufu bila kuzidisha wala kupunguza kwenye rakaa ya swala zilio faradhishwa ya lazima, Tukathibitisha kwamba babu yangu Muhammad Mtume wa Allah -Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam- Usiku Wa Al'israa alivo paishea kwenda kwa Mola Mlezi wake Amemwamirisha swala hamsini kwa usiku na mchana wake, Ndio iwe swala zao ni za Allah pekeyake kabisa Hana mshirika na Yeye Sharti kwamba rakaa ziwe sawa na idadi ya Majina Mazuri Ya Allah Subhanahu Ametukuka.


Akasema Allah Ta3ala:
{وَلِلَّهِ الْأَسْمَاءُ الْحُسْنَى فَادْعُوهُ بِهَا وَذَرُوا الَّذِينَ يُلْحِدُونَ فِي أَسْمَائِهِ} صدق الله العظيم [الأعراف:180].
Allah Ta3ala Asema: { Na Mweny ezi Mungu ana majina mazuri kabisa, basi muombeni kwa hayo. Na waacheni wale wanao haribu utakatifu wa majina yake. Hao watakuja lipwa waliyo kuwa wakiyatenda } Sadaqa Allah Al3adhim [Alasraf:180].


ispokua hakika Allah Hakuweka sharti ju yetu kwamba tumwite katika swala zetu kwa Majina Yeke Mazuri Yote. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala Kwenye surt alisraa:
{قُلِ ادْعُوا اللَّـهَ أَوِ ادْعُوا الرَّحْمَـٰنَ ۖ أَيًّا مَّا تَدْعُوا فَلَهُ الْأَسْمَاءُ الْحُسْنَىٰ ۚ وَلَا تَجْهَرْ بِصَلَاتِكَ وَلَا تُخَافِتْ بِهَا وَابْتَغِ بَيْنَ ذَٰلِكَ سَبِيلًا ﴿110﴾ وَقُلِ الْحَمْدُ لِلَّـهِ الَّذِي لَمْ يَتَّخِذْ وَلَدًا وَلَمْ يَكُن لَّهُ شَرِيكٌ فِي الْمُلْكِ وَلَمْ يَكُن لَّهُ وَلِيٌّ مِّنَ الذُّلِّ ۖ وَكَبِّرْهُ تَكْبِيرًا ﴿111﴾} صدق الله العظيم.
Allah Ta3ala Asema: { Sema: Mwombeni Allah (Mwenyezi Mungu), au mwombeni Rahman (Mwingi wa Rehema), kwa jina lolote mnalo mwita. Kwani Yeye ana majina mazuri mazuri. Wala usitangaze Sala yako kwa sauti kubwa, wala usiifiche kwa sauti ndogo, bali shika njia ya kati na kati ya hizo (110) Na sema: Alhamdulillah, Himdi zote ni za Mwenyezi Mungu ambaye hana mwana, wala hana mshirika katika ufalme, wala hana rafiki wa kumsaidia kwa sababu ya udhaifu wake. Na mtukuze kwa utukufu mkubwa (111)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alisraa].


Kisha tukajua kwa yakini kua hakika Allah Amefaradhisha ju ya Nabi Wake Swala hamsini kwenye usiku na mchana wake, Na kua Yeye Amefanya jumla ya raka zote zilio faradhishwa inakua sawa na idadi ya Majina Mazuri Ya Allah bila kuzidisha au kupunguza katika rakaa zilio faradhishwa ya lazima basi hamuna khiyari basi yule ambae hakutekeleza yalio faradhishwa na Allah ju yake basi mwisho wake ni moto


Na Alhamdulillah Ambae ametukhafifishia ju yetu kutoka swala hamsini mpaka swala tano za faradhi, Na huwenda akasema msemaji:" Na kwanini zisiwe swala sita zilio faradhishwa ama saba ama kumi, Basi nini hikma yake ziwe swala tano za faradhi?" Kisha Narudisha jibu kwake kwa haki: Lau Angezifanya zaidi ya hizo basi ingepoteza idadi katika Majina Yake Subhanahu Ametukuka, Na hivo ni kwajili imetimu kuzikhafifisha kwa tano ili Afanye malipo yake mara kumi mfano wake ndio zinarudi swala hamsini katika kitabu cha Allah kwenye ujira, Na hivo hivo ili irudi raka kwenye mia moja inakua sawa na idadi ya Majina nazuri ya Allah.


Na sikutoa fatwa kwamba rakaa ni rakaa mia mija bila ilimu na najilinda na Allah kua niwe katika majahili, Na hi ni miongoni mwa ushuhuda wa hakika ya Jina La Allah Kuu kwamba kweli Allah Anao Majina Mia Moja na nyinyi mwajua Majina 99 na Akamzidisha Allah Al'imam Al'Mahdi Al'Muntadhar kwa Bayana ya Jina Lake Kuu na tukaifafanua wazi, Eeee Hakika hatonihoji katika Jina La Allah Kuu ila wale ambao hawajuwi uhakika wa Jina La Allah Kuu na hivo ni kwajili ya Jina La Allah Kuu Amefanya Allah ndani yake siri ya hikma ya kumba waja wake. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ}صدق الله العظيم [الذايات:56].
Allah Ta3ala Asema: { Na Siku'umba majiji na watu ila Waniabudu Mimi } Sadaqa Allah Al3adhim [Aldhariat:56].


Na ispokua kumwabudu ni kufwata Radhi Yake na muwache yale yanao Mkasirisha. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{أَفَمَنِ اتَّبَعَ رِضْوَانَ اللّهِ كَمَن بَاء بِسَخْطٍ مِّنَ اللّهِ وَمَأْوَاهُ جَهَنَّمُ وَبِئْسَ الْمَصِيرُ} صدق الله العظيم [آل عمران:162].
Allah Ta3ala Asema: { Je! Aliye yafuata ya kumridhisha Mwenyezi Mungi ni kama yule aliye stahiki ghadhabu ya Mwenyezi Mungu, na makaazi yake yakawa Jahannamu? Napo ni mahala pabaya pa kurejea } Sadaqa Allah Al3adhim [Alimran:162].


Na suali ambalo lajiweka lenyewe: Na je Ametu'umba Allah kwajili ya kufuzu neema ya pepo na ma huru alen? Na jibu: Hapana na Hjafanya Allah hikma ya kutu'umba ili Awaingize waja Wake pepo Yake na wengine moto Wake, Bali hikma ya kutu'umba kwetu ni kuabudu Neema Ya Radhi Ya Allah kwa waja wake na tutapata Neema Ya Radhi Ya Allah ju yetu hatimai bila shaka wala utatanishi ni Neema Kuu kuliko Pepo Yake. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَعَدَ اللّهُ الْمُؤْمِنِينَ وَالْمُؤْمِنَاتِ جَنَّاتٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الأَنْهَارُ خَالدينَ فِيهَا وَمَسَاكِنَ طَيِّبَةً فِي جَنَّاتِ عَدْنٍ وَرِضْوَانٌ مِّنَ اللّهِ أَكْبَرُ ذَلِكَ هُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ} صدق الله العظيم [التوبة:72].
Allah Ta3ala Asema: { Mwenyezi Mungu amewaahidi Waumini wanaume na Waumini wanawake Bustani zipitazo mito kati yake, wadumu humo. Na makaazi mema katika Bustani za kudumu, na Radhi za Mwenyezi Mungu ndio kubwa kuliko yote. Huko ndiko kufuzu kukubwa } Sadaqa Allah Al3adhim [Altawuba:72].


Lakini mimi natoa kiapo Qasam Kwa Allah Al3adhim Hapana wala hatokadhibu kwa uhakika wa Jina La Allah Kuu ila wale ambao hawajajua katu uhakika wa Neema ya Radhi Ya Allah ju yao basi Amefanya Allah nayo Alama katika nafsi zao na hapana na hawatoijua ila wale wali furahia kwa Neema Ya Radhi Yake kisha wanashuhudia kwamba nayo kweli ni "Al'Na3im Al'A3dhan" Neema Kuu kuliko Pepo Yake; Bali hawapati katika nafsi zao nafasi ya kufananisha kitu baina yake na baina ya neema nyengine, Na kiasi gani wanatamani lau watabaki katika hali hio baina ya Mikono Ya Mola Mlezi Wao muda ulio baki katika maisha yao lakini wao hawatoweza, ispokua hivo ili wajuwe hikma ya ku'umbwa kwao ndio watambuwe kwamba Neema Ya Ridha Yake ju yao nayo ni kweli "Al'Na3im Al'A3dham" (Neema Kuu) kwajili ya hivo Ameifanya Allah siri ndio hwakuwajulisheni Mitume Wake ispokua kwa Majina Tisini Na Tisa kisha Akafanya Allah Jina Lake Kuu siri baina ya mja na Mola Mlezi ili asilitambuwe ispokua alie jua ukweli wa Radhi Ya Mola Mlezi wake Ambao Imeonyeshwa ndani yake hikma ya Ku'umba waja Wake, ispokua tunaibainisha kutoka kwa kitabu ili mujuwe kwamba Allah Ana Majina Mia Moja, Na nawapa fatwa Kwa uhakika wa Jina La Allah Kuu kua sio Kuu kuliko Majina Ya Allah Mazuri Subhanahu Ametukuka, Basi hakuna tafauti baina Majina Mazuri Ya Allah Basi Yote Ni Ya Moja Pekeyake Al'Wahid Al'Ahad Hapana Mola ispokua Yeye ila yasifika kwamba Jina Lake Kuu kua ni kuu kwajili nyinyi mutalikuta kweli Ni "Al'Na3im Al'A3dham" (Neema Kuu) kuliko neema ya pepo yake, Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَعَدَ اللّهُ الْمُؤْمِنِينَ وَالْمُؤْمِنَاتِ جَنَّاتٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الأَنْهَارُ خَالِدِينَ فِيهَا وَمَسَاكِنَ طَيِّبَةً فِي جَنَّاتِ عَدْنٍ وَرِضْوَانٌ مِّنَ اللّهِ أَكْبَرُ ذَلِكَ هُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ} صدق الله العظيم [التوبة:72].
Allah Ta3ala Asema: { Mwenyezi Mungu amewaahidi Waumini wanaume na Waumini wanawake Bustani zipitazo mito kati yake, wadumu humo. Na makaazi mema katika Bustani za kudumu, na Radhi za Mwenyezi Mungu ndio kubwa kuliko yote. Huko ndiko kufuzu kukubwa } Sadaqa Allah Al3adhim [Altawuba:72].


