الموضوع: Bayana Ya Al'Imam Al'Mahdi Kuhusu Pahala ilio Wazi Sahihi Ya Dhati Ya Allah Subhanahu Al'Akbar Ambae Ni Mkubwa Kuliko Malakut Ufalme Wote, Na Jibu Ju Ya Waulizaji Katika Ulimwengu..

النتائج 1 إلى 2 من 2
  1. افتراضي Bayana Ya Al'Imam Al'Mahdi Kuhusu Pahala ilio Wazi Sahihi Ya Dhati Ya Allah Subhanahu Al'Akbar Ambae Ni Mkubwa Kuliko Malakut Ufalme Wote, Na Jibu Ju Ya Waulizaji Katika Ulimwengu..

    Al'Imam Nasser Muhammad Al'Yamani
    الإمام ناصر محمد اليماني
    19 - ذو الحجة - 1435 هـ
    14 - 09 - 2014 مـ
    01:37 صباحاً
    ( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?t=19522

    ـــــــــــــــــــ


    بيان الإمام المهديّ للموقع المطلق لذات الله سبحانه الأكبر من ملكوته أجمعين، ورداً على السائلين في العالمين ..
    Bayana Ya Al'Imam Al'Mahdi Kuhusu Pahala ilio Wazi Sahihi Ya Dhati Ya Allah Subhanahu Al'Akbar Ambae Ni Mkubwa Kuliko Malakut Ufalme Wote, Na Jibu Ju Ya Waulizaji Katika Ulimwengu..


    Bismillah Al'Rahman Al'Rahim Na Sala Na Salam Ju Ya Wote Ma Nabi Wa Allah Na Mitume Wake Kutokana na Majini Na Binadamu Wote Kutoka Wakwanza Wao Mpaka Wa Mwisho Wao Muhammad Mtume Wa Allah Kwa Al'Quran Al3adhim Ujumbe Wa Allah Ulio Kusanya Na Uliotimia Kwa Makundi Mawili Na Ju Ya Wale Walio Amini Miongoni Mwao Katika Kila Zama Na Pahali Mpaka Siku Ya Dini, Ama Baada Ya Hapo..


    Na Ewe Ambae Unae uliza kuhusu Sehemu Alipo Allah Mola Mlezi Wa Ulimwengu, Basi Hakika Yeye Yuko Kwenye mbingu ya malakut ufalme wa juu, Eee hakika ya mbingu ya ufalme Malakut ya juu ni mbingu ya malakut ufalme ya pepo ambae upana wake ni upana wa mbingu na ardhi. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
    {أَأَمِنْتُمْ مَنْ فِي السَّمَاءِ أَنْ يَخْسِفَ بِكُمُ الأَرْضَ فَإِذَا هِيَ تَمُورُ ( 16 ) أَمْ أَمِنْتُمْ مَنْ فِي السَّمَاءِ أَنْ يُرْسِلَ عَلَيْكُمْ حَاصِبًا فَسَتَعْلَمُونَ كَيْفَ نَذِيرِ ( 17 )} صدق الله العظيم [الملك].
    Allah Ta3ala Asema:{ Mnadhani mko salama kwa alioko juu kuwa hatakudidimizeni kwenye ardhi, na tahamaki hiyo inatikisika (16) Au mnadhani mko salama kwa alioko juu ya kuwa Yeye hakupelekeeni kimbunga chenye changarawe? Mtajua vipi maonyo yangu (17)} Sadaqa Allah Al3adhim [Almulk].


    Na tunachunguza kutokana na hayo pahala Alipo Allah Sahihi inje ya malakut ufalme, Na inafinika ufalme malakut wa ulimwengu ni kitu kikubwa kabisa Amekiumba Allah Nayo ni sidratu'lmuntaha ambao inafinika malakut ufalme wote, Basi ilio chini yake ni viumbe va Allah na nyuma Yake Ni Mumba Wa Ufalme malakut Subhana Allah Mola Mlezi Wa Ulimwengu.


