“ Al’Imam Al’Mahdi Sio Katia Ma Qurani”


Al’Imam Nasser Muhammad Al’Yamani
الإمام ناصر محمد اليماني
20 - 08 - 1430 هـ
12 - 08 - 2009 مـ
11:10 مساءً
https://nasser-alyamani.org/showthread.php?p=5722

ــــــــــــــ

فهل تظنّ الإمام المهديّ قرآنيّ يا أخي الكريم؟ حاشا لله..
Na Jee Wadhani Kwamba Al’Imam Al’Mahdi Ni Katika Ma Qurani Ewe Ndugu Yangu Mkarimu? Hasha Kwa Allah..


Bismillah Al’Rahman Al’Rahim, Na Salam Juu Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabil3alamin..
Ndugu yangu Mkarimu, Na jee wadhani kwamba Al’Mahdi Nasser Muhammad Al’Yamani Ha’amini ila yale yalio kuja katika Al’Quran Al3adhim? Basi hakika uko katika walio kosa ikiwa uko hivo; Bali Niwalingania kwa Kitabu cha Allah na Sunna za Mtume wake wala sitafautishi baina ya kitabu cha Allah na Sunna za Mtume wake, Na Nasadiki kwa kitabu cha Allah na Sunna za Mtume wake, Na nimeshikilia kwa kitabu cha Allah na Sunna za Mtume wake, Na namini kwamba Sunna za Muhammad Mtume wa Allah hivo hivo zimekuja kutoka kwa Allah kama ilivo kuja hi Al’Quran Al3adhim, ispokua nakanusha yale ambao yamekhalifu kwa muhakam Al’Quran Al’3adhim katika Sunna Al’Nabawia, Basi Muna Nini hamufahamu kauli wala hata hamuko karibu kuongoka kwa njia? Eee Wallahi haongozi Allah kwenye haki yule ambae hatafuti haki na hataki ispokua haki, Ama wale ambao ni muajizun katika aya za Allah na murjifun wale ambao wanaenda mbio kutia shaka ulinganizi wa haki basi haitowazidisha Bayana ya haki ya Al’Quran ispokua rijsi juu ya rijsi yao, Wala sisemi wewe ni kati yao Na Allah ndio anae juwa yaliomo ndani ya nafsi zenu basi mujihadhari Nae.


Na Jee Wadhani kwamba Al’Imam Al’Mahdi Ni Katika Ma Qurani ewe ndugu yangu mkarimu? Hasha kwa Allah; Bali Nimeshikilia Kwa kitabu cha Allah Na Sunna Za Mtume wake pamoja zote ispokua yale nilio yapata yamekhalifu katika Muhakam ya Kitabu katika Sunna, Na alafu natupa ambazo zimekhalifu hukumu ya Allah nyuma ya Mngongo wangu, Na kila kitu kwa wakati wake,ispokua mimi ni hakimu baina yenu kwa yale munakhitilifiana ndani yake na nimeshikilia kitabu cha Allah na Sunna za Mtume Wake, Na Nakariri mimi hakika sikanushi katika Sunna Al’Nabawiya ispokua yalio khalifu katika Muhakam ilio wazi maana yake Al’Quran Al3adhim; Na hivo ni kwajili al’sunna Al’Nabawiya zimekuja kwajili izidishe Al’Quran Bayana na kuwadhihisha kwa waumini na wala haitakiwi kwa Bayana katika Sunna iwe itakhalifu kwa muhakam ilio wazi maana yakeAl’Quran Al3adhim, Na yoyote katika ma riwaya ama hadithi inakuja imekhalifu hukumu ya Allah katika kitabu basi nafwata hukumu ya Allah katika kitabu na natupa hukumu ya taghuti nyuma ya mngongo wangu, Na hivo ni kwajili mimi najua kwamba ma hadithi katika sunna Al’Nabawia zimekuja kutoka kwa Allah na zilio khalifu kwa muhakam Al’Quran katika Al Sunna basi nimejua kwamba zimekuja kutoka kwa taghut, Kusadikisha Kauli ya Allah Ta3ala:

{وَيَقُولُونَ طَاعَةٌ فَإِذَا بَرَزُوا مِنْ عِندِكَ بَيَّتَ طَائِفَةٌ مِّنْهُمْ غَيْرَ الَّذِي تَقُولُ ۖ وَاللَّهُ يَكْتُبُ مَا يُبَيِّتُونَ ۖ فَأَعْرِضْ عَنْهُمْ وَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّهِ ۚ وَكَفَىٰ بِاللَّهِ وَكِيلًا ﴿٨١﴾ أَفَلَا يَتَدَبَّرُونَ الْقُرْآنَ ۚ وَلَوْ كَانَ مِنْ عِندِ غَيْرِ اللَّهِ لَوَجَدُوا فِيهِ اخْتِلَافًا كَثِيرًا(82)}صدق الله العظيم [النساء].
Allah Ta3ala Asema:
{Na wanasema: Tunat'ii. Lakini wanapo toka kwako kundi moja miongoni mwao hupanga njama usiku kinyume na unayo yasema. Na Mwenyezi Mungu anayaandika yote hayo wanayo yapangia njama za usiku. Basi waachilie mbali, na umtegemee Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mtegemewa wa kutosha (81) Hebu hapelelezi hii Qur'ani? Na lau kuwa imetoka kwa asiye kuwa Mwenyezi Mungu bila ya shaka wangeli kuta ndani yake khitilafu nyingi (82)} Sadaqa Allah Al3adhim [Alnisa].