Na hivo kwajili Jina La Allah Kuu Amelifanya Allah ndani Yake Sifa Ya Radhi Yake Ju Ya Waja Wake basi wakifwata Radhi Ya Allah watatambua hikma ya ku'umbwa kwao, Na wakikata kuhusu Radhi Ya Allah Atawadhibu adhabu chungu katika dunia na akhera, Na hivo ni kwajili nayo Imeonyeshwa ndani yake hikma ya ku'umbwa kwao basi ikiwashughulisha nayo maisha ya dunia basi nayo ndio mutaulizwa. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{أَلْهَاكُمُ التَّكَاثُرُ ﴿1﴾ حَتَّىٰ زُرْتُمُ الْمَقَابِرَ ﴿2﴾ كَلَّا سَوْفَ تَعْلَمُونَ ﴿3﴾ ثُمَّ كَلَّا سَوْفَ تَعْلَمُونَ ﴿4﴾ كَلَّا لَوْ تَعْلَمُونَ عِلْمَ الْيَقِينِ ﴿5﴾ لَتَرَوُنَّ الْجَحِيمَ ﴿6﴾ ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيْنَ الْيَقِينِ ﴿7﴾ ثُمَّ لَتُسْأَلُنَّ يَوْمَئِذٍ عَنِ النَّعِيمِ ﴿8﴾} صدق الله العظيم [التكاثر].
Allah Ta3ala Asema: { Kumekushughulisheni kutafuta wingi (1) Mpaka mje makaburini (2) Sivyo hivyo! Mtakuja jua (3) Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua (4) Sivyo hivyo! Lau mngeli jua kwa ujuzi wa yakini (5) Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu (6) Tena, bila ya shaka, mtaiona kwa jicho la yakini (7) Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya Neema (8)} Sadaqa Allah Al3adhim [Altakathur].


Basi ni Neema ipi mutaulizwa ju yake? Hakika Ni Neema Ambao imewashughulisheni nayo kutafuta uwingi katika maisha ya dunia wakaridhika nayo na wakatumaini nayo na wakamsahau Allah Basi Akawasahau Akawadhibu Adhabu Kuu, Na hivo ni kwajili wamekata kuhusu Neema ambao ni Kuu Kuliko neema ya dunia na ni kubwa kuliko neema ya Akhera, Na Allah Yeye Ndio Al'Rahman na ni Al'Na3im na Akafanya Neema ni sifa ya Radhi Ya NafsiYake ju ya waja wake wanaijuwa wale wanafwata Radhi Yake kisha Ana'wanyoshea kwa Roho kutoka Kwake inawateremkia katika nafsi zao kisha inatumaini nyoyo zao ndio ziogope nyoyo zao basi ndio macho yao itowe machozi kwa yale walio yajua kutokana na uwadhimu wa Haki. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَإِذَا سَمِعُواْ مَا أُنزِلَ إِلَى الرَّسُولِ تَرَى أَعْيُنَهُمْ تَفِيضُ مِنَ الدَّمْعِ مِمَّا عَرَفُواْ مِنَ الْحَقِّ} صدق الله العظيم [المائدة:83].
Allah Ta3ala Asema: { NA WANAPO SIKIA yaliyo teremshwa kwa Mtume utaona macho yao yanachururika machozi kwa sababu ya Haki waliyo itambua } Sadaqa Allah Al3adhim [Almaida:83}


Na Haki Ni Allah na chini Yake ni batili, Wala sio kwamba Allah Ameteremka ndani ya nafsi zao Subhanahu Ametukuka ispokua Roho Na Rehani ndani ya nafsi zao Amefanya Allah Nur ya basira basi wanaona Uwadhimu wa Haki Na Haki Ni Allah, Na wale ilikua nyoyo zao zilipofuka kutokana na Haki katika maisha ya dunia basi wao hivo hivo watakua vipofu ju ya Haki siku watapo simama watu kwa Mola Mlezi wa ulimwengu, Na wala hutowapata wanamomba Haki kwajili wao hawajamjua Haki kwenye maisha haya ya dunia, Na Akasema Allah Ta3ala:
{وَمَنْ كَانَ فِي هَذِهِ أَعْمَى فَهُوَ فِي الآخِرَةِ أَعْمَى وَأَضَلُّ سَبِيلا} صدق الله العظيم [الإسراء:72].
Allah Ta3ala Asema: { Na aliye kuwa hapa kipofu, basi atakuwa kipofu Akhera, na atakuwa aliye ipotea zaidi Njia } Sadaqa Allah Al3adhim [Alisraa:72].


Yani atakae kua katika hi ni kipofu kutokana na Haki basi hivo hivo yeye siku ya kiyama atakua kipofu kutokana na Haki, Ispokua Al'Quran Al3adhim inalingania kwa Haki ndio iwaongowe njia ya Al3aziz Al'Hamid. Na Akasema Allah Ta3ala:
{الَّذِينَ كَفَرُوا وَصَدُّوا عَن سَبِيلِ اللَّـهِ أَضَلَّ أَعْمَالَهُمْ ﴿1﴾ وَالَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ وَآمَنُوا بِمَا نُزِّلَ عَلَىٰ مُحَمَّدٍ وَهُوَ الْحَقُّ مِن رَّبِّهِمْ ۙ كَفَّرَ عَنْهُمْ سَيِّئَاتِهِمْ وَأَصْلَحَ بَالَهُمْ ﴿2﴾ ذَٰلِكَ بِأَنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا اتَّبَعُوا الْبَاطِلَ وَأَنَّ الَّذِينَ آمَنُوا اتَّبَعُوا الْحَقَّ مِن رَّبِّهِمْ ۚ كَذَٰلِكَ يَضْرِبُ اللَّـهُ لِلنَّاسِ أَمْثَالَهُمْ﴿3﴾}صدق الله العظيم [محمد].
Allah Ta3ala Asema: { Walio kufuru na wakazuilia njia ya Mwenyezi Mungu, Yeye atavipotoa vitendo vyao (1) Na walio amini, na wakatenda mema, na wakaamini aliyo teremshiwa Muhammad - nayo ni Haki iliyo toka kwa Mola wao Mlezi - atawafutia makosa yao na ataitengeneza hali yao (2) Hayo ni kwa sababu walio kufuru wamefuata upotovu, na walio amini wamefuata Haki iliyo toka kwa Mola wao Mlezi. Hivyo ndivyo Mwenyezi Mungu anavyo wapigia watu mifano yao (3)} Sadaqa Allah Al3adhim [Muhammad].


Eeee hakika ya Haki ni kufwata Radhi Ya Allah na wale walio fwata upotovu wanapata ghadhabu kutoka kwa Allah. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{أَفَمَنِ اتَّبَعَ رِضْوَانَ اللّهِ كَمَن بَاء بِسَخْطٍ مِّنَ اللّهِ وَمَأْوَاهُ جَهَنَّمُ وَبِئْسَ الْمَصِيرُ} صدق الله العظيم [آل عمران:162].
Allah Ta3ala Asema: { Je! Aliye yafuata ya kumridhisha Mwenyezi Mungi ni kama yule aliye stahiki ghadhabu ya Mwenyezi Mungu, na makaazi yake yakawa Jahannamu? Napo ni mahala pabaya pa kurejea } Sadaqa Allah Al3adhim [Alimran:162].


Na njoni ili mujuwe uhakika wa kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَمَنْ كَانَ فِي هَذِهِ أَعْمَى فَهُوَ فِي الآخِرَةِ أَعْمَى وَأَضَلُّ سَبِيلاً}
صدق الله العظيم
[الإسراء:72]
Allah Ta3ala Asema: { Na aliye kuwa hapa kipofu, basi atakuwa kipofu Akhera, na atakuwa aliye ipotea zaidi Njia } Sadaqa Allah Al3adhim [Alisraa:72].
Kwa mana yeye akiwa kipofu kutokana na Haki katika maisha haya ya dunia basi yeye kadhalika atakua siku ya kiyama kipofu pamoja ya kua wamesema:
{قَدْ جَاءَتْ رُسُلُ رَبِّنَا بِالْحَقِّ} صدق الله العظيم [الأعراف:53].
Allah Ta3ala Asema: { Hakika wamekuja Mitume wa Mola Mlezi wetu kwa Haki } Sadaqa Allah Al3adhim [Alaaraf:53].


Basi nini hio Haki ambao wamekuja nayo Ma Nabi na Mitume Wote? Na jibu Amesema Allah Ta3ala:
{وَمَا أَرْسَلْنَا مِنْ قَبْلِكَ مِنْ رَسُولٍ إِلَّا نُوحِي إِلَيْهِ أَنَّهُ لا إِلَهَ إِلَّا أَنَا فَاعْبُدُونِ}صدق الله العظيم [الأنبياء:25].
Allah Ta3ala Asema: { Na hatukumtuma kabla yako Mtume yeyote ila tulimfunulia ya kwam ba hapana mungu isipo kuwa Mimi. Basi niabuduni Mimi tu } Sadaqa Allah Al3adhim [Alanbia:25].


Basi baada kutambua neno la tawhidi kwamba Yeye ndio Mola Hapana Mola Ila Allah Pekeyake Hana mshirika Nae Basi imebaki maana " Vipi tutamwabudu Allah?" Na Akasema Allah Ta3ala:
{أَفَمَنْ اتَّبَعَ رِضْوَانَ اللّهِ كَمَن بَاء بِسَخْطٍ مِّنَ اللّهِ وَمَأْوَاهُ جَهَنَّمُ و َبِئْسَ الْمَصِيرُ}
صدق الله العظيم،
Allah Ta3ala Asema: { Basi kwani Atakae kufwata Radhi Ya Allah ni kama yule amepata ghadhabu kutoka kwa Allah na mashukio yale ni jahanam na mwisho muovu}
Sadaqa Allah Al3adhim,
Na kwajili ya hivo munpata Al'Imam Al'Mahdi Anawalingania kuabudu Radhi Ya Allah ili Muone Haki Na Kwajili Ya Hivo Ndio Amewaumba. Na Akasema Allah Ta3ala:
{هَلْ يَنظُرُونَ إِلاَّ تَأْوِيلَهُ يَوْمَ يَأْتِي تَأْوِيلُهُ يَقُولُ الَّذِينَ نَسُوهُ مِن قَبْلُ قَدْ جَاءَتْ رُسُلُ رَبِّنَا بِالْحَقِّ فَهَل لَّنَا مِن شُفَعَاء فَيَشْفَعُواْ} صدق الله العظيم [الأعراف:53].
Allah Ta3ala Asema: { Je, lipo wanalo lingojea isipo kuwa matokeo yake? Siku yatapo fika matokeo yake watasema wale walio kisahau: Kweli Mitume wa Mola Mlezi wetu walileta Haki! Je, tunao waombezi ili watuombee } Sadaqa Allah Al3adhim [Alaraf:53].