    Eee hakika Ya Sidrat ni sakafu ya malakut ufalme wa jannat al'naim, Nayo ni nukta ya ju hapo ndio mwisho wa kupanda, Nayo inawafinika viumbe kutomona Mola Mlezi Anae Abudiwa, Nayo ndio kitu kikubwa zaidi kabisa baina ya Alivoviumba Allah, Nayo hio yenyewe ndio Arshi Ya Mola Mlezi Subhanahu, Nayo ni kubwa kuliko ufalme wa malakut ya Janna ambae upana wake kama upana wa mbingu na ardhi kwakua Allah Amefanya Sidrat'almuntaha ni alama kuweko janna hapo kwake pamoja ya kwamba Janna upana wake ni upana wa mbingu na ardhi lakini janna iko kwa Sidrat'almuntaha kwajili ya sidat ni kubwa kuliko janna. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
    {وَالنَّجْمِ إِذَا هَوَىٰ (1) مَا ضَلَّ صَاحِبُكُمْ وَمَا غَوَىٰ (2) وَمَا يَنطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ (3) إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ (4) عَلَّمَهُ شَدِيدُ الْقُوَىٰ (5) ذُو مِرَّةٍ فَاسْتَوَىٰ (6) وَهُوَ بِالْأُفُقِ الْأَعْلَىٰ (7) ثُمَّ دَنَا فَتَدَلَّىٰ (8) فَكَانَ قَابَ قَوْسَيْنِ أَوْ أَدْنَىٰ (9) فَأَوْحَىٰ إِلَىٰ عَبْدِهِ مَا أَوْحَىٰ (10) مَا كَذَبَ الْفُؤَادُ مَا رَأَىٰ (11) أَفَتُمَارُونَهُ عَلَىٰ مَا يَرَىٰ (12) وَلَقَدْ رَآهُ نَزْلَةً أُخْرَىٰ (13) عِندَ سِدْرَةِ الْمُنتَهَىٰ (14) عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ (15) إِذْ يَغْشَى السِّدْرَةَ مَا يَغْشَىٰ (16) مَا زَاغَ الْبَصَرُ وَمَا طَغَىٰ (17) لَقَدْ رَأَىٰ مِنْ آيَاتِ رَبِّهِ الْكُبْرَىٰ (18)} صدق الله العظيم [النجم].
    Allah Ta3ala Asema: { Naapa kwa nyota inapo tua (1) Mwenzenu huyu hakupotea, wala hakukosea (2) Wala hatamki kwa matamanio (3) Hayakuwa haya ila ni ufunuo ulio funuliwa (4) Amemfundisha aliye mwingi wa nguvu (5) Mwenye kutua, akatulia (6) Naye yuko juu kabisa upeo wa macho (7) Kisha akakaribia na akateremka (8) Akawa ni kama baina ya mipinde miwili, au karibu zaidi (9) Akamfunulia mja wake (Mwenyezi Mungu) alicho mfunulia (10) Moyo haukusema uwongo alio yaona (11) Je! Mnabishana naye kwa aliyo yaona (12) Na akamwona mara nyingine (13) kwenye Sidrat'almuntaha (14) Karibu yake ndiyo ipo Bustani inayo kaliwa (15) palipo finika sidrat'almuntaha hicho kilicho ufunuika (16) Jicho halikuhanga
    ika wala halikuruka mpaka (17) Kwa yakini aliona katika Ishara kubwa kabisa za Mola wake Mlezi (18)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnajm].


    Basi ama kauli ya Allah Ta3ala:
    {وَلَقَدْ رَآهُ نَزْلَةً أُخْرَىٰ (13)}
    { Na akamwona mara nyingine (13)
    Anakusudia Kwamba Muhammad Mtume Wa Allah -Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam- Amemona Jibril Ju Yake Sala Na Salam mara nyingine lakini kwa sura zake za kimalaika kama alvo mumba Allah wala sio kama alivo mona kabla Mtu kabisa.


    Na ama kauli ya Allah Ta3ala:
    {عِندَ سِدْرَةِ الْمُنتَهَىٰ (14) عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ (15)}
    kwenye Sidrat'almuntaha (14) Karibu yake ndiyo ipo Bustani inayo kaliwa (15)}
    Na hivo wakati walipo fika mwisho wa kupanda Sidrat'almuntaha basi jibril alistawi ju yake sala na salam kurudi kwa sura zake za kimalaika akajibwaga kwa Mola Mlezi Wake Kumsujudia, Na hapo pahala alimona Muhammad Mtume Wa Allah ndugu yake jibril anageuka kustawi kua malaika mkubwaa Sana mwenye mbawa anajibwaga kwa Mola Mlezi Wake Kumsujudia, Basi maana ya kauli yake
    {نَزْلَةً أُخْرَىٰ}
    { mara nyingine }
    Yani kwa sura zake za kimalaika wala sio mtu kabisa kama alivo kua akimona kabla.


    Na Ama Kauli Ya Allah Ta3ala:
    {عِندَ سِدْرَةِ الْمُنتَهَىٰ}
    { kwenye Sidrat'almuntaha }
    Na hio Sidrat ni hijabu ya Mola Mlezi kwakua nayo inawafinika viumbe kutomona Mola Mlezi Anae Abudiwa Wazi Wazi.


    Na kuhusu Alivo Sifu Allah kwa Sidrat kwamba ni muntaha kwakua ni mwisho wa kupanda kwa waja na nyuma yake ni Mola Anae Abudiwa.


    Na ama Kusifu Allah Kwenye Kauli yake Ta3ala:
    {عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ (15)}
    { Karibu yake ndiyo ipo Bustani inayo kaliwa (15)}
    Na hivo ili mujuwe uwadhimu wa ukubwa wake na kwamba ni kubwa kuliko malakut ufalme wa pepo ambao upana wake ni upana wa mbingu na ardhi,
    Na kwajili ya hivo Amesema Allah Ta3ala:
    {عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ (15)}
    { Karibu yake ndiyo ipo Bustani inayo kaliwa (15)}
    Na hivo kwajili ni kubwa kuliko Janna kwajili ya hivo Amesifu Allah pahala pa janna kwa Alama kubwa zaidi kuliko Janna nayo ni sidrat Akasema Allah Ta3ala:
    {عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ (15)}
    صدق الله العظيم.
    { Karibu yake ndiyo ipo Bustani inayo kaliwa (15)} Sadaqa Allah Al3adhim,
    Yani iko kwa Sidrat Kwakua nayo ndio alama kubwa zaidi, Na je inasihi kwamba isemekane jabali fulani iko kwa nyumba fulani? Bali usawa sahihi ni tuseme nyumba fulani iko kwa jabali fulani kwakua jabali ni kubwa kuliko nyumba kwajili ya hivo jabali hatimai itakua alama yakulekeza kukujulisha sehemu ya nyumba, Na hivo hivo sidrat almuntaha mmea ambao ni mkubwa zaidi Ameifanya Allah ni alama kujulisha sehemu ilipo Janna ambao upana wake upana wa mbingu na ardhi, Pamoja ya upana wa Janna. Amesema Allah Ta3ala:
    {عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ (15)}
    صدق الله العظيم،
    { Karibu yake ndiyo ipo Bustani inayo kaliwa (15)} Sadaqa Allah Al3adhim,
    Kwajili Sidrat ilio barikiaa ni Kubwa Kuliko Janna.