Na Jee Umefahamu Habari Na Mwaliko Wa Al’Mahdi Al’Muntadhar? Basi Peleleza Ma Bayana Huwenda Nazo Zikakufanya Ukumbuke Wala Usipinge Haki Ndio Akuadhibu Allah Adhabu Chungu.

Na Salam Juu Ya Mitume, Na Alhamdulillah Rabil3alamin..
Al’Imam Nasser Muhammad Al’Yamani.

وسلامٌ على المُرسلين، والحمدُ لله رب العالمين..
الإمام المهدي ناصر محمد اليماني.

ــــــــــــــــــــ


اقتباس المشاركة 5722 من موضوع فهل تظنّ الإمام المهديّ قرآنيّ يا أخي الكريم؟ حاشا لله ..



الإمام ناصر محمد اليماني
21 - 08 - 1430 هـ
12 - 08 - 2009 مـ
11:10 مساءً
ــــــــــــــــــــ



فهل تظنّ الإمام المهديّ قرآنيّ يا أخي الكريم؟ حاشا لله ..

بسم الله الرحمن الرحيم، وسلامٌ على المرسَلين، والحمدُ للهِ ربِّ العالمين..
أخي الكريم، فهل تظنّ أنّ المهديّ ناصر محمد اليماني لا يؤمن إلا بما جاء في القرآن العظيم؟ فإنّك لمن الخاطئين إن كنت كذلك؛ بل أدعوكم إلى كتاب الله وسُنَّة رسوله ولا أُفرق بين كتاب الله وسنَّة رسوله، وأُصدّق بكتاب الله وسنّة رسوله، ومُستمسكٌ بكتاب الله وبسنّة رسوله، ومؤمنٌ أنَّ سُنّة محمدٍ رسول الله كذلك جاءت من عند الله كما جاء هذا القرآن العظيم، وإنّما أُنكر ما خالف لمُحكم القرآن العظيم في السُّنّة النّبويَّة، فما خطبكم لا تفقهون قولاً ولا تكادون أن تهتدوا سبيلاً؟ ألا والله لا يهدي الله إلى الحقّ من لا يبحث عن الحقّ ولا يريد غير الحقّ. وأما المعاجزون في آيات الله والمُرجِفون الذين يسعون للتشكيك في دعوة الحقّ فلن يزيدهم البيان الحقّ للقرآن إلا رِجساً إلى رِجسهم، ولا أقول إنّك منهم، والله أعلمُ بما أنفسكم فاحذروه.
فهل تظنّ الإمام المهديّ قرآنيّ يا أخي الكريم؟ حاشا لله؛ بل مُستمسكٌ بكتاب الله وسُنّة رسوله معاً جميعاً إلا ما وجدتُهُ مُخالفاً لمحكم الكتاب في السُّنّة، ومن ثم أنبذ المُخالف لحكم الله وراء ظهري، وكُل شيء في أوانه، وإنّما أنا حَكَمٌ بينكم فيما كنتم فيه تختلفون ومُستمسكٌ بكتاب الله وسُنّة رسوله. وأكرر أنّي لا أنكر من السُّنّة النَّبويَّة إلا ما خالف لمحكم القرآن العظيم؛ ذلك لأنّ السُّنّة النَّبويَّة إنّما جاءت لتزيد القرآن بياناً وتوضيحاً للمؤمنين ولا ينبغي للبيان في السُّنة أن يخالف لمحكم القرآن العظيم، وأيّ روايةٍ أو حديثٍ يأتي مخالفاً لحكم الله في الكتاب فأتّبع حكم الله في الكتاب وأنبذ حكم الطاغوت وراء ظهري، وذلك لأنّي أعلمُ أنّ الأحاديث في السُّنّة النَّبويَّة جاءت من عند الله وما خالف لمُحكم القرآن في السُّنة فقد علمت أنّه جاء من عند الطاغوت. تصديقاً لقول الله تعالى: {وَيَقُولُونَ طَاعَةٌ فَإِذَا بَرَزُوا مِنْ عِندِكَ بَيَّتَ طَائِفَةٌ مِّنْهُمْ غَيْرَ الَّذِي تَقُولُ ۖ وَاللَّـهُ يَكْتُبُ مَا يُبَيِّتُونَ ۖ فَأَعْرِضْ عَنْهُمْ وَتَوَكَّلْ عَلَى اللَّـهِ ۚ وَكَفَىٰ بِاللَّـهِ وَكِيلًا ﴿٨١﴾ أَفَلَا يَتَدَبَّرُونَ الْقُرْآنَ ۚ وَلَوْ كَانَ مِنْ عِندِ غَيْرِ اللَّـهِ لَوَجَدُوا فِيهِ اخْتِلَافًا كَثِيرًا ﴿٨٢﴾} صدق الله العظيم [النساء].

فهل فهمتَ الخبر ودعوة المهديّ المنتظَر؟ فتدبّر البيانات لعلها تحدث لك ذكراً ولا تعرض عن الحقّ فيُعذِّبك الله عذاباً نُكراً.

وسلامٌ على المرسَلين، والحمدُ للهِ ربِّ العالمين ..
الإمام المهديّ ناصر محمد اليماني .
_____________
اضغط هنا لقراءة البيان المقتبس..