Na je munawaona wamejua Haki? Hapana Na Mola Mlezi Wangu, Na lau wangejua Haki hawangesema:
{فَهَل لَّنَا مِن شُفَعَاء فَيَشْفَعُواْ}
صدق الله العظيم،
{ Je, tunao waombezi ili watuombee } Sadaqa Allah Al3adhim,
Na Amesadiki Mola Mlezi wangu Kwa Kauli Yake Ya Haki:
{وَمَنْ كَانَ فِي هَذِهِ أَعْمَى فَهُوَ فِي الآخِرَةِ أَعْمَى وَأَضَلُّ سَبِيلاً}
صدق الله العظيم.
{ { Na aliye kuwa hapa kipofu, basi atakuwa kipofu Akhera, na atakuwa aliye ipotea zaidi Njia } Sadaqa Allah Al3adhim.


Na anae nihoji katika idadi ya rakaa je wamini kwamba Allah Ana Majina Mia Moja kwajili ya hivo Amewamuru Swala Hamsini na katika kila Swala rakaa mbili ya faradhi ya lazima ili iwe idadi ya rakaa inakua sawa na idadi ya Majina ya Allah Mazuri Katika Kitabu Chake? Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{قُلِ ادْعُوا اللَّـهَ أَوِ ادْعُوا الرَّحْمَـٰنَ ۖ أَيًّا مَّا تَدْعُوا فَلَهُ الْأَسْمَاءُ الْحُسْنَىٰ ۚ وَلَا تَجْهَرْ بِصَلَاتِكَ وَلَا تُخَافِتْ بِهَا وَابْتَغِ بَيْنَ ذَٰلِكَ سَبِيلًا ﴿110﴾ وَقُلِ الْحَمْدُ لِلَّـهِ الَّذِي لَمْ يَتَّخِذْ وَلَدًا وَلَمْ يَكُن لَّهُ شَرِيكٌ فِي الْمُلْكِ وَلَمْ يَكُن لَّهُ وَلِيٌّ مِّنَ الذُّلِّ ۖ وَكَبِّرْهُ تَكْبِيرًا ﴿111﴾} صدق الله العظيم [الإسراء].
Allah Ta3ala Asema: { Sema: Mwombeni Allah (Mwenyezi Mungu), au mwombeni Rahman (Mwingi wa Rehema), kwa jina lolote mnalo mwita. Kwani Yeye ana majina mazuri mazuri. Wala usitangaze Sala yako kwa sauti kubwa, wala usiifiche kwa sauti ndogo, bali shika njia ya kati na kati ya hizo (110) Na sema: Alhamdulillah, Himdi zote ni za Mwenyezi Mungu ambaye hana mwana, wala hana mshirika katika ufalme, wala hana rafiki wa kumsaidia kwa sababu ya udhaifu wake. Na mtukuze kwa utukufu mkubwa (111)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alisraa].


Na ukikataa basi nitakulekezea kwako suali hili na kwa wote wanao taka kufwata haki: Na je mumepata "Swalat Al'Qasri" Swala ya kufupisha katika muhakam ilio wazi maana yake kitabu inakusudiwa nayo kwamba Swala asili ilio faradhishwa katika kitabu? Ama inakusudiwa nayo "Swalat Al'Qasri" Swala Ya Kufupisha katika safari kwamba mupunguze iwe rakaa moja? Akasema Allah Ta3ala:
{وَإِذَا ضَرَبْتُمْ فِي الْأَرْضِ فَلَيْسَ عَلَيْكُمْ جُنَاحٌ أَن تَقْصُرُوا مِنَ الصَّلَاةِ إِنْ خِفْتُمْ أَن يَفْتِنَكُمُ الَّذِينَ كَفَرُوا ۚ إِنَّ الْكَافِرِينَ كَانُوا لَكُمْ عَدُوًّا مُّبِينًا ﴿101﴾وَإِذَا كُنتَ فِيهِمْ فَأَقَمْتَ لَهُمُ الصَّلَاةَ فَلْتَقُمْ طَائِفَةٌ مِّنْهُم مَّعَكَ وَلْيَأْخُذُوا أَسْلِحَتَهُمْ فَإِذَا سَجَدُوا فَلْيَكُونُوا مِن وَرَائِكُمْ وَلْتَأْتِ طَائِفَةٌ أُخْرَىٰ لَمْ يُصَلُّوا فَلْيُصَلُّوا مَعَكَ وَلْيَأْخُذُوا حِذْرَهُمْ وَأَسْلِحَتَهُمْ ۗ وَدَّ الَّذِينَ كَفَرُوا لَوْ تَغْفُلُونَ عَنْ أَسْلِحَتِكُمْ وَأَمْتِعَتِكُمْ فَيَمِيلُونَ عَلَيْكُم مَّيْلَةً وَاحِدَةً ۚ وَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ إِن كَانَ بِكُمْ أَذًى مِّن مَّطَرٍ أَوْ كُنتُم مَّرْضَىٰ أَن تَضَعُوا أَسْلِحَتَكُمْ ۖ وَخُذُوا حِذْرَكُمْ ۗ إِنَّ اللَّـهَ أَعَدَّ لِلْكَافِرِينَ عَذَابًا مُّهِينًا ﴿102﴾} صدق الله العظيم [النساء].
Allah Ta3ala Asema: { Na mnapo safiri katika nchi si vibaya kwenu kama mkifupisha Sala, iwapo mnachelea wasije wale walio kufuru wakakuleteeni maudhi. Hakika makafiri ni maadui zenu walio wazi wazi (101) Na unapo kuwa pamoja nao, ukawasalisha, basi kundi moja miongoni mwao wasimame pamoja nawe na wachukue silaha zao. Na watakapo maliza sijida zao, basi nawende nyuma yenu, na lije kundi jingine ambalo halijasali, lisali pamoja nawe. Nao wachukue hadhari yao na silaha zao. Walio kufuru wanapenda mghafilike na silaha zenu na vifaa vyenu ili wakuvamieni mvamio wa mara moja. Wala si vibaya kwenu ikiwa mnaona udhia kwa sababu ya mvua au mkawa wagonjwa, mkaziweka silaha zenu. Na chukueni hadhari yenu. Hakika Mwenyezi Mungu amewaandalia makafiri adhabu ya kudhalilisha (102)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnisaa]


Na muhtasari ya kauli basi tuhukumiane katika kitabu cha Allah na tukipata kwamba amri imetoka kufupisha swala ya safari kutoka rakaa mbili kufanya rakaa moja basi wamekua wakweli wanazuoni wenu na amekadhibu Al'Mahdi Al'Muntadhar Nasser Muhammad Al'Yamani, Na tukipata amri imetoka kufupisha swala ya asili ambao imefaridhishwa katika kitabu cha Allah kutoka rakaa mbili kwa rakaa moja basi amesadiki Al'Mahdi Al'Muntadhar na wamekadhibu wale wanao sema ju ya Allah yale hawayajuwi. Na Akasema Allah Ta3ala
{وَإِذَا ضَرَبْتُمْ فِي الْأَرْضِ فَلَيْسَ عَلَيْكُمْ جُنَاحٌ أَن تَقْصُرُوا مِنَ الصَّلَاةِ إِنْ خِفْتُمْ أَن يَفْتِنَكُمُ الَّذِينَ كَفَرُوا ۚ إِنَّ الْكَافِرِينَ كَانُوا لَكُمْ عَدُوًّا مُّبِينًا ﴿101﴾وَإِذَا كُنتَ فِيهِمْ فَأَقَمْتَ لَهُمُ الصَّلَاةَ فَلْتَقُمْ طَائِفَةٌ مِّنْهُم مَّعَكَ وَلْيَأْخُذُوا أَسْلِحَتَهُمْ فَإِذَا سَجَدُوا فَلْيَكُونُوا مِن وَرَائِكُمْ وَلْتَأْتِ طَائِفَةٌ أُخْرَىٰ لَمْ يُصَلُّوا فَلْيُصَلُّوا مَعَكَ وَلْيَأْخُذُوا حِذْرَهُمْ وَأَسْلِحَتَهُمْ ۗ وَدَّ الَّذِينَ كَفَرُوا لَوْ تَغْفُلُونَ عَنْ أَسْلِحَتِكُمْ وَأَمْتِعَتِكُمْ فَيَمِيلُونَ عَلَيْكُم مَّيْلَةً وَاحِدَةً ۚ وَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ إِن كَانَ بِكُمْ أَذًى مِّن مَّطَرٍ أَوْ كُنتُم مَّرْضَىٰ أَن تَضَعُوا أَسْلِحَتَكُمْ ۖ وَخُذُوا حِذْرَكُمْ ۗ إِنَّ اللَّـهَ أَعَدَّ لِلْكَافِرِينَ عَذَابًا مُّهِينًا ﴿102﴾} صدق الله العظيم.
Allah Ta3ala Asema: { Na mnapo safiri katika nchi si vibaya kwenu kama mkifupisha Sala, iwapo mnachelea wasije wale walio kufuru wakakuleteeni maudhi. Hakika makafiri ni maadui zenu walio wazi wazi (101) Na unapo kuwa pamoja nao, ukawasalisha, basi kundi moja miongoni mwao wasimame pamoja nawe na wachukue silaha zao. Na watakapo maliza sijida zao, basi nawende nyuma yenu, na lije kundi jingine ambalo halijasali, lisali pamoja nawe. Nao wachukue hadhari yao na silaha zao. Walio kufuru wanapenda mghafilike na silaha zenu na vifaa vyenu ili wakuvamieni mvamio wa mara moja. Wala si vibaya kwenu ikiwa mnaona udhia kwa sababu ya mvua au mkawa wagonjwa, mkaziweka silaha zenu. Na chukueni hadhari yenu. Hakika Mwenyezi Mungu amewaandalia makafiri adhabu ya kudhalilisha (102)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnisaa].