    Na ama kauli Ya Allah Ta3ala:
    {إِذْ يَغْشَى السِّدْرَةَ مَا يَغْشَىٰ (16)}
    { palipo finika sidrat'almuntaha hicho kilicho ufunuika (16)}
    Yani Kilicho ufunuika kutokana na Nur Ya Dhati Ya Allah Subhanahu Ametukuka Nur Ya Mbingu na Ardhi.


    Na ama kauli Ya Allah Ta3ala:
    {مَا زَاغَ الْبَصَرُ وَمَا طَغَىٰ (17) لَقَدْ رَأَىٰ مِنْ آيَاتِ رَبِّهِ الْكُبْرَىٰ (18)}
    صدق الله العظيم.
    { Jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka (17) Kwa yakini aliona katika Ishara kubwa kabisa za Mola wake Mlezi (18)} Sadaqa Allah Al3adhim,
    Yani Macho ya Muhammad Mtume Wa Allah -Sala Allahu Aleyhi Wa Alihi Wa Salam- halikuhangaika wala halikuruka mipaka kwa kauli sio ya haki ambao ameona katika ma ishara za Mola Mlezi Wake Kuu kwenye ufalme wa ju, Na ile kitu kubwa kiliona macho yake ni sidrat almuntaha ni katika ishara za Mola Mlezi Wake Kuu, Eee hakika ya sidrat almuntaha ni hijab ya Mola Mlezi Asili yake imekita na viongo vage viko mbinguni inatoa matunda yake kila wakati kwa idhini ya Mola Mlezi wake, Eee hakika nayo haiko mashariki wala magharibi kwakua inafinika mashariki ya ufalme wote na magharibi yake, Na hivo hivo Dhati Ya Allah Subhanahu Ametukuka Haiko Mashariki Wala Magharibi Kwakua Anafinika Ufalme Wote, Kus


    adikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
    {وَلِلَّهِ الْمَشْرِقُ وَالْمَغْرِبُ ۚ فَأَيْنَمَا تُوَلُّوا فَثَمَّ وَجْهُ اللَّهِ ۚ إِنَّ اللَّهَ وَاسِعٌ عَلِيمٌ (115)} صدق الله العظيم [البقرة].
    Allah Ta3ala Asema: { Na mashariki na magharibi ni za Mwenyezi Mungu. Basi kokote mnako elekea, huko Mwenyezi Mungu yupo. Hakika Mwenyezi Mungu ni mwenye wasaa na Mjuzi (115)} Sadaqa Allah Al3adhim [Albaqara].


    Eee hakika ya dhati ya Allah Amestawi Ju Ya Arshi Yake Kuu Yeye Ni Mkubwa Kuliko Arshi Yake Kuu ispokua Arshi yenyewe ni hijab pazia ya Mola Mlezi, Na kwavile hijab pazia nayo ni kubwa kuliko ufalme wote kwajili ya hivo inafinika kila kilioko kwenye ufalme kutomona Mola Mlezi Wa Ufalme Subhanahu Wa Ta3ala 3uluwan Kabiran!


    Na ewe ambae unae'uliza, Usiende mbio kutaka kutatiza kwa suali basi hutoweza kumtatiza Al'Imam Al'Mahdi Kwa idhini Ya Allah utakavo uliza kuhusu ma Aya Ya Kitabu, Lakini Usiende mbio kutatiza kwa ma suali ili usifitini nafsi yako na ukafitini watu wengine, KwaKua Sababu ya kurtadi baadhi ya wafwasi wa ma Nabi kukufuru kwajili uwingi wa ma suali yao kwa ma Nabi wa Allah alafu wanawajibu ju yao kwa haki kutoka kwa Allah alafu wanakufuru ispokua walio rehemewa na Mola Mlezi Wangu, Kusadikisha Kwa Kauli Ya Allah Ta3ala:
    {يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَسْأَلُوا عَنْ أَشْيَاءَ إِن تُبْدَ لَكُمْ تَسُؤْكُمْ وَإِن تَسْأَلُوا عَنْهَا حِينَ يُنَزَّلُ الْقُرْآنُ تُبْدَ لَكُمْ عَفَا اللَّـهُ عَنْهَا ۗ وَاللَّـهُ غَفُورٌ حَلِيمٌ ﴿١٠١﴾قَدْ سَأَلَهَا قَوْمٌ مِّن قَبْلِكُمْ ثُمَّ أَصْبَحُوا بِهَا كَافِرِينَ ﴿١٠٢﴾} صدق الله العظيم [المائدة].
    Allah Ta3ala Asema: { Enyi mlio amini! Msiulize mambo ambayo mkidhihirishiwa yatakuchukizeni. Na mkiyauliza inapo teremshwa Qur'ani mtabainishiwa. Mwenyezi Mungu amesamehe hayo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira Mpole (101) Waliyauliza hayo watu wa kabla yenu, kisha wakawa wenye kuyakataa (102)} Sadaqa Allah Al3adhim [Almaida].


    Basi kua katika miongoni mwa wanao shukuru ewe mpendwa wangu kwa Allah pindi Amekukadiria Allah kuweko kwako kwenye zama za kutumilizwa Al'Imam Al'Mahdi Mwenye ilimu ya Kitabu ambae hamujuwi kadara yake wala hamuna habari kwa siri yake na munamkejeli jambo lake, Na wala haikua kwenu kwamba mumchaguwe khalifa wa Allah Al'Imam Al'Mahdi pasi na Yeye; Bali jambo ni la Allah Amteuwa Amtakae na Anachagua. Kusadikisha Kauli Ya Allah Ta3ala:
    {وَرَبُّكَ يَخْلُقُ مَا يَشَاءُ وَيَخْتَارُ مَا كَانَ لَهُمُ الْخِيَرَةُ سُبْحَانَ اللَّهِ وَتَعَالَى عَمَّا يُشْرِكُونَ (68) وَرَبُّكَ يَعْلَمُ مَا تُكِنُّ صُدُورُهُمْ وَمَا يُعْلِنُونَ (69) وَهُوَ اللَّهُ لَا إِلَهَ إِلَّا هُوَ لَهُ الْحَمْدُ فِي الْأُولَى وَالْآخِرَةِ وَلَهُ الْحُكْمُ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ (70)} صدق الله العظيم [القصص].
    Allah Ta3ala Asema: { Na Mola wako Mlezi huumba na huteuwa atakavyo. Viumbe hawana khiari. Mwenyezi Mungu ametukuka na ametakasika na hao wanao washirikisha naye (68) Na Mola wako Mlezi anayajua yaliyo ficha vifua vyao, na wanayo yatangaza (69) Naye ni Mwenyezi Mungu ambaye hapana mungu isipo kuwa Yeye. Sifa zote njema ni zake Yeye, mwanzo na mwisho. Na hukumu ni yake Yeye. Na kwake Yeye mtarejeshwa (70)} Sadaqa Allah Al3adhim [ Alqasas].


    Basi haitakiwi kwenu kwamba muwateuwe ma Nabi na Ma Imamu wa Kitabu pasi na Allah; Bali Allah ndio Anawateua katika umma zao kwa kadara ilio kadiriwa katika kitabu kilio andikwa ndio Anawazidisha ma imamu wa kitabu ju yenu zaidi ukunjufu katika ilimu kwenye uhai wao na nguvu katika mwili baada mauti yao basi haiwi mwili yao baada kufa kwao uyusi unao nuka wala mifupa inayo mumunyika ili iwe hio ni ishara tena kwenu baada kufa kwao ili mushikilie kwa yale walio yawacha kwenu katika ilimu, Ama wadhani kwamba Al'Imam Al'Mahdi Anamtumiliza Allah Na yeye amejifunza kwa wanazuoni wenu? Haihat haihat! Kwahivo vipi ataweza kuhukumu baina yenu kwa yale mulikua munakhitilifiana lau ingekua kama munavo dai amejifunza kwenye mikono ya wanazuoni wenu! Hivi hamutafakari? Na nani huyu ambae anasema amesmamia mafunzo kumsomesha Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad kwa ilimu ya Dini? Wala maisha yangu hata siku moja nimekua mwanafunzi wa ilimu kwa moja katika ma shekhe wa wais


    lamu wala makasisi wa wakristo wala ma ruhbani wa ma yahudi; bali Allah ndio Alio nichagua kuniteuwa Na Akanifundisha Bayana Ya Haki Ya Al'Quran Al3adhim kwa wa7hi wa kufahamisha kwa utawala wa ilimu kutoka kwa muhakam ilio wazi maana yake Al'Quran Al3adhim wala sio waswasi wa shetani rajim; Bali ni kwa kufahamishwa kutoka kwa Mola Mlezi Mpaka Kwa Moyo Basi Ananikumbusha Kwa utawala wa ilimu katika muhakam ilio wazi maana yake kitabu Cha Al'Quran Al3adhim, Wala Hajanitumiliza Allah Kwa Wa7hyu mpya; Bali niwafundishe Bayana Ya Haki ya Al'Quran Al'Majid na tuwaongoze watu na tuwaongoze watu nayo kwenye njia ya Al3aziz Al'Hamid.


    Na hio imefika umri wa ulinganizi wa kimahdia ya kilimwengu kwenye kuingia kumalizika mwaka wa kumi na wanazuoni wa waislamu hawajaitika ulinganizi wa kuhukumiwa kwenye kitabu Cha Allah Al'Quran Al3adhim ili tuhukumu baina yao kwa yale wanakhitilifiana kwenye dini yao kwa hukmu ya Allah kwa mantik ya haki, Niwachunguzie wao kutoka kwa muhakam ya kitabu Cha Allah Al'Quran Al3adhim hukumu ya Allah baina yao kwa yale wanao khitilifiana ndani yake kwenye dini yao wala sio kwa kauli ya dhana ambao haisaidi mbele ya haki kitu; Bali nawabomoa kwa utawala wa ilimu kuwabomoa ikiwa nyinyi muna'amini kwa Kitabu Cha Allah Al'Quran Al3adhim Ambao mumeifanya ya kuhamwa kwa kutadabari katika aya zake,Na hawakumbuki ila wenye akili, Basi mcheni Allah na mwitikie ulinganizi wa kuhukumiwa kwa kitabu Cha Allah kilio hivadhiwa kutokana na kuherufishwa ujumbe wa Allah ilio kusanya vitabu vote ndani yake inao kumbukumbu yenu na kumbukumbu ya wale kabla yenu na habari zenu na habari ya wale watakao kua baada yenu ujumbe wa Allah kwa makundi mawili binadamu wenu na ma jini wenu, Basi mcheni Allah na munitii huwenda mukaongoka.