Na je amri mumipata "qasr alqasr" kufupisha ilio fupishwa, Yani kufupisha swala iliofupishwa kutoka rakaa mbili kwa rakaa moja? Na je umefahamu habari ewe mushabeb nini inakusudiwa katika muhakam ilio wazi maana yake katika kitabu? Je umepata amri ni kufupisha ilio fupishwa? Na hivo ni kwajili wanafupisha swala yakufupisha katika safari kutoka rakaa mbili kwa rakaa moja wakaita jina swala ya hofu, Basi ikawa amri ni kufupisha ilio fupishwa, Wakazusha kuherufisha Amri Ya Allah ilio wazi maana yake kwenye kitabu chake basi Hakuwamuru Allah kufupisha ilio fupishwa, Na hivo ni kwajili wao waswali swala ya kufupisha katika safari, Wakasema: inafupishwa katika swala ya rakaa inne kwa rakaa mbili, Alafu wakafupisha swala ya kufupisha kwa rakaa moja wakaita swala ya hofu, Wakazua kuherufisha Amri ya Allah nayo ni Amri iko wazi maana yake baini kwa mwanachuoni wenu na jahili wenu kwamba kufupisha katika asili nayo ni katika swala ilio faradhishwa kutoka rakaa mbili (nayo ni asili) kwa rakaa moja. Kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:
{وَإِذَا ضَرَبْتُمْ فِي الْأَرْضِ فَلَيْسَ عَلَيْكُمْ جُنَاحٌ أَن تَقْصُرُوا مِنَ الصَّلَاةِ إِنْ خِفْتُمْ أَن يَفْتِنَكُمُ الَّذِينَ كَفَرُوا ۚ إِنَّ الْكَافِرِينَ كَانُوا لَكُمْ عَدُوًّا مُّبِينًا ﴿101﴾وَإِذَا كُنتَ فِيهِمْ فَأَقَمْتَ لَهُمُ الصَّلَاةَ فَلْتَقُمْ طَائِفَةٌ مِّنْهُم مَّعَكَ وَلْيَأْخُذُوا أَسْلِحَتَهُمْ فَإِذَا سَجَدُوا فَلْيَكُونُوا مِن وَرَائِكُمْ وَلْتَأْتِ طَائِفَةٌ أُخْرَىٰ لَمْ يُصَلُّوا فَلْيُصَلُّوا مَعَكَ وَلْيَأْخُذُوا حِذْرَهُمْ وَأَسْلِحَتَهُمْ ۗ وَدَّ الَّذِينَ كَفَرُوا لَوْ تَغْفُلُونَ عَنْ أَسْلِحَتِكُمْ وَأَمْتِعَتِكُمْ فَيَمِيلُونَ عَلَيْكُم مَّيْلَةً وَاحِدَةً ۚ وَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ إِن كَانَ بِكُمْ أَذًى مِّن مَّطَرٍ أَوْ كُنتُم مَّرْضَىٰ أَن تَضَعُوا أَسْلِحَتَكُمْ ۖ وَخُذُوا حِذْرَكُمْ ۗ إِنَّ اللَّـهَ أَعَدَّ لِلْكَافِرِينَ عَذَابًا مُّهِينًا ﴿102﴾} صدق الله العظيم.
Allah Ta3ala Asema: { Na mnapo safiri katika nchi si vibaya kwenu kama mkifupisha Sala, iwapo mnachelea wasije wale walio kufuru wakakuleteeni maudhi. Hakika makafiri ni maadui zenu walio wazi wazi (101) Na unapo kuwa pamoja nao, ukawasalisha, basi kundi moja miongoni mwao wasimame pamoja nawe na wachukue silaha zao. Na watakapo maliza sijida zao, basi nawende nyuma yenu, na lije kundi jingine ambalo halijasali, lisali pamoja nawe. Nao wachukue hadhari yao na silaha zao. Walio kufuru wanapenda mghafilike na silaha zenu na vifaa vyenu ili wakuvamieni mvamio wa mara moja. Wala si vibaya kwenu ikiwa mnaona udhia kwa sababu ya mvua au mkawa wagonjwa, mkaziweka silaha zenu. Na chukueni hadhari yenu. Hakika Mwenyezi Mungu amewaandalia makafiri adhabu ya kudhalilisha (102)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnisaa].


Na lakini ewe mushabeb alqahtani hakika nimekuamini kwa kitu kimoja kuwa wewe kweli sio mwanachoni; Bali ni katika wale hawajuwi, Na imetimu kuwekwa hi Bayana katika vikao vya kislamu na kwa watowaji fatwa katika miji basi hakusubutu yoyote kuikosoa ama kunisifu kwamba mimi niko katika upotevu lakini wao wako na mshangao katika jambo.


Na ujuwe ewe Mushabeb kuwa iko katika kila rakaa mbili tashahud ya kati na ya mwisho, Na ama kuhusu tashahud ya kwanza basi ni baada kumaliza rakaa ya kwanza anaka imamu katika tashahud ya kati, Basi akismama wanatoa salamu jamaa katika swala ya kufupisha, Alafu linakuja poti lingine halijaswali ile faradhi basi wanaswali pamoja na imamu rakaa ya pili kisha tashahud ya mwisho kisha salamu basi wanatoa salamu, Basi Ameigawana Allah Swala nusu mbili, Na Aka'Dilisha Subhanahu Ametukuka, Basi Hakuwazidishia poti lapili kutokana na poti la kwanza kwa kitu katika dhikri ya swala sio katika Takbira wala katika kusoma wala katika tashahud, Hapana lakini wengi wenu hawajuwi.


Na lau amehuduria kwetu moja katika watowaji fatwa katika miji ili itimu kufafanua swala ya mijini ungejua kwa yakini kwamba swala kweli ni rakaa mbili ewe mushabeb, Lakini ju yenu mujuwe sisi ikiwa tutaifafanua Bayana ya Swala ya mijini basi itakua ju yenu katika swala ya mijini amri ya faradhi na hakuna khiari kwangu wal hamuna khiari kwenu, Wala hatuna katika Amri kitu, Na hahiat haihat.. Basi sitowafundisha enye ma3ashara ya ma Alanssar kwa haki kisha niwambie nyinyi iwacheni musifwate mpaka wanisadiki wanazuoni wenu. Haihat haihat.. Basi Haki Ni Haki Kuifwata, Ispokua mpaka nismamishe hoja ju yao kwa Haki ndio mujuwe kuwa mimi nimenyamazisha ndimi zao kwa mantiq ya Haki basi hawakuweza kuikosowa Haki kitu ili nifundishe waislamu kuwa haijuzu uwasabia katika dini basi kila anae mfwata mwanachoni anafanya uasabia nae; Bali alie kuwa yeye ameshinda kwa utawala baina ya wanazuoni wote wa umma basi yatakiwa kwa wengine kumfwata na kuwacha wanazuoni wao ambao hawakumzidi ju yake kwa ilimu na utawala, Na wala sijawapata wameikanusha bali wanakimbia, Basi nani huyo alie kuja katika mimbari huru meza ya mazungumzo ya Al'Mahdi Al'Muntadhar ( Tuvoti Ya Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani ) ili amzidi ju Al'Mahdi Al'Muntadhar kwa ilimu ina uwongofu kwa utawala wa ilimu yake na kauli inao ukweli? Na Eeee Subhana Allah Al3adhim, Basi hi ni uhakika wa ndoto ya Haki:
[وما حاجك أحد من القرآن إلا غلبته].
[ Na hatokuhoji yoyote katika A'Quran ila utamshinda ].


Na enyi wanazuoni wa umma wa kislamu, Mcheni Allah


na muhudhurie kwenye meza ya mazungumzo ili itimu kufafanuliwa swala katika miji ndio tuifafanuwe ufafanuzi wazi wazi basi mutazidi kupata ilimu kwajili nyinyi mumenizunguka nisirudishe jibu kwa waulizaji katika mengi katika ma suali ya swala, Na hivo ni kwajili Bayana ya Haki ya Al'Quran kama jengo linajipa nguvu baadhi yake kwa baadhi, Kisha mutakua na yakini kuwa rakaa kweli ni rakaa mbili hapana shaka wala utatanishi, Basi kwanini hamumwitiki mlinganizi wa Allah kwajili ya kuhukumu kwa kitabu chake? Basi munajambo gani? Na kitu gani kimewapata? Basi ikiwa nyinyi munamona Nasser Muhammad Al'Yamani yuko katika upotevu ulio baini basi hamuwaogopei waislamu kuwa atawapoteza Nasser Muhammad Al'Yamani ikiwa nyinyi munamona yuko katika upotevu wa wazi? Hivi hamujali jambo la waislamu ama nyinyi munahofia kuwa haki zenu kwetu hazitohifadhiwa? Na najilinda kwa Allah niwe katika majahili wazushi, Na ju yake amana ya Allah kutokana na kubadilishwa na nawahadhirisha wote timu ya wasmamizi kutokana na kufuta Bayana yoyote ya wanazuoni wengine ispokua tunazifuta Bayana za ma shetani, Basi bado anazali Al'Mahdi Al'Muntadhar Anagoja watowaji fatwa katika miji wahudhurie meza ya mazungumzo ili kuhukumu kwa utajo ilio hifadhiwa kutokana na kuherufishwa ujumbe wa Allah Al'Wahid Al'Qahar kwa watu wote.


Na enye ma3ashara ya ma Anssar, Basi iendele kubalighisha kwa wote watowaji fatwa katika miji na ma tuvoti ya ma mimbari ya hutuba na ma tuvoti zote za kislamu za kiulimwengu kwa kuvamia kwa wingi udhuru kwa Mola Mlezi wenu na huwenda wakawa wachaji, Na hakika Ametoa kiapo Allah Qasam kwa "Al'Mulqiati Dhikra" Wanao peleka mawaidha kwa udhuru na kuonya kuwakirimu wao kutoka kwa Mola Mlezi wao katika kila zama na mahali. Kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:
{فَالْمُلْقِيَاتِ ذِكْرًا ﴿5﴾ عُذْرًا أَوْ نُذْرًا ﴿6﴾} صدق الله العظيم [المرسلات].
Allah Ta3ala Asema: { Na zinazo peleka mawaidha (5) Kwa kuudhuru au kuonya (6) Sadaqa Allah Al3adhim [Almursalat].