    Na enyi ma3ashara Al'anssar walio tangulia walio bora musivunjike moyo wala musiwe wanyonge kutokana na ulinganizi kwa Allah Na kumnusuru Khalifa Wake, Na mukumbuke neema Ya Allah juu yenu vipi Alivo Ameunganisha Baina ya nyoyo zenu mukawa kwa neema yake ndugu na haswa waja wa Neema Kuu Abid Al'Na3im Ala3dham Miongoni mwenu walio takasika zaidi kuliko binadamu wote na Wabora katika viumbe, Kaumu Anawapenda Allah Na Wanampenda, Na kuweni wenye kushukuru na mukumbuke lengo lenu ambalo mwenda mbio ili kulitimiza Neema Ya Ridhwan Allah ju ya waja wake ni neema kuu kuliko neema ya pepo Yake, Kusadikisha kauli ya Allah Ta3ala:
    {وَعَدَ اللَّهُ الْمُؤْمِنِينَ وَالْمُؤْمِنَاتِ جَنَّاتٍ تَجْرِي مِنْ تَحْتِهَا الأَنْهَارُ خَالِدِينَ فِيهَا وَمَسَاكِنَ طَيِّبَةً فِي جَنَّاتِ عَدْنٍ وَرِضْوَانٌ مِنَ اللَّهِ أَكْبَرُ ذَلِكَ هُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ (72)} صدق الله العظيم [التوبة].
    Allah Ta3ala Asema: { Mwenyezi Mungu amewaahidi Waumini wanaume na Waumini wanawake Bustani zipitazo mito kati yake, wadumu humo. Na makaazi mema katika Bustani za kudumu, na Radhi za Mwenyezi Mungu ndio kubwa kuliko yote. Huko ndiko kufuzu kukubwa (72)} Sadaqa Allah Al3adhim [Altawuba].


    Na mujuwe kwamba Allah Haridhiki Ndani Ya Nafsi Yake Mpaka Awaingize waja Wake Ndani Ya Rahma Yake Ndio Aridhike, Na Wala Hatoridhika mpaka wawe waja Wake wawe ni wenye kushkuru kwakua Allah Anaridhika kwa waja Wake Kushkuru na Wala Haridhiki kwao wakukufuru, Na Sisi tunaenda mbio ili litimu kupatikane Ridhwan Ya Allah ju ya waja Wake tuwafanye watu umma moja ju ya njia ilio nyoka ispokua alio kata Rahma Ya Allah baada ilipo bainika kwao kua ni haki; Hawo katika kinacho tembe na kuruka ni Washari katika Kitabu kuni za jahanam ndio mashukio yao.


    Na muna jambo gani enye ma3ashara ya ma anssar ikisha tu Ramadhani ispokua mumefanya uvivu na kusikitika na kuto endele kulingania kwa Allah na kumnusuru Khalifa Wake ila walio rehemewa Na Mola Mlezi wangu katika waja wa Neema Kuu Abid'Alna3im Al'A3dham? Na je munawatakia haraka adhabu watu? Kwahivo ikowapi lengo lenu, Si mwataka Kwa Allah Awafanye watu umma moja ju ya njia ilio nyoka ili Aridhike? Kwahivo musiharakishe adhabu na mutamani kutoka kwa Allah Awape Fursa kwajili ya uwongofu wa umma wenu, Hivi hamuoni kua wao kila siku wanapungua, Na ma anssar wa Al'Imam Al'Mahdi Kila siku wanazidi? Mpaka Amt


    imizie Allah kwa mja Wake Nuru Yake hata kama watachukia wahalifu kudhihiri kwake.


    Na Salam Ju Ya Mitume, Na Al'Hamdulillah Rabil3alamin..
    Ndugu Yenu; Al'Imam Al'Mahdi Nasser Muhammad Al'Yamani.
    وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله رب العالمين..
    أخوكم؛ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
    _______



    اقتباس المشاركة 158636 من موضوع بيان الإمام المهدي للموقع المطلق لذات الله سبحانه الأكبر من ملكوته أجمعين، ورداً على السائلين في العالمين..

    [ لمتابعة رابط المشاركة الأصليّة للبيـان ]
    https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=158625

    الإمام ناصر محمد اليماني

    19 - ذو القعدة - 1435 هـ
    14 - 09 - 2014 مـ
    01:37 صباحاً
    ( بحسب التقويم الرسمي لأمّ القرى )
    ـــــــــــــــــــ


    بيان الإمام المهديّ للموقع المطلق لذات الله سبحانه الأكبر من ملكوته أجمعين، ورداً على السائلين في العالمين ..

    بسم الله الرحمن الرحيم والصلاة والسلام على كافة أنبياء الله ورسله من الجنّ والإنس أجمعين من أولهم إلى خاتمهم محمد رسول الله بالقرآن العظيم رسالة الله الجامعة والشاملة إلى الثقلين وعلى من آمن منهم في كلّ زمانٍ ومكانٍ إلى يوم الدين، أمّا بعد..

    ويا أيّها السائل عن مكان الله ربّ العالمين، فإنه في سماء الملكوت الأعلى، ألا وإنّ سماء الملكوت الأعلى هي سماء ملكوت الجنّة التي عرضها السموات والأرض. تصديقاً لقول الله تعالى: {أَأَمِنْتُمْ مَنْ فِي السَّمَاءِ أَنْ يَخْسِفَ بِكُمُ الأَرْضَ فَإِذَا هِيَ تَمُورُ ( 16 ) أَمْ أَمِنْتُمْ مَنْ فِي السَّمَاءِ أَنْ يُرْسِلَ عَلَيْكُمْ حَاصِبًا فَسَتَعْلَمُونَ كَيْفَ نَذِيرِ ( 17 )} صدق الله العظيم [الملك].

    فنستنبط من ذلك مكان الله المطلق خارج الملكوت، ويحيط بالملكوت أكبرُ شيءٍ خلقه الله وهي سدرة المنتهى التي تحيط بالملكوت كله، فما دونها خلق الله ومن وراءها خالق الملكوت سبحانه الله ربّ العالمين.

    ألا وإنّ السدرة هي سقف ملكوت جنّات النّعيم، وهي نقطة انتهاء المعراج، وهي تحجب العبيد عن رؤية الربّ المعبود، وهي أكبر شيءٍ خلقه الله، وهي ذاتها عرش الربّ سبحانه، وهي أكبر من ملكوت الجنة التي عرضها كعرض السماوات والأرض لكون الله جعل سدرة المنتهى علامةً لوجود الجنة عندها برغم أنّ الجنة عرضها كعرض السماوات والأرض ولكن الجنة عند سدرة المنتهى لأنّ السدرة أكبر من الجنة. تصديقاً لقول الله تعالى: {وَالنَّجْمِ إِذَا هَوَىٰ (1) مَا ضَلَّ صَاحِبُكُمْ وَمَا غَوَىٰ (2) وَمَا يَنطِقُ عَنِ الْهَوَىٰ (3) إِنْ هُوَ إِلَّا وَحْيٌ يُوحَىٰ (4) عَلَّمَهُ شَدِيدُ الْقُوَىٰ (5) ذُو مِرَّةٍ فَاسْتَوَىٰ (6) وَهُوَ بِالْأُفُقِ الْأَعْلَىٰ (7) ثُمَّ دَنَا فَتَدَلَّىٰ (8) فَكَانَ قَابَ قَوْسَيْنِ أَوْ أَدْنَىٰ (9) فَأَوْحَىٰ إِلَىٰ عَبْدِهِ مَا أَوْحَىٰ (10) مَا كَذَبَ الْفُؤَادُ مَا رَأَىٰ (11) أَفَتُمَارُونَهُ عَلَىٰ مَا يَرَىٰ (12) وَلَقَدْ رَآهُ نَزْلَةً أُخْرَىٰ (13) عِندَ سِدْرَةِ الْمُنتَهَىٰ (14) عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ (15) إِذْ يَغْشَى السِّدْرَةَ مَا يَغْشَىٰ (16) مَا زَاغَ الْبَصَرُ وَمَا طَغَىٰ (17) لَقَدْ رَأَىٰ مِنْ آيَاتِ رَبِّهِ الْكُبْرَىٰ (18)} صدق الله العظيم [النجم].

    فأمّا قول الله تعالى: {وَلَقَدْ رَآهُ نَزْلَةً أُخْرَىٰ (13)} فيقصد أنّ محمداً رسول الله -صلى الله عليه وآله وسلم- شاهد جبريل عليه الصلاة والسلام نزلةً أخرى ولكن بصورته الملائكيّة كما خلقه الله وليس كما يراه من قبل بشراً سوياً.

    وأما قول الله تعالى: {عِندَ سِدْرَةِ الْمُنتَهَىٰ (14) عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ (15)} وذلك حين وصلا إلى منتهى المعراج سدرة المنتهى فاستوى جبريل عليه الصلاة والسلام عائداً إلى صورته الملائكيّة فخرَّ لربه ساجداً، وفي هذا المكان شاهد محمدٌ رسول الله أخاه جبريل يستوي إلى مَلَكٍ عظيمٍ ذي أجنحةٍ يخرُّ لربه ساجداً. فمعنى قوله {نَزْلَةً أُخْرَىٰ} أي بصورته الملائكية وليس بشراً سوياً كما يراه من قبل.

    وأما قول الله تعالى: {عِندَ سِدْرَةِ الْمُنتَهَىٰ} وتلك السدرة حجاب الربّ لكونها تحجب العبيد عن رؤية الربّ المعبود جهرةً.

    وأما وصف الله للسدرة بالمنتهى لكونها منتهى المعراج للعبيد وما وراءها الربّ المعبود
    .

    وأما وصف الله لها بقوله تعالى {عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ (15)} وذلك لكي تعلموا عظيم حجمها وأنّها أكبر من ملكوت الجنة التي عرضها السماوات والأرض، ولذلك قال الله تعالى: {عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ (15)} ، وذلك لأنّها أكبر من الجنّة ولذلك وصف الله موقع الجنة بالعلامة الأكبر من الجنة وهي السدرة فقال الله تعالى: {عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ (15)} صدق الله العظيم. أي عند السدرة لكونها العلامة الأكبر، فهل يصحّ أن يقال الجبل الفلاني عند بيت فلان؟ بل الصحيح أن نقول بيت فلانٍ عند الجبل الفلاني لكون الجبل هو أكبر من البيت ولذلك الجبل حتماً يكون علامةً دالةً على موقع البيت، وكذلك سدرة المنتهى الشجرة الكبرى جعلها الله علامةً لموقع الجنة التي عرضها السماوات والأرض، ورغم كبر حجم الجنة. قال الله تعالى: {عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ (15)} صدق الله العظيم، لأن السدرة المباركة هي أكبر من الجنة.

    وأما قول الله تعالى: {إِذْ يَغْشَى السِّدْرَةَ مَا يَغْشَىٰ (16)} أي ما يغشاها من نور ذات الله سبحانه نور السماوات والأرض.