Na kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{وَالْمُرْسَلَاتِ عُرْفًا ﴿1﴾ فَالْعَاصِفَاتِ عَصْفًا ﴿2﴾ وَالنَّاشِرَاتِ نَشْرًا ﴿3﴾ فَالْفَارِقَاتِ فَرْقًا ﴿4﴾ فَالْمُلْقِيَاتِ ذِكْرًا ﴿5﴾ عُذْرًا أَوْ نُذْرًا ﴿6﴾ إِنَّمَا تُوعَدُونَ لَوَاقِعٌ ﴿7﴾ فَإِذَا النُّجُومُ طُمِسَتْ ﴿8﴾ وَإِذَا السَّمَاءُ فُرِجَتْ ﴿9﴾ وَإِذَا الْجِبَالُ نُسِفَتْ ﴿10﴾ وَإِذَا الرُّسُلُ أُقِّتَتْ ﴿11﴾ لِأَيِّ يَوْمٍ أُجِّلَتْ ﴿12﴾ لِيَوْمِ الْفَصْلِ ﴿13﴾ وَمَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الْفَصْلِ ﴿14﴾ وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ ﴿15﴾} صدق الله العظيم [المرسلات].
Allah Ta3ala Asema { Naapa kwa zinazo tumwa kwa upole (1) Na zinazo vuma kwa kasi (2) Na zikaeneza maeneo yote (3) Na zinazo farikisha zikatawanya (4) Na zinazo peleka mawaidha (5) Kwa kuudhuru au kuonya (6) Hakika mnayo ahidiwa bila ya shaka yatakuwa (7) Wakati nyota zitakapo futwa (8) Na mbingu zitakapo pasuliwa (9) Na milima itakapo peperushwa (10) Na Mitume watakapo wekewa wakati wao (11) Kwa siku gani hiyo wamewekewa muda huo (12) Kwa siku ya kupambanua (13) Na nini kitakacho kujuulisha siku ya kupambanua ni nini (14) Ole wao, siku hiyo hao wanao kanusha (15)} Sadaqa Allah Al3adhim [Almursalat].
Na kwa Bayana ya Haki
{فَالْفَارِقَاتِ فَرْقًا}:
{ Na zinazo farikisha zikatawanya }
Na hio ni zile nafsi ambazo zinafarikisha Haki na batili kisha zinatoa kubalighisha kwa Al'Quran ukumbusho kwa walimwengu.
Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
{فَالْمُلْقِيَاتِ ذِكْرًا ﴿5﴾ عُذْرًا أَوْ نُذْرًا ﴿6﴾ إِنَّمَا تُوعَدُونَ لَوَاقِعٌ ﴿7﴾ فَإِذَا النُّجُومُ طُمِسَتْ ﴿8﴾ وَإِذَا السَّمَاءُ فُرِجَتْ ﴿9﴾ وَإِذَا الْجِبَالُ نُسِفَتْ ﴿10﴾ وَإِذَا الرُّسُلُ أُقِّتَتْ ﴿11﴾ لِأَيِّ يَوْمٍ أُجِّلَتْ ﴿12﴾ لِيَوْمِ الْفَصْلِ ﴿13﴾ وَمَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الْفَصْلِ ﴿14﴾ وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ ﴿15﴾} صدق الله العظيم.
Allah Ta3ala Asema: { Na zinazo peleka mawaidha (5) Kwa kuudhuru au kuonya (6) Hakika mnayo ahidiwa bila ya shaka yatakuwa (7) Wakati nyota zitakapo futwa (8) Na mbingu zitakapo pasuliwa (9) Na milima itakapo peperushwa (10) Na Mitume watakapo wekewa wakati wao (11) Kwa siku gani hiyo wamewekewa muda huo (12) Kwa siku ya kupambanua (13) Na nini kitakacho
kujuulisha siku ya kupambanua ni nini (14) Ole wao, siku hiyo hao wanao kanusha (15)} Sadaqa Allah Al3adhim.

Basi nini hio Bayana Ya Kauli Ya Allah Ta3ala:
{فَالْمُلْقِيَاتِ ذِكْرًا ﴿5﴾ عُذْرًا أَوْ نُذْرًا ﴿6﴾}
{ Na zinazo peleka mawaidha (5) Kwa kuudhuru au kuonya (6)}:
Yani uduhuru kwa Mola Mlezi wenu kuwa mumebalighisha mukaonya watu kwa utajo wa Mola Mlezi wao Ujumbe wa Allah kwao wote uwonyaji kwa wanadamu kwa atakae miongoni mwao kwamba atangulie ama achelewe.


Na Salam Ju Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabil3alamin..
Ndugu Wa Waumini Kwa Al'Quran Al'3adhim Al'Imam Al'Mahdi; Nasser Muhammad Al'Yamani.
وسلامٌ على المُرسلين، والحمدُ لله ربّ العالمين..
أخو المؤمنين بالقرآن العظيم الإمام المهديّ؛ ناصر محمد اليماني.
_________

[ مصدر البيان في قسم الموسوعة ]


اقتباس المشاركة 47656 من موضوع ( بيانات الإمام في أحكام الوضوء والصلاة وميقاتها )



- 5 -

الإمام ناصر محمد اليماني
02 - 02 - 1430 هـ
28 - 01 - 2009 مـ
12:01 صباحاً
ـــــــــــــــــــــ


{ إِنَّمَا تُنذِرُ مَنِ اتَّبَعَ الذِّكْرَ وَخَشِيَ الرَّحْمَن بِالْغَيْبِ فَبَشِّرْهُ بِمَغْفِرَةٍ وَأَجْرٍ كَرِيمٍ }



بِسْمِ اللَّهِ الرَّحْمَنِ الرَّحِيمِ
{إِنَّ اللَّهَ وَمَلاَئِكَـتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ يا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ صَلُّواْ عَلَيْهِ وَسَلِّمُواْ تَسْلِيماً} [الأحزاب:56].

{سُبْحَانَ رَبِّكَ رَبِّ الْعِزَّةِ عَمَّا يَصِفُونَ ﴿
180﴾ وَسَلَامٌ عَلَى الْمُرْسَلِينَ ﴿181﴾ وَالْحَمْدُ لِلَّـهِ رَبِّ الْعَالَمِينَ ﴿182﴾}
صدق الله العظيم [الصافات].

ويا مُشبب، إنّي المهديّ المُنتظَر أنذر البشر بالذكر المحفوظ من التحريف ولن يتّبعني إلا الذين يتّبعون الذكر المحفوظ من التحريف رسالةً من الله إلى كافة البشر لمن شاء منهم أن يستقيم، فأهدي بالقرآن المجيد إلى صراط العزيز الحميد وإنا لصادقون، فأبيّنه للبشر كما كان يبيّنه مُحمد رسول الله صلى الله عليه وآله وسلم، فأعيد المُسلمين إلى منهاج النبوّة الأولى كما بيّنه رسول الله -صلى الله عليه وآله وسلم- بمنتهى الحقّ والصدق، ولا ينبغي لي أن أعلّم الناس البيان بالظنّ الذي لا يُغني من الحقّ شيئاً، فإن استجابوا إلى دعوة الاحتكام للذكر فحتماً ستجدونني أهيمن عليهم بسلطان العلم المُحكم من ذات القرآن حتى لا يعرض عن الذكر المحفوظ من التحريف إلا الذين قالوا سمعنا وعصينا ويزعمون أنّهم مؤمنون به ومن ثم يعرضون كأمثال بعض أهل الكتاب فلبئس ما يأمرهم به إيمانهم. وقال الله تعالى:
{أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ يَزْعُمُونَ أَنَّهُمْ آمَنُوا بِمَا أُنزِلَ إِلَيْكَ وَمَا أُنزِلَ مِن قَبْلِكَ يُرِيدُونَ أَن يَتَحَاكَمُوا إِلَى الطَّاغُوتِ وَقَدْ أُمِرُوا أَن يَكْفُرُوا بِهِ وَيُرِيدُ الشَّيْطَانُ أَن يُضِلَّهُمْ ضَلَالًا بَعِيدًا ﴿60﴾ وَإِذَا قِيلَ لَهُمْ تَعَالَوْا إِلَىٰ مَا أَنزَلَ اللَّـهُ وَإِلَى الرَّسُولِ رَأَيْتَ الْمُنَافِقِينَ يَصُدُّونَ عَنكَ صُدُودًا ﴿61﴾ فَكَيْفَ إِذَا أَصَابَتْهُم مُّصِيبَةٌ بِمَا قَدَّمَتْ أَيْدِيهِمْ ثُمَّ جَاءُوكَ يَحْلِفُونَ بِاللَّـهِ إِنْ أَرَدْنَا إِلَّا إِحْسَانًا وَتَوْفِيقًا ﴿62﴾} صدق الله العظيم [النساء].

أفلا تعلمون ما هو المقصود من قول الله تعالى:
{يُرِيدُونَ أَن يَتَحَاكَمُوا إِلَى الطَّاغُوتِ وَقَدْ أُمِرُوا أَن يَكْفُرُوا بِهِ وَيُرِيدُ الشَّيْطَانُ أَن يُضِلَّهُمْ ضَلَالًا بَعِيدًا}؟ وتلك أحكام جاءت من عند غير الله من عند الطاغوت تُخالف لحكم الله في مُحكم كتابه، وذلك لأنّ مُحمد رسول الله -صلى الله عليه وآله وسلم- يدعوهم إلى الاحتكام إلى كتاب الله ليحكم بينهم منه فيما كانوا فيه يختلفون ولكنّهم أعرضوا. وقال الله تعالى: {إِنَّ هَذَا الْقُرْآنَ يَقُصُّ عَلَى بَنِي إِسْرَائِيلَ أَكْثَرَ الَّذِي هُمْ فِيهِ يَخْتَلِفُونَ} صدق الله العظيم [النمل:76].

ولكنّهم أعرضوا عن دعوة الاحتكام إلى القرآن العظيم. وقال الله تعالى:
{أَلَمْ تَرَ إِلَى الَّذِينَ أُوتُواْ نَصِيبًا مِّنَ الْكِتَابِ يُدْعَوْنَ إِلَى كِتَابِ اللَّهِ لِيَحْكُمَ بَيْنَهُمْ ثُمَّ يَتَوَلَّى فَرِيقٌ مِّنْهُمْ وَهُم مُّعْرِضُونَ} صدق الله العظيم [آل عمران:23].

وكذلك المهديّ المُنتظَر يدعو المُسلمين الذين اختلفوا في دينهم إلى كتاب الله ليستنبط لهم حُكم الله بينهم فيما كانوا فيه يختلفون، ولا ينبغي لي أن أحكم بينهم اجتهاداً مني من رأسي من ذات نفسي وأعوذُ بالله أن أكون من الجاهلين فليس لي من الأمر شيء بل الحكم لله ولا يُشرك في حُكمه أحداً، وإنّما أستنبط للمُختلفين في الدين حُكم الله بينهم فيما كانوا فيه يختلفون فآتيهم به من مُحكم القرآن العظيم الكتاب الذي تنزّل مُجملاً ومُفصّلاً، قرآناً وفرقاناً؛ بمعنى أنّ الله هو الحكم وليس مُحمدٌ رسول الله -صلى الله عليه وآله وسلم- ولا المهديّ المُنتظَر، فالحُكم لله وليس لنا من الأمر شيء. تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَمَا اخْتَلَفْتُمْ فِيهِ مِنْ شَيْءٍ فَحُكْمُهُ إِلَى اللَّهِ ذَلِكُمُ اللَّهُ رَبِّي عَلَيْهِ تَوَكَّلْتُ وَإِلَيْهِ أُنِيبُ} صدق الله العظيم [الشورى:10].

وإنّما نستنبط لهم حُكم الله بينهم من القرآن العظيم الذي جعل الله فيه قرآناً وفرقاناً وفصّله تفصيلاً، ولا ينبغي لي أن أقبل الاحتكام إلى ما جاء مُخالفاً لحكم الله من عند غير الله من عند الطاغوت، ولا ولن أرضى بغير الله حكماً بالحقّ. تصديقاً لقول الله تعالى:
{أَفَغَيْرَ اللَّهِ أَبْتَغِي حَكَمًا وَهُوَ الَّذِي أَنزَلَ إِلَيْكُمُ الْكِتَابَ مُفَصَّلًا} صدق الله العظيم [الأنعام:114].