    وأما قول الله تعالى: {مَا زَاغَ الْبَصَرُ وَمَا طَغَىٰ (17) لَقَدْ رَأَىٰ مِنْ آيَاتِ رَبِّهِ الْكُبْرَىٰ (18)} صدق الله العظيم. أي بصر محمدٍ رسول الله -صلى الله عليه وآله وسلم- ما زاغ وما طغى بقول غير الحقّ الذي شاهد من آيات ربه الكبرى بالملكوت الأعلى، وأكبر ما شاهد بصرُه سدرةَ المنتهى من آيات ربه الكبرى، ألا وإنّ سدرة المنتهى حجاب الربّ أصلها ثابت وفرعها في السماء تؤتي أكلها كل حينٍ بإذن ربها، ألا وإنّها لا شرقية ولا غربية لكونها تحيط بمشرق الملكوت ومغربه، وكذلك ذات الله سبحانه لا شرقيٌّ ولا غربيٌّ لكونه يحيط بالملكوت كله. تصديقاً لقول الله تعالى: {وَلِلَّهِ الْمَشْرِقُ وَالْمَغْرِبُ ۚ فَأَيْنَمَا تُوَلُّوا فَثَمَّ وَجْهُ اللَّهِ ۚ إِنَّ اللَّهَ وَاسِعٌ عَلِيمٌ (115)} صدق الله العظيم [البقرة].

    ألا وإنّ ذات الله المستوي على عرشه العظيم هو أكبر من عرشه العظيم وإنّما العرش هو ذاته حجاب الربّ، وبما أنّ الحجاب هو أكبر من الملكوت كله ولذلك يحجب ما في الملكوت عن رؤية ربّ الملكوت سبحانه وتعالى علواً كبيراً!

    ويا أيّها السائل، لا تسعى معاجزاً بالسؤال فلن تُعجِز الإمام المهديّ بإذن الله مهما سألتَ عن آيات الكتاب، ولكن لا تسعى معاجزاً بالأسئلة حتى لا تفتن نفسك وتفتن قوماً آخرين، لكون سبب ارتداد بعض أتباع الأنبياء إلى الكفر كثرة أسئلتهم لأنبياء الله فمن ثم يجيبون عليهم بالحقّ من عند الله فمن ثم يكفرون إلا من رحم ربي. تصديقاً لقول الله تعالى: {يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَسْأَلُوا عَنْ أَشْيَاءَ إِن تُبْدَ لَكُمْ تَسُؤْكُمْ وَإِن تَسْأَلُوا عَنْهَا حِينَ يُنَزَّلُ الْقُرْآنُ تُبْدَ لَكُمْ عَفَا اللَّـهُ عَنْهَا ۗ وَاللَّـهُ غَفُورٌ حَلِيمٌ ﴿١٠١﴾قَدْ سَأَلَهَا قَوْمٌ مِّن قَبْلِكُمْ ثُمَّ أَصْبَحُوا بِهَا كَافِرِينَ ﴿١٠٢﴾} صدق الله العظيم [المائدة].

    فكن من الشاكرين حبيبي في الله إذ قدّر الله وجودك في زمن بعث الإمام المهديّ صاحب علم الكتاب الذي تجهلون قدره ولا تحيطون بسره وتحقرون من شأنه، وما كان لكم أن تصطفوا خليفة الله الإمام المهديّ من دونه؛ بل الأمر لله يصطفي من يشاء ويختار. تصديقاً لقول الله تعالى: {وَرَبُّكَ يَخْلُقُ مَا يَشَاءُ وَيَخْتَارُ مَا كَانَ لَهُمُ الْخِيَرَةُ سُبْحَانَ اللَّهِ وَتَعَالَى عَمَّا يُشْرِكُونَ (68) وَرَبُّكَ يَعْلَمُ مَا تُكِنُّ صُدُورُهُمْ وَمَا يُعْلِنُونَ (69) وَهُوَ اللَّهُ لَا إِلَهَ إِلَّا هُوَ لَهُ الْحَمْدُ فِي الْأُولَى وَالْآخِرَةِ وَلَهُ الْحُكْمُ وَإِلَيْهِ تُرْجَعُونَ (70)} صدق الله العظيم [القصص].

    فلا ينبغي لكم أن تصطفوا الأنبياء وأئمة الكتاب من دون الله؛ بل الله من يصطفيهم في أممهم بقدرٍ مقدورٍ في الكتاب المسطور فيزيد أئمة الكتاب عليكم بسطةً في العلم في حياتهم وبسطةً في الجسم من بعد موتهم فلا تكون أجسادهم من بعد موتهم جيفةً قذرةً ولا عظاماً نخرةً لتكون تلك آية أيضاً لكم من بعد موتهم حتى تتمسكوا بما تركوه لكم من العلم، أم تظنّ الإمام المهديّ يبعثه الله وقد تتلمذ على أيدي علمائكم؟ هيهات هيهات! إذاً فكيف يستطيع أن يحكم بينكم فيما كنتم فيه تختلفون لو كان كما تزعمون قد تتلمذ على أيدي علمائكم! أفلا تتفكرون؟ ومن ذا الذي يقول أنه تولّى تعليم الإمام المهديّ المنتظر ناصر محمد بعلوم الدين؟ وما عمري يوماً كنت طالب علمٍ عند أحد مشايخ المسلمين ولا رهبان النّصارى ولا أحبار اليهود؛ بل الله من اصطفاني وعلّمني البيان الحقّ للقرآن العظيم بوحي التفهيم بسلطان العلم من محكم القرآن العظيم وليس وسوسة شيطانٍ رجيمٍ؛ بل بالتفهيم من الربّ إلى القلب فيذكِّرني بسلطان العلم في محكم الكتاب القرآن العظيم، ولم يبعثني الله بوحيٍ جديدٍ؛ بل لنعلمكم بالبيان الحقّ للقرآن المجيد ونهدي الناس به إلى صراط العزيز الحميد.

    وها قد وصل عمر الدعوة المهديّة العالميّة إلى مشارف نهاية العام العاشر وعلماء المسلمين لم يجيبوا دعوة الاحتكام إلى كتاب الله القرآن العظيم لنحكم بينهم فيما كانوا فيه يختلفون في دينهم بحكم الله بالمنطق الحقّ، فأستنبط لهم من محكم كتاب الله القرآن العظيم حكم الله بينهم فيما كانوا فيه يختلفون في دينهم وليس بقول الظنّ الذي لا يغني من الحقّ شيئاً؛ بل نلجمكم بسلطان العلم إلجاماً إن كنتم مؤمنين بكتاب الله القرآن العظيم الذي اتخذتموه مهجوراً من التدبر في آياته، وما يذكر إلا أولو الألباب، فاتقوا الله وأجيبوا دعوة الاحتكام إلى الكتاب المحفوظ من التحريف رسالة الله الجامعة لكل الكتب فيه ذكركم وذكر من كان قبلكم وخبركم وخبر ما كان بعدكم رسالة الله إلى الثقلين إنسكم وجنِّكم، فاتّقوا الله وأطيعوني لعلكم ترحمون.

    ويا معشر الأنصار السابقين الأخيار لا تهنوا ولا تستكينوا من الدعوة إلى الله ونصرة خليفته، وتذكّروا نعمة الله عليكم كيف ألّف بين قلوبكم فأصبحتم بنعمة الله إخواناً وخصوصاً عبيد النعيم الأعظم منكم صفوة البشريّة وخير البريّة؛ قوم يحبهم الله ويحبونه. وكونوا من الشاكرين وتذكروا هدفكم الذي تسعون لتحقيقه نعيم رضوان الله على عباده النّعيم الأكبر من نعيم جنته. تصديقاً لقول الله تعالى: {وَعَدَ اللَّهُ الْمُؤْمِنِينَ وَالْمُؤْمِنَاتِ جَنَّاتٍ تَجْرِي مِنْ تَحْتِهَا الأَنْهَارُ خَالِدِينَ فِيهَا وَمَسَاكِنَ طَيِّبَةً فِي جَنَّاتِ عَدْنٍ وَرِضْوَانٌ مِنَ اللَّهِ أَكْبَرُ ذَلِكَ هُوَ الْفَوْزُ الْعَظِيمُ (72)} صدق الله العظيم [التوبة].

    واعلموا أنّ الله لا يرضى في نفسه حتى يُدخل عباده في رحمته فيرضى، ولن يرضى الله حتى يكون عباده شاكرين لكون الله يرضى لعباده الشكر ولا يرضى لهم الكفر، فنحن نسعى لتحقيق رضوان الله على عباده لنجعل الناس أمةً واحدةً على صراطٍ مستقيمٍ إلا من أبى رحمةَ الله من بعد ما تبيّن لهم أنّه الحق؛ أولئك أشر الدواب في الكتاب حصب جهنم هم لها واردون.

    فما خطبكم يا معشر الأنصار ما إن انقضى رمضان إلا ووهنتم واستكنتم عن الدعوة إلى الله ونصرة خليفته إلا من رحم ربي من عبيد النعيم الأعظم؟ فهل تستعجلون العذاب للناس؟ إذاً فأين هدفكم، ألستم تريدون من الله أن يجعل الناس أمةً واحدةً على صراطٍ مستقيمٍ ليرضى؟ إذاً فلا تستعجلوا العذاب وتمنّوا من الله أن يعطيكم الفرصة لهداية أمّتكم. ألا ترون أنّهم كل يومٍ في تناقصٍ وأنصار الإمام المهديّ كلّ يومٍ في تزايدٍ؟ حتى يتمّ الله بعبده نوره ولو كره المجرمون ظهوره.

    وسلامٌ على المرسلين، والحمد لله رب العالمين..
    أخوكم؛ الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني.
    ____________

    اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..
    كُفيــتَ يا قلـــبُ بالنّعيـم تَقربــاً وما كانَ للقلب عن حبّه لَيحيدُ
    وَكلّما مالَت شغافُ القلبِ للدُّنيا كانَ الوريدُ إلى الحَبيب مُريدُ

  2. افتراضي

    جزاكم الله من نعيم رضوانه إخوتي الكرام
    وأسأل الله أن يبارك في أجر أخينا المترجم فوزي ويجزيه من نعيم رضوانه
    كُفيــتَ يا قلـــبُ بالنّعيـم تَقربــاً وما كانَ للقلب عن حبّه لَيحيدُ
    وَكلّما مالَت شغافُ القلبِ للدُّنيا كانَ الوريدُ إلى الحَبيب مُريدُ

المواضيع المتشابهه
  1. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 17-08-2020, 05:37 PM
  2. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 19-04-2020, 11:11 PM
  3. Kukumbusha Kwa Bayana Fupi Kwa Yule Ambae Ni Katika Wanao Ona walioko Katika Sehemu Tafauti Katika Ulimwengu ..
    بواسطة زينة الإسلام (فارسة الحق) في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 12-12-2018, 11:05 PM
  4. Bayana Ya Ushuhuda Kwa Kutumilizwa Al'Mahdi Al'Muntadhar Katika Muhakam ilio wazi Maana Yake Al'Quran ..
    بواسطة زينة الإسلام (فارسة الحق) في المنتدى Swahili
    مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 26-08-2018, 08:43 PM
  5. مشاركات: 0
    آخر مشاركة: 07-08-2018, 02:59 AM
ضوابط المشاركة
  • لا تستطيع إضافة مواضيع جديدة
  • لا تستطيع الرد على المواضيع
  • لا تستطيع إرفاق ملفات
  • لا تستطيع تعديل مشاركاتك
  •