وحين حكمتُ بينهم في عدد الصلوات والركعات إنّما نستنبط لهم حُكم الله من كتابه العزيز، وإنّما الصلوات لذكر اسم الله ولهُ مائة اسم سُبحانه، فأراد الله أن تكون عدد الركعات المفروضات على المُسلمين مائة ركعة في خمسين صلاة، وذلك حتى تكون في كُلّ صلاة مفروضة ركعتين، وإذا صليّتم في الليلة واليوم خمسين صلاة وفي كُلّ صلاةٍ ركعتين لذكر اسم الله أصبح إجمالي الركعات مائة ركعة، وذلك حتى تُعادل بعدد أسماء الله الحُسنى دونما زيادةٍ أو نُقصانٍ في صلاة الركعات المفروضة جبرياً، فأثبتنا أنّ جدي مُحمد -صلى الله عليه وآله وسلم- ليلة الإسراء به إلى ربه قد أمره بخمسين صلاةٍ في الليلة واليوم، فتكون صلاتهم خالصةً لله وحده لا شريك له شرط أن تُعادل الركعات بعدد أسماء الله الحُسنى سُبحانه.

وقال الله تعالى: {وَلِلَّهِ الْأَسْمَاءُ الْحُسْنَى فَادْعُوهُ بِهَا وَذَرُوا الَّذِينَ يُلْحِدُونَ فِي أَسْمَائِهِ} صدق الله العظيم [الأعراف:180].

غير إنّ الله لم يشترط علينا أن ندعوه في صلاتنا بجميع أسمائه الحُسنى. تصديقاً لقول الله تعالى في سورة الإسراء:
{قُلِ ادْعُوا اللَّـهَ أَوِ ادْعُوا الرَّحْمَـٰنَ ۖ أَيًّا مَّا تَدْعُوا فَلَهُ الْأَسْمَاءُ الْحُسْنَىٰ ۚ وَلَا تَجْهَرْ بِصَلَاتِكَ وَلَا تُخَافِتْ بِهَا وَابْتَغِ بَيْنَ ذَٰلِكَ سَبِيلًا ﴿110﴾ وَقُلِ الْحَمْدُ لِلَّـهِ الَّذِي لَمْ يَتَّخِذْ وَلَدًا وَلَمْ يَكُن لَّهُ شَرِيكٌ فِي الْمُلْكِ وَلَمْ يَكُن لَّهُ وَلِيٌّ مِّنَ الذُّلِّ ۖ وَكَبِّرْهُ تَكْبِيرًا ﴿111﴾} صدق الله العظيم.

ثم عَلِمْنا علم اليقين أنّ الله فرض على نبيّه خمسين صلاة في الليلة واليوم، وإنّه جعل إجمالي الركعات المفروضات تساوي عدد أسماء الله الحُسنى دون زيادةٍ أو نُقصانٍ في الركعات المفروضات جبرياً في صلوات الفرض الجبري وليس لكم خيار فمن لم يؤدِّ ما فرض الله عليه فمصيره في النار.

والحمدُ لله الذي خفّف علينا من خمسين صلاة إلى خمس صلوات مفروضات، وقد يقول قائل: "ولماذا لا تكون ست صلوات مفروضات أو سبع أو عشر، فما هي الحكمة من أن يكون خمس صلوات مفروضات؟" ثم نرد عليه بالحقّ: لو جعلهنّ أكثر من ذلك لاختل العدد في أسمائه سُبحانه، وذلك لأنّه تم تخفيفهن إلى خمسٍ لكي يجعل الصلاة بعشر أمثالها فتعود خمسين صلاة في كتاب الله في الأجر، كذلك لتعود الركعات إلى مائة ركعة تساوي عدد أسماء الله الحُسنى.

ولم أفتِ بأنّ الركعات مائة ركعة من غير علمٍ وأعوذُ بالله أن أكون من الجاهلين، وهذا من ضمن البرهان لحقيقة اسم الله الأعظم إنّهُ حقاً لله مائة اسم وتعلمون منها 99 اسماً وزاد الله الإمام المهديّ المنتظَر بالبيان لاسمه الأعظم وفصلناه تفصيلاً. ألا والله لا يحاجّني في اسم الله الأعظم إلا الذين لم يعرفوا حقيقة اسم الله الأعظم وذلك لأنّ اسم الله الأعظم جعل الله فيه سرّ الحكمة من خلق عباده. تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ}صدق الله العظيم [الذايات:56].

وإنّما عبادة الله هو أن تتّبعوا رضوانه وتذروا ما يسخطه. تصديقاً لقول الله تعالى:
{أَفَمَنِ اتَّبَعَ رِضْوَانَ اللّهِ كَمَن بَاء بِسَخْطٍ مِّنَ اللّهِ وَمَأْوَاهُ جَهَنَّمُ وَبِئْسَ الْمَصِيرُ} صدق الله العظيم [آل عمران:162].

والسؤال الذي يطرح نفسه: فهل خلقنا الله من أجل الفوز بنعيم الجنة والحور العين؟ والجواب: كلا فلم يجعل الله الحكمة من خلقنا لكي يدخل عباده جنّته وآخرين ناره، بل الحكمة من خلقنا هي لنعبد نعيم رضوان الله على عباده وسوف نجد نعيم رضوان الله علينا هو حتماً لا شك ولا ريب هو النعيم الأعظم من جنته. تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَعَدَ اللّهُ الْمُؤْمِنِينَ وَالْمُؤْمِنَاتِ جَنَّاتٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الأَنْهَارُ خَالِدِينَ فِيهَا وَمَسَاكِنَ طَيِّبَةً فِي جَنَّاتِ عَدْنٍ وَرِضْوَانٌ مِّنَ اللّهِ أَكْبَرُ ذَلِكَ هُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ} صدق الله العظيم [التوبة:72].

ولكنّي أقسمُ بالله العظيم لا ولن يُكذّب بحقيقة اسم الله الأعظم إلا الذين لم يعرفوا قط حقيقة نعيم رضوان الله عليهم فقد جعل الله لهُ آية في أنفسهم لا ولن يعرفها إلا الذين استمتعوا بنعيم رضوانه ومن ثم يشهدون أنّه حقاً النعيم الأعظم من نعيم جنته؛ بل لا يجدون في أنفسهم مجالاً للمُقارنة شيئاً بينه وبين أي نعيمٍ آخر، فكم يتمنّون لو أنّهم يستطيعون أن يمكثوا بتلك الحال بين يدي ربهم ما تبقى من حياتهم ولكنّهم لن يستطيعوا، وإنّما ذلك لكي يعلموا الحكمة من خلقهم فيدركوا أنّ نعيم رضوانه عليهم لهو حقاً النعيم الأعظم ولذلك جعله الله سراً فلم يُنبئكم رُسله إلا بتسعة وتسعين اسماً ثم جعل الله اسمه الأعظم سراً بين العبد والربّ حتى لا يدركه إلا من عرف حقيقة رضوان ربه والذي تتجلّى فيه الحكمة من خلق عباده، وإنّما نُبيّنه من الكتاب لكي تعلموا أنّ لله مائة اسم، وأفتيتكم في حقيقة اسم الله الأعظم بأنّه ليس بأعظم من أسمائه الحُسنى سُبحانه، فلا فرق بين أسماء الله الحُسنى فهي جميعاً للواحد الأحد لا إله غيره وإنّما يوصف اسمه الأعظم بالأعظم لأنّكم حقاً سوف تجدونه نعيماَ أعظم من نعيم جنته. تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَعَدَ اللّهُ الْمُؤْمِنِينَ وَالْمُؤْمِنَاتِ جَنَّاتٍ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الأَنْهَارُ خَالِدِينَ فِيهَا وَمَسَاكِنَ طَيِّبَةً فِي جَنَّاتِ عَدْنٍ وَرِضْوَانٌ مِّنَ اللّهِ أَكْبَرُ ذَلِكَ هُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ} صدق الله العظيم [التوبة:72].

وذلك لأنّ اسم الله الأعظم جعل الله فيه صفة رضوانه على عباده فإذا اتَّبعوا رضوان الله أدركوا الحكمة من خلقهم، وإن أعرضوا عن رضوان الله عذبهم عذاباً أليماً في الدُنيا وفي الآخرة، وذلك لأنّها تتجلّى فيه الحكمة من خلقهم فإذا ألهتهم عنه الحياة الدُنيا فعنهُ سوف تُسأَلون. تصديقاً لقول الله تعالى:
{أَلْهَاكُمُ التَّكَاثُرُ ﴿1﴾ حَتَّىٰ زُرْتُمُ الْمَقَابِرَ ﴿2﴾ كَلَّا سَوْفَ تَعْلَمُونَ ﴿3﴾ ثُمَّ كَلَّا سَوْفَ تَعْلَمُونَ ﴿4﴾ كَلَّا لَوْ تَعْلَمُونَ عِلْمَ الْيَقِينِ ﴿5﴾ لَتَرَوُنَّ الْجَحِيمَ ﴿6﴾ ثُمَّ لَتَرَوُنَّهَا عَيْنَ الْيَقِينِ ﴿7﴾ ثُمَّ لَتُسْأَلُنَّ يَوْمَئِذٍ عَنِ النَّعِيمِ ﴿8﴾} صدق الله العظيم [التكاثر].

فما هو النعيم الذي سوف يُسألون عنه؟ ألا وإنّه النّعيم الذي ألهاهم عنّه التكاثرُ في الحياة الدنيا فرضوا بها واطمأنّوا إليها ونسوا الله فنسيهم وعذّبهم عذاباً عظيماً، وذلك لأنّهم أعرضوا عن النعيم الذي هو أعظم من نعيم الدُنيا وأكبر من نعيم الآخرة، والله هو الرحمن وهو النعيم وجعل النعيم صفةً لرضوان نفسه على عباده يعلمه الذين اتّبعوا رضوانه ثم يمدّهم بروحٍ منه تغشى أنفسهم ثم تطمئن قلوبهم فتخشع قلوبهم فتدمع أعينهم مما عرفوا من عظمة الحقّ. تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَإِذَا سَمِعُواْ مَا أُنزِلَ إِلَى الرَّسُولِ تَرَى أَعْيُنَهُمْ تَفِيضُ مِنَ الدَّمْعِ مِمَّا عَرَفُواْ مِنَ الْحَقِّ} صدق الله العظيم [المائدة:83].

والحقّ هو الله وما دونه باطل، وليس إنّ الله تنزّل إلى أنفسهم سُبحانه وإنّما روحٌ وريحانٌ في أنفسهم جعله الله نوراً للبصيرة فيُبصرون عظمة الحقّ والحقّ هو الله، والذين كانت قلوبهم تعمى عن الحقّ في الحياة الدُنيا فهم كذلك عُميان عن الحقّ يوم يقوم الناس لربّ العالمين، ولن تجدهم يدعون الحقّ لأنّهم لم يعرفوا الحقّ في هذه الحياة. وقال الله تعالى:
{وَمَنْ كَانَ فِي هَذِهِ أَعْمَى فَهُوَ فِي الآخِرَةِ أَعْمَى وَأَضَلُّ سَبِيلا} صدق الله العظيم [الإسراء:72].

بمعنى من كان في هذه أعمى عن الحقّ فهو كذلك يوم القيامة أعمى عن الحقّ، وإنّما القرآن العظيم يدعو إلى الحقّ فيهديهم إلى صراط العزيز الحميد. وقال الله تعالى:
{الَّذِينَ كَفَرُوا وَصَدُّوا عَن سَبِيلِ اللَّـهِ أَضَلَّ أَعْمَالَهُمْ ﴿1﴾ وَالَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ وَآمَنُوا بِمَا نُزِّلَ عَلَىٰ مُحَمَّدٍ وَهُوَ الْحَقُّ مِن رَّبِّهِمْ ۙ كَفَّرَ عَنْهُمْ سَيِّئَاتِهِمْ وَأَصْلَحَ بَالَهُمْ ﴿2﴾ ذَٰلِكَ بِأَنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا اتَّبَعُوا الْبَاطِلَ وَأَنَّ الَّذِينَ آمَنُوا اتَّبَعُوا الْحَقَّ مِن رَّبِّهِمْ ۚ كَذَٰلِكَ يَضْرِبُ اللَّـهُ لِلنَّاسِ أَمْثَالَهُمْ﴿3﴾}صدق الله العظيم [محمد].

ألا وإنّ الحقّ هو اتِّباع رضوان الله والذين اتّبعوا الباطل نالوا سخطاً من الله. تصديقاً لقول الله تعالى:
{أَفَمَنِ اتَّبَعَ رِضْوَانَ اللّهِ كَمَن بَاء بِسَخْطٍ مِّنَ اللّهِ وَمَأْوَاهُ جَهَنَّمُ وَبِئْسَ الْمَصِيرُ} صدق الله العظيم [آل عمران:162].

وتعالوا لتعلموا حقيقة قول الله تعالى:
{وَمَنْ كَانَ فِي هَذِهِ أَعْمَى فَهُوَ فِي الآخِرَةِ أَعْمَى وَأَضَلُّ سَبِيلاً} صدق الله العظيم [الإسراء:72]، بمعنى أنّه من كان أعمى عن الحقّ في هذه الحياة فهو كذلك يوم القيامة أعمى برغم أنّهم قالوا: {قَدْ جَاءَتْ رُسُلُ رَبِّنَا بِالْحَقِّ} صدق الله العظيم [الأعراف:53].

فما هو الحقّ الذي جاء به جميع الأنبياء والمُرسلين؟ والجواب قال الله تعالى:
{وَمَا أَرْسَلْنَا مِنْ قَبْلِكَ مِنْ رَسُولٍ إِلَّا نُوحِي إِلَيْهِ أَنَّهُ لا إِلَهَ إِلَّا أَنَا فَاعْبُدُونِ}صدق الله العظيم [الأنبياء:25].

فبعد الاعتراف بكلمة التوحيد إنّه لا إله إلا الله وحده لا شريك له فبقي معنى "كيف نعبد الله؟"
وقال الله تعالى: {أَفَمَنْ اتَّبَعَ رِضْوَانَ اللّهِ كَمَن بَاء بِسَخْطٍ مِّنَ اللّهِ وَمَأْوَاهُ جَهَنَّمُ و َبِئْسَ الْمَصِيرُ} صدق الله العظيم، ولذلك تجدون الإمام المهديّ يدعوكم إلى عبادة رضوان الله حتى تبصروا الحقّ ولذلك خلقكم. وقال الله تعالى: {هَلْ يَنظُرُونَ إِلاَّ تَأْوِيلَهُ يَوْمَ يَأْتِي تَأْوِيلُهُ يَقُولُ الَّذِينَ نَسُوهُ مِن قَبْلُ قَدْ جَاءَتْ رُسُلُ رَبِّنَا بِالْحَقِّ فَهَل لَّنَا مِن شُفَعَاء فَيَشْفَعُواْ} صدق الله العظيم [الأعراف:53].

فهل ترونهم عرفوا الحقّ؟ كلا وربي، ولو عرفوا الحقّ لما قالوا:
{فَهَل لَّنَا مِن شُفَعَاء فَيَشْفَعُواْ} صدق الله العظيم، وصدق ربي بقوله الحقّ: {وَمَنْ كَانَ فِي هَذِهِ أَعْمَى فَهُوَ فِي الآخِرَةِ أَعْمَى وَأَضَلُّ سَبِيلاً} صدق الله العظيم.

ويا من يُحاجِجُني في عدد الركعات هل تؤمن إنّ لله مائة اسم ولذلك أمركم بخمسين صلاة وفي كُل صلاة ركعتين فرضاً جبريّاً لتصبح عدد الركعات تساوي عدد أسماء الله الحسنى في كتابه؟ تصديقاً لقول الله تعالى:
{قُلِ ادْعُوا اللَّـهَ أَوِ ادْعُوا الرَّحْمَـٰنَ ۖ أَيًّا مَّا تَدْعُوا فَلَهُ الْأَسْمَاءُ الْحُسْنَىٰ ۚ وَلَا تَجْهَرْ بِصَلَاتِكَ وَلَا تُخَافِتْ بِهَا وَابْتَغِ بَيْنَ ذَٰلِكَ سَبِيلًا ﴿110﴾ وَقُلِ الْحَمْدُ لِلَّـهِ الَّذِي لَمْ يَتَّخِذْ وَلَدًا وَلَمْ يَكُن لَّهُ شَرِيكٌ فِي الْمُلْكِ وَلَمْ يَكُن لَّهُ وَلِيٌّ مِّنَ الذُّلِّ ۖ وَكَبِّرْهُ تَكْبِيرًا ﴿111﴾} صدق الله العظيم [الإسراء].

فإن أبيتَ فسوف أوجّه لك هذا السؤال ولكافة من يريد اتّباع الحقّ: فهل وجدتم أنّ صلاة القصر في مُحكم الكتاب يقصد بها الصلاة الأصل المفروضة في الكتاب؟ أم إنّه يقصد بها صلاة القصر في السفر أن تقصروها إلى ركعة؟ وقال الله تعالى:
{وَإِذَا ضَرَبْتُمْ فِي الْأَرْضِ فَلَيْسَ عَلَيْكُمْ جُنَاحٌ أَن تَقْصُرُوا مِنَ الصَّلَاةِ إِنْ خِفْتُمْ أَن يَفْتِنَكُمُ الَّذِينَ كَفَرُوا ۚ إِنَّ الْكَافِرِينَ كَانُوا لَكُمْ عَدُوًّا مُّبِينًا ﴿101﴾وَإِذَا كُنتَ فِيهِمْ فَأَقَمْتَ لَهُمُ الصَّلَاةَ فَلْتَقُمْ طَائِفَةٌ مِّنْهُم مَّعَكَ وَلْيَأْخُذُوا أَسْلِحَتَهُمْ فَإِذَا سَجَدُوا فَلْيَكُونُوا مِن وَرَائِكُمْ وَلْتَأْتِ طَائِفَةٌ أُخْرَىٰ لَمْ يُصَلُّوا فَلْيُصَلُّوا مَعَكَ وَلْيَأْخُذُوا حِذْرَهُمْ وَأَسْلِحَتَهُمْ ۗ وَدَّ الَّذِينَ كَفَرُوا لَوْ تَغْفُلُونَ عَنْ أَسْلِحَتِكُمْ وَأَمْتِعَتِكُمْ فَيَمِيلُونَ عَلَيْكُم مَّيْلَةً وَاحِدَةً ۚ وَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ إِن كَانَ بِكُمْ أَذًى مِّن مَّطَرٍ أَوْ كُنتُم مَّرْضَىٰ أَن تَضَعُوا أَسْلِحَتَكُمْ ۖ وَخُذُوا حِذْرَكُمْ ۗ إِنَّ اللَّـهَ أَعَدَّ لِلْكَافِرِينَ عَذَابًا مُّهِينًا ﴿102﴾} صدق الله العظيم [النساء].

وخلاصة القول فلنحتكم إلى كتاب الله فإذا وجدنا إن الأمر صدر بقصر صلاة السفر من ركعتين إلى ركعة فقد صدق عُلماؤكم وكذب المهديّ المنتظَر ناصر محمد اليماني، وإن وجدنا أنّ الأمر صدر بقصر الصلاة الأصل المفروضة في كتاب الله من ركعتين إلى ركعة فقد صدق المهديّ المنتظَر وكذب الذين يقولون على الله ما لا يعلمون. وقال الله تعالى:
{وَإِذَا ضَرَبْتُمْ فِي الْأَرْضِ فَلَيْسَ عَلَيْكُمْ جُنَاحٌ أَن تَقْصُرُوا مِنَ الصَّلَاةِ إِنْ خِفْتُمْ أَن يَفْتِنَكُمُ الَّذِينَ كَفَرُوا ۚ إِنَّ الْكَافِرِينَ كَانُوا لَكُمْ عَدُوًّا مُّبِينًا ﴿101﴾وَإِذَا كُنتَ فِيهِمْ فَأَقَمْتَ لَهُمُ الصَّلَاةَ فَلْتَقُمْ طَائِفَةٌ مِّنْهُم مَّعَكَ وَلْيَأْخُذُوا أَسْلِحَتَهُمْ فَإِذَا سَجَدُوا فَلْيَكُونُوا مِن وَرَائِكُمْ وَلْتَأْتِ طَائِفَةٌ أُخْرَىٰ لَمْ يُصَلُّوا فَلْيُصَلُّوا مَعَكَ وَلْيَأْخُذُوا حِذْرَهُمْ وَأَسْلِحَتَهُمْ ۗ وَدَّ الَّذِينَ كَفَرُوا لَوْ تَغْفُلُونَ عَنْ أَسْلِحَتِكُمْ وَأَمْتِعَتِكُمْ فَيَمِيلُونَ عَلَيْكُم مَّيْلَةً وَاحِدَةً ۚ وَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ إِن كَانَ بِكُمْ أَذًى مِّن مَّطَرٍ أَوْ كُنتُم مَّرْضَىٰ أَن تَضَعُوا أَسْلِحَتَكُمْ ۖ وَخُذُوا حِذْرَكُمْ ۗ إِنَّ اللَّـهَ أَعَدَّ لِلْكَافِرِينَ عَذَابًا مُّهِينًا ﴿102﴾} صدق الله العظيم.

فهل الأمر وجدتموه قصر القصر، أي قصر صلاة القصر من ركعتين إلى ركعة؟ فهل فهمت الخبر يا مُشبِّب ما المقصود في مُحكم الكتاب؟ هل وجدت الأمر بقصر القصر؟ وذلك لأنّهم يقصرون صلاة القصر في السفر من ركعتين إلى ركعة فسمّوها صلاة الخوف، فأصبح الأمر قصر القصر، وحرفوا أمر الله المُحكم في كتابه فلم يأمرهم الله بقصر القصر، وذلك لأنهم يصلون صلاة القصر في السفر، وقالوا: تُقصر الصلاة الرباعية من أربع ركعات إلى ركعتين، ومن ثم قصروا صلاة القصر إلى ركعة واحدة فسموها صلاة الخوف، وحرّفوا أمر الله وهو أمر مُحكم واضح وبيّن لعالمكم ولجاهلكم بأن القصر في الأصل هو في الصلاة المفروضة من ركعتين (وهي الأصل) إلى ركعة. تصديقاً لقول الله تعالى:
{وَإِذَا ضَرَبْتُمْ فِي الْأَرْضِ فَلَيْسَ عَلَيْكُمْ جُنَاحٌ أَن تَقْصُرُوا مِنَ الصَّلَاةِ إِنْ خِفْتُمْ أَن يَفْتِنَكُمُ الَّذِينَ كَفَرُوا ۚ إِنَّ الْكَافِرِينَ كَانُوا لَكُمْ عَدُوًّا مُّبِينًا ﴿101﴾وَإِذَا كُنتَ فِيهِمْ فَأَقَمْتَ لَهُمُ الصَّلَاةَ فَلْتَقُمْ طَائِفَةٌ مِّنْهُم مَّعَكَ وَلْيَأْخُذُوا أَسْلِحَتَهُمْ فَإِذَا سَجَدُوا فَلْيَكُونُوا مِن وَرَائِكُمْ وَلْتَأْتِ طَائِفَةٌ أُخْرَىٰ لَمْ يُصَلُّوا فَلْيُصَلُّوا مَعَكَ وَلْيَأْخُذُوا حِذْرَهُمْ وَأَسْلِحَتَهُمْ ۗ وَدَّ الَّذِينَ كَفَرُوا لَوْ تَغْفُلُونَ عَنْ أَسْلِحَتِكُمْ وَأَمْتِعَتِكُمْ فَيَمِيلُونَ عَلَيْكُم مَّيْلَةً وَاحِدَةً ۚ وَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ إِن كَانَ بِكُمْ أَذًى مِّن مَّطَرٍ أَوْ كُنتُم مَّرْضَىٰ أَن تَضَعُوا أَسْلِحَتَكُمْ ۖ وَخُذُوا حِذْرَكُمْ ۗ إِنَّ اللَّـهَ أَعَدَّ لِلْكَافِرِينَ عَذَابًا مُّهِينًا ﴿102﴾} صدق الله العظيم.

ولكنّي يا مُشبب القحطاني قد صدقتُك في شيءٍ واحدٍ هو إنّك حقاً لستَ بعالم؛ بل من الذين لا يعلمون، وقد تمّ نشر هذا البيان في كثيرٍ من المنتديات الإسلاميّة وإلى مُفتيي الديار فلم يتجرَّأ أحدٌ للطعن فيه أو يصفني بأنّني على الضلال ولكنّهم في حيرةٍ من الأمر.

و اعلمْ يا مُشبب أنه يوجد في كُلّ ركعتين تشهد أوسط وتشهد أخير، فأمّا التشهد الأول فهو بعد إتمام الركعة الأولى يجلس الإمام في التشهد الأوسط، فإذا قام سلّم الجماعة في صلاة القصر، ومن ثم تأتي طائفة لم يصلّوا ذلك الفرض فيُصلّوا مع الإمام الركعة الثانية ثم التشهد الأخير ثم التسليم فيسلموا، فقسّم الله الصلاة إلى نصفين، وعدَل سُبحانه، فلم يزد الجماعة الثانية عن الجماعة الأولى بشيء من ذكر الصلاة لا في التكبير ولا في القراءة ولا في التشهد، كلا ولكن أكثركم لا يعلمون.

ولو قد حضر لدينا أحد مُفتي الديار لكي يتمّ تفصيل صلاة الحضر لعلمت علم اليقين إنّ الصلاة حقاً ركعتين يا مُشبب، لكن عليكم أن تعلموا إنّنا إذا فصلنا بيان الصلوات في الحضر فإنهُ سوف تصبح عليكم في صلاة الحضر أمراً مفروضاً فلا خيار لي ولا خيار لكم، وليس لنا من الأمر شيء، وهيهات هيهات.. فلن أعلمكم يا معشر الأنصار بالحقّ ومن ثم أقول لكم أعرضوا عنه فلا تتبعوه حتى يصدقني علماؤكم. هيهات هيهات.. فالحقّ أحقّ أن يُتبع، وإنّما حتى أقيم الحجّة عليهم بالحقّ فتعلمون بأنّي أخرستُ ألسنتهم بالمنطق الحقّ فلم يستطيعوا أن يطعنوا في الحقّ شيئاً لكي أُعلّم المُسلمين إنّه لا يجوز التعصب في الدين فكلٌ يتبع عالِماً فيتعصب معه؛ بل من كان هو الغالب بالسلطان من بين جميع عُلماء الأمّة فعلى الآخرين اتّباعه هو وترك علماءهم الذين لم يهيمنوا عليه بالعلم والسلطان، ولم أجدهم أنكروه ولكنهم يولّون الأدبار.. فمن ذا الذي حضر إلى المنبر الحُرّ طاولة الحوار للمهديّ المنتظَر
(موقع الإمام ناصر مُحمد اليماني) ليُهيمن على المهديّ المنتظَر بعلمٍ أهدى من سُلطان علمه وأصدقُ قيلاً؟ ويا سُبحان الله العظيم، فهذه حقيقة الرؤيا الحقّ: [وما حاجك أحد من القرآن إلا غلبته].

ويا عُلماء أمّة الإسلام، اتّقوا الله واحضروا إلى طاولة الحوار لكي يتمّ تفصيل الصلاة في الحضر فنُفصّلها تفصيلاً فتزدادون علماً لأنّكم حاصرتموني أن أرد على السائلين في كثيرٍ من مسائل الصلاة، وذلك لأنّ البيان الحقّ للقرآن كالبُنيان يشدُّ بعضهُ بعضاً، ومن ثم توقنون أنّ الركعات حقاً هي ركعتين لا شكّ ولا ريب، فلماذا لا تجيبون داعي الله بالاحتكام إلى كتابه؟ فما خطبكم؟ وماذا دهاكم؟ فإذا كنتم ترون ناصر محمد اليماني على ضلالٍ مُبينٍ أفلا تخشون على المُسلمين أن يُضلّهم ناصر محمد اليماني إذا كنتم تروننا على ضلالٍ مُبينٍ؟ أفلا يهمكم أمر المُسلمين أم أنّكم تخافون أنّ الحقوق لدينا ليست بمحفوظة؟ ونعوذُ بالله أن نكون من الجاهلين المُفترين، وعليها أمان الله من التغيير وأحذِّر جميع طاقم الإدارة من حذف بيانات العلماء الآخرين وإنّما نقوم بحذف بيانات الشياطين، فلا يزال المهديّ المنتظر مُنتظِراً لمُفتيي الديار للحضور إلى طاولة الحوار للاحتكام للذِّكر المحفوظ من التحريف رسالة الله الواحدُ القهار إلى كافة البشر.

ويا معشر الأنصار، فليستمر التبليغ إلى كافة مُفتي الديار ومواقع خطباء المُنابر وكافة المواقع الإسلاميّة العالميّة باكتساحٍ شديدٍ معذرة إلى ربِّكم ولعلّهم يتّقون، وقد أقسم الله بالمُلقيات ذكراً عُذراً أو نُذراً تكريماً لهم من ربهم في كُلّ زمانٍ ومكانٍ. تصديقاً لقول الله تعالى:
{فَالْمُلْقِيَاتِ ذِكْرًا ﴿5﴾ عُذْرًا أَوْ نُذْرًا ﴿6﴾} صدق الله العظيم [المرسلات].

وتصديقاً لقول الله تعالى:
{وَالْمُرْسَلَاتِ عُرْفًا ﴿1﴾ فَالْعَاصِفَاتِ عَصْفًا ﴿2﴾ وَالنَّاشِرَاتِ نَشْرًا ﴿3فَالْفَارِقَاتِ فَرْقًا ﴿4﴾ فَالْمُلْقِيَاتِ ذِكْرًا ﴿5﴾ عُذْرًا أَوْ نُذْرًا ﴿6﴾ إِنَّمَا تُوعَدُونَ لَوَاقِعٌ ﴿7﴾ فَإِذَا النُّجُومُ طُمِسَتْ ﴿8﴾ وَإِذَا السَّمَاءُ فُرِجَتْ ﴿9﴾ وَإِذَا الْجِبَالُ نُسِفَتْ ﴿10﴾ وَإِذَا الرُّسُلُ أُقِّتَتْ ﴿11﴾ لِأَيِّ يَوْمٍ أُجِّلَتْ ﴿12﴾ لِيَوْمِ الْفَصْلِ ﴿13﴾ وَمَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الْفَصْلِ ﴿14﴾ وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ ﴿15﴾} صدق الله العظيم [المرسلات].

وإلى البيان
{فَالْفَارِقَاتِ فَرْقًا}: وتلك هي الأنفس التي تُفرق بين الحقّ والباطل ومن ثمّ تلقي بالتبليغ للقرآن ذكراً للعالمين. تصديقاً لقول الله تعالى:{فَالْمُلْقِيَاتِ ذِكْرًا ﴿5﴾ عُذْرًا أَوْ نُذْرًا ﴿6﴾ إِنَّمَا تُوعَدُونَ لَوَاقِعٌ ﴿7﴾ فَإِذَا النُّجُومُ طُمِسَتْ ﴿8﴾ وَإِذَا السَّمَاءُ فُرِجَتْ ﴿9﴾ وَإِذَا الْجِبَالُ نُسِفَتْ ﴿10﴾ وَإِذَا الرُّسُلُ أُقِّتَتْ ﴿11﴾ لِأَيِّ يَوْمٍ أُجِّلَتْ ﴿12﴾ لِيَوْمِ الْفَصْلِ ﴿13﴾ وَمَا أَدْرَاكَ مَا يَوْمُ الْفَصْلِ ﴿14﴾ وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ ﴿15﴾} صدق الله العظيم.

فما هو البيان لقول الله تعالى:
{فَالْمُلْقِيَاتِ ذِكْرًا ﴿5﴾ عُذْرًا أَوْ نُذْرًا ﴿6﴾}: أي معذرةً إلى ربِّكم أنّكم بلَّغتم فأنذرتم الناس بذكر ربَّهم رسالة الله إليهم كافة نذيراً للبشر لمن شاء منهم أن يتقدّم أو يتأخر.

وسلامٌ على المُرسلين، والحمدُ لله ربّ العالمين..
أخو المؤمنين بالقرآن العظيم الإمام المهديّ؛ ناصر محمد اليماني.
_____________

اